Former CIA agent sentenced to 19 years in prison for conspiracy with China

Naanda US$ 1M ili nipate information kutoka TISS na kuanza mikakati ya kumuharibia fudenge,sijui watakubali hela hiyo!
Nalog off
 
Aisee
 
The benefits gained through espionage are often so great that most governments and many large corporations make use of it. It is only wrong if you are on the other side.
 
Wachina wapo wengi tuu wanauza match,tatizo mfumo wa Serikali yao hairuhusu kutangaza habari mbaya ni kama alivyo Jiwe hapa kwetu.
 
[emoji2][emoji23][emoji6][emoji14][emoji14][emoji14]
Wachina wapo wengi tuu wanauza match,tatizo mfumo wa Serikali yao hairuhusu kutangaza habari mbaya ni kama alivyo Jiwe hapa kwetu.
Hata Kama Unataka Kuupindisha Ukwel
ila ukweli unajulikana yakwamba Hakuna Taifa DUNIANI Ambalo Katika System Yake Ya Intelijensia Kuna Watu Wanaotumika Kama DOUBLE AGENT Ila Ukweli Wakwamba US Ndio Nchi Ambayo Inaongoza Kwa DOUBLE AGENT Haufichiki


Jamaa sijui wanashida gani wanakula pesa ndefu ila UMBEYA Wanauendekeza Nahuu Unaenda Kuwagharimu Katika Uwanda Huoo Mambo Yanatakiwa Yaende Kisiri Siri MNOOOOO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…