Former Safaricom Employee Now Vice President at Wikipedia

Former Safaricom Employee Now Vice President at Wikipedia

Wacha kelele bila kujua unachoongea.
Wasanii wa Kenya (ata sio fans wa wakenya) wamekuwa wakilia kwamba maDJ na radio hazichezi local music. Ilhali wanacheza nyimbo za nje sana, (sio Tanzania pekee)... Nigeria, Jamaica na hata USA.

Many Kenyans care less which music is played, as long as it is good music.
Kwanza hawa Wasafi 80% revenue yao hutoka Kenya.
Acha kulialia, tunafuatilia sana huo mjadala wa "Play KenyanMusic", sana sana unalenga Naija na Tanzanian music, yote hii mnaitaja kuwa ni mziki toka nje ambayo inachezwa sana kuliko Kenyan music.

Like wise wakenya wengi huwa wanakuja Tanzania kufanya kazi na makampuni mengi yanawapa nafasi kutokana na advantage ya lugha. Kama ambavyo mnadhani ni muhimu kwa media zenu kupunguza kucheza Bongo na Nija music ili kulinda Kenya music, na sisi tunadhani ni muhimu kwa serikali yetu kulinda ajira za watanzania. In short, Kenya is for Kenyans, and Tanzania for Tanzanians, nothing can change this.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ahaaa haaa haaa
demokrasia iko wapi SASA ikiwa burudani tu wanazuiliwa na wenye mamlaka.
sisi vituo vyetu vya habari vinacheza muziki KUTOKA kote kote duniani.
Wabinafsi sana hawa jamaa na wana roho mbaya sana, wao wakiona wanashindwa katika eneo Fulani, utasikia hii sio kwa maslahi ya Kenya, ila wao wakitaka kupata kitu toka nchi jirani, utasikia kwa maslahi ya EAC, kwani muziki wa Tanzania sio bidhaa inayozalishwa ndani ya EAC na inaruhusiwa kuingia free katika nchi zote?, kwanini Uganda, Rwanda au Burundi wasilakamike?, hawa ni majirani lakini sio wenzetu kabisaaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I ran here thinking that a kenyan has invented his own wikipedia website..Kumbe ni mtu ameandikwa kazi..Miafrika Banna
Smh

Ahaaa haaa haaa
hata mimi in the beginning was thinking the Kenyan has acquired a lion share from Wikipedia. kumbe anatumwa. dat should not be praised like how it is currently trending in media.
 
Ahaaa haaa haaa
sasa na nyie hiyo campaign ya kuzuia bongo flavour kupigwa kwenye radio stations za Kenya tuiiteje?

Umeiskia wapi hio policy.
Kama sio pesa ya Kenya, Diaomond na wenzake wangekuwa wanaishi bedsitter.
 
Umeiskia wapi hio policy.
Kama sio pesa ya Kenya, Diaomond na wenzake wangekuwa wanaishi bedsitter.

Ahaaa haaa haaa

"Play KenyanMusic" ni nini?
mnalenga music ya Naija na Tanzania, mnaitaja kuwa ni mziki toka nje ambayo inachezwa sana kuliko Kenyan music.

kina diamond wameokota shamba ya bibi, lazima waje huko kwenu kuvuna.
teh teh teh tihiii.
 
Acha kulialia, tunafuatilia sana huo mjadala wa "Play KenyanMusic", sana sana unalenga Naija na Tanzanian music, yote hii mnaitaja kuwa ni mziki toka nje ambayo inachezwa sana kuliko Kenyan music.

Like wise wakenya wengi huwa wanakuja Tanzania kufanya kazi na makampuni mengi yanawapa nafasi kutokana na advantage ya lugha. Kama ambavyo mnadhani ni muhimu kwa media zenu kupunguza kucheza Bongo na Nija music ili kulinda Kenya music, na sisi tunadhani ni muhimu kwa serikali yetu kulinda ajira za watanzania. In short, Kenya is for Kenyans, and Tanzania for Tanzanians, nothing can change this.

Sent using Jamii Forums mobile app

Media ya Kenya ina uhuru wa kucheza muziki wowote.
Hata sasa hivi, wasanii wanateta kwamba media haichezi ngoma zao, washikadau wa media wamesema kwamba hoja sio kukataa, mbali ni kukosa nyimbo nzuri za Kenya.

Hakuna yeyote aliyelazimisha media ya Kenya kucheza au kutocheza nyimbo kutoka sehemu fulani.

Lakini udikteta wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, nchini ya dikteta John Pombe Magufuli, unalazimisha makampuni, watu ambao wanafaa au hawafai kuajiriwa.
 
Ahaaa haaa haaa

"Play KenyanMusic" ni nini?
mnalenga music ya Naija na Tanzania, mnaitaja kuwa ni mziki toka nje ambayo inachezwa sana kuliko Kenyan music.

kina diamond wameokota shamba ya bibi, lazima waje huko kwenu kuvuna.
teh teh teh tihiii.

Uko na kichaa wewe?
Hashtag ya Twitter wewe unailewa kama policy? Enyewe bongolala haiwezi saidika.

Kenya hakuna udikteta wa kulazimisha independent media, muziki ambao wanafaa ama hawafai kucheza.
 
Uko na kichaa wewe?
Hashtag ya Twitter wewe unailewa kama policy? Enyewe bongolala haiwezi saidika.

Kenya hakuna udikteta wa kulazimisha independent media, muziki ambao wanafaa ama hawafai kucheza.

Ahaaa haaa haaa
swallow it slowly though it's bitter.
tutazidi tu kuja huko shamba la bibi kuvuna mpunga.
 
Huo ni ujinga.
Ni kama Facebook kuzuia jina Twitter.
Ati mtu akiandika jina Twitter kwenye Facebook, inatokea ******

Kweli watanzania mna shida. Hii policy yenu ya isolation ndio imefanya mkae maskini miaka hio yote.
we kenge ... umenichekesha kisa cha Twitter na Facebook 😀😀😀😀😀
 
Media ya Kenya ina uhuru wa kucheza muziki wowote.
Hata sasa hivi, wasanii wanateta kwamba media haichezi ngoma zao, washikadau wa media wamesema kwamba hoja sio kukataa, mbali ni kukosa nyimbo nzuri za Kenya.

Hakuna yeyote aliyelazimisha media ya Kenya kucheza au kutocheza nyimbo kutoka sehemu fulani.

Lakini udikteta wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, nchini ya dikteta John Pombe Magufuli, unalazimisha makampuni, watu ambao wanafaa au hawafai kuajiriwa.


Wewe unamdanganya nani?, fuatilia huo njadala hapo, kwamba mumeandaa mswada na umeshapekekwa katika bunge la Kenya ili kupitisha sheria ya kulazimisha media za Kenya kutoa 80% air time kwa Kenyan music.

Wewe hata upige kelele vipi, lakini jua kwamba, Tanzania is for Tanzanians and Kenya is for Kenyans. Kila mtu ajiamulie mambo yake mwenyewe, kwanini mnakazimisha?, ninyi mliamua kufuata ubepari na sisi Ujamaa, kila nchi inavuna matunda ya choices za nyuma, enjoy your fruits and leave us alone please.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
This thread is not about a Kenyan who got employed at Wikipedia. Ni kichaka tu cha kuitupia Tanzania vijembe. Angalia tu vile umeanza na kumaliza thread yako.

Smh
Inawezekana ni wake up call, smell the morning coffee .
 


Wewe unamdanganya nani?, fuatilia huo njadala hapo, kwamba mumeandaa mswada na umeshapekekwa katika bunge la Kenya ili kupitisha sheria ya kulazimisha media za Kenya kutoa 80% air time kwa Kenyan music.

Wewe hata upige kelele vipi, lakini jua kwamba, Tanzania is for Tanzanians and Kenya is for Kenyans. Kila mtu ajiamulie mambo yake mwenyewe, kwanini mnakazimisha?, ninyi mliamua kufuata ubepari na sisi Ujamaa, kila nchi inavuna matunda ya choices za nyuma, enjoy your fruits and leave us alone please.

Sent using Jamii Forums mobile app


Udikteta kila siku haukosi supporters.
Raisi wenu Pombe na policy zake zote za udikteta, mwishowe zitakuja kumfungua macho tu.

90% ya wasanii wenu pesa yao yote wametoa hapa Kenya. Tukiamua policy ya reciprocation na tuwanyime permit ya kufanya kazi Kenya, hapo ndipo mnaweza lia vizuri.
 
Udikteta kila siku haukosi supporters.
Raisi wenu Pombe na policy zake zote za udikteta, mwishowe zitakuja kumfungua macho tu.

90% ya wasanii wenu pesa yao yote wametoa hapa Kenya. Tukiamua policy ya reciprocation na tuwanyime permit ya kufanya kazi Kenya, hapo ndipo mnaweza lia vizuri.
Kenyan Catholic priest who publicly denounced the killing of opposition demonstrators by Kenyatta's government found dead

Hahahaha, hiyo ni hasira ya kuwakatalia kuingia Tanzania free kama zamani. Kenya hamuwezi kulipiza kisasi, mnatutegemea na mnatuhitaji sana, sisi hatuwahitaji. Diamond anakuja huko kuchukua pesa na wanawake na kurudi Bongo, hawezi kuishi katika nchi ambayo ukitoka nyumbani huna uhakika wa kurudi salama nyumbani jioni, terrorist attacks any time.

Kitu cha umuhimu ni kwamba, Tanzania is for Tanzanians and Kenya is for Kenyans, don't try to force to be your friends, our friends are SADC countries, we were together during dark days, you were together with Western countries, go and join European Union.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo inaathari gani kwa Tanzania,kwani hata BARACK OBAMA ambae wao walimuacha anapanda kwenye matatu na kubeba furushi la mzigo mbona alikuja kuwa rais wa MAREKANI kwani Kenya kama taifa wameathirika nini?
Hawa wapumbavu nyang'au walipaswa kujua kuwa angrajiriwa kwetu mbona asingekuwa na hicho kiti.
Maisha lazima yabadilike,waliokuwa wapigania uhuru wakifungwa majela ndiyo waliokuja kuwa marais.
Wezi kama kina SONKO wa wakati huo wamegeuka kuwa viongozi wenye heshima,na hiyo ndiyo maana ya kufunguliwa kwa mlango wa pili pale mmoja unapofungwa,ACHENI UPUUZI NYANG'AU.
 
Huo ni ujinga.
Ni kama Facebook kuzuia jina Twitter.
Ati mtu akiandika jina Twitter kwenye Facebook, inatokea ******

Kweli watanzania mna shida. Hii policy yenu ya isolation ndio imefanya mkae maskini miaka hio yote.
Nyie nyang'au mumetuzidi nini?
Muna kula kwa shida sana mbwa mwitu nyie.
 
Back
Top Bottom