eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Kenyan Catholic priest who publicly denounced the killing of opposition demonstrators by Kenyatta's government found dead
Hahahaha, hiyo ni hasira ya kuwakatalia kuingia Tanzania free kama zamani. Kenya hamuwezi kulipiza kisasi, mnatutegemea na mnatuhitaji sana, sisi hatuwahitaji. Diamond anakuja huko kuchukua pesa na wanawake na kurudi Bongo, hawezi kuishi katika nchi ambayo ukitoka nyumbani huna uhakika wa kurudi salama nyumbani jioni, terrorist attacks any time.
Kitu cha umuhimu ni kwamba, Tanzania is for Tanzanians and Kenya is for Kenyans, don't try to force to be your friends, our friends are SADC countries, we were together during dark days, you were together with Western countries, go and join European Union.
Sent using Jamii Forums mobile app
baada ya kutandikwa na alshabab vilivyo. wakaenda bongo ku borrow a leaf or two from a seasoned elder brother in security issues.
tunawapenda sana. hivyo tutawapa siri za kujilinda.