Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaaa haaaa haaa! Bora umeliona hilo! DMussa na Mourinho BelindaJacobHamilton dah Huyu dogo sasa anahitaji kuja kutembelea Babu zake Africa kina Kibunango apate hekima ya ustaarabu, mdomo wake naye kila akishinda unamponza maneno mengi mtu akimsema yeye anarudisha maneno 10 bora aanze kujifunza kukaa kimya na kutenda uwanjani sasa kafanya nini? Hamilton au lalamikie ukuta sasa.
Me nilisema Hamilton anazidiwa kitu kimoja tu na Mkoloni, upstairs
jamani brake disc failure hata angekuwa nani asingeweza kuepuka...ni gari imeleta matatizo sio yeye.
Hamilton dah Huyu dogo sasa anahitaji kuja kutembelea Babu zake Africa kina Kibunango apate hekima ya ustaarabu, mdomo wake naye kila akishinda unamponza maneno mengi mtu akimsema yeye anarudisha maneno 10 bora aanze kujifunza kukaa kimya na kutenda uwanjani sasa kafanya nini? Hamilton au lalamikie ukuta sasa.
Mkuu wangu kwenye build up to this GP, kijana wetu alikua cocky haswaa. Me sikua na hata ya chembe ya imani na yeye kama angefanya vizuri lakini sikujua kama amekutwa na hilo tatizo
Naona sasa ameshakubali kuwa itakuwa kazi kubwa kumpata Mkoloni katika race ya leo.... Sidhani hata kama atamfikia Alonso!
Go #TeamFerrari
Nipo Mkuu, atanifurahisha kama atamaliza nafasi ya pili. Massa anagundu gani jamani?