Formula; 'Ondoka' 'Acha' ndio maana halisi ya kupata Mafanikio

Formula; 'Ondoka' 'Acha' ndio maana halisi ya kupata Mafanikio

Iko vizuri....and thats what she decided sema tu kakataa uke wenza kamwambie mme aende kwa mke wake mwingine. Kakataa kuitwa mke wa kwanza. Kamwambia jamaa alikochagua ndo huko aende. Yeye anabaki na familia..watoto. atawalea atawatunza. Kasema imani yake hairuhusu ndoa ya watu wengi so she.let the man go. Niliwaambia she is financially stable. Sema tu saivi mke mdogo anamchokoa chokoa na vijipost mtandaoni insta huko ili tu ajibu. Yeye yuko busy na maisha yake she launched a foundation recently. Yuko so composed ila ndo ivo

😂😂😂

Huyo mke mdogo wala asidili naye, maana kudili na mtu wa chini yako ni kujishusha thamani na kumpandisha thamani huyo bibiye.

Apige Sanctions za kutosha kaa huyo mwanaume ili aonyeshe Uanaume wake kama Urusi anavyoonyesha huko Ulaya.

Akishamuongezea majukumu na vikwazo kitakachofuata ni Stress,
Wakati anastress yeye azidi kupendeza na kuwa Mtoto JoJo ili Sisi kina Taikon tuombe kujiunga NATO, hiyo itamfanya azidi kuchanganyikiwa.

Akiwa katikati ya Stress na kuchanganyikiwa aratibu mpango wa kumtishia kuvunja Ndoa,

Hata kama Rafiki yako anakipato haimaanishi ndio ampuuzie.
Lazima ampime kweli ni mwanaume kweli
 
Na fikiri nimechelewa sana kukusoma
Leo nina kazi moja tu ya kusoma maandiko yako
Una kitu kikubwa ndani yako
 
Unatumia mbinu gani kuondoka nyumbani mkuu,?especially kwa mimi ambaye sina kazi
Mi mwenyewe sina kazi nina vibarua tu ila mwakani january ninafanya mambo yangu sitaki kuwa chini ya mtu, Biz ya kwanza ni online, ya pili kuuza vitu used naenda kule wanaokusanya machuma nanunua majembe,pasi, sururu n.k kwa bei rahis nakuja uza mtaani
 
Unao uzi unaozungumzia wanawake waochepuka au kuwaacha au kuwadharau waume zao wasio na kazi nzuri/kipato cha kutosheleza mahitaji?

Kama upo naomba nipe link au jitahidi uuchakate kwa ajili ya mke wa mdogo wangu maana yupo moto sana,mambo hayaendi kila siku ni kumsii awe mvumilivu kwa mmewe lakini wapi hana masikio tena juu ya neno uvumilivu.Anasema ashavumilia miaka 6 sasa mwaka wa saba haumkuti kwa kapuku huyu(kumbuka hapa anataka kutekeleza ushauri wako wa 'ondoka')
Ila sisi bado tunampenda na mme mwenyewe bado anampenda.

Tafadhali mwandikie yeye na wale wengine(kwa maana kipindi hiki imekuwa fasheni kuachana kisa kipato)

Nipo nimekaa zangu pale juu ya mawe nasubiri uzi huo ili nimsomee shemu wangu kwa sauti!
Thanks in advance!!
 
Nimedonoa donoa nitaisoma yote usiku aiseee mkuu unakipawa Allah bless you
 
ROBERT UKO VIZURI SANA MWANA, KAMA UNA VITABU. NOAMBA KUJUA TITLE ZAKE
 
Huyu jamaa akili yake kubwa sana,najifunzaga vit vingi kupitia yeye

Big up kwako mwamba
 
kila familia ingeishi haya maneno yako hakika tungekuwa mbali saana yani umeandika madini yenye akili kubwa inayopaswa kutumika kwa kila mtu
 
Iko vizuri....and thats what she decided sema tu kakataa uke wenza kamwambie mme aende kwa mke wake mwingine. Kakataa kuitwa mke wa kwanza. Kamwambia jamaa alikochagua ndo huko aende. Yeye anabaki na familia..watoto. atawalea atawatunza. Kasema imani yake hairuhusu ndoa ya watu wengi so she.let the man go. Niliwaambia she is financially stable. Sema tu saivi mke mdogo anamchokoa chokoa na vijipost mtandaoni insta huko ili tu ajibu. Yeye yuko busy na maisha yake she launched a foundation recently. Yuko so composed ila ndo ivo
Siyo swala la imani tu, hata kisheria ndoa ya mke mmoja hairuhusiwi kugeuka kuwa ndoa ya wake wengi labda Kwa kibali cha mke, kinyume na hapo popote utakapofunga hiyo ndoa ni batili.

Fuatilia issue ya Profesa wa SUA aliyeowa Kwa siri mfanyakazi wa CRDB, ile kesi mahakamani lazima mwanamke ashinde.
 
Back
Top Bottom