Mkuu nashukuru kwa formula, Kama hautojali unaweza kufafanua kidogo, kwa maana ya gharama ya kila ingredient inayotumika kutengeneza chakula, ili angalau kupata picha ya gharama inayoweza kufika kwa mfuko 1 wa chakula? ili kuona na kulinganisha pengine formula inaweza kufaa ili kupunguza makali ya kununua chakula toka madukani?