Forojo Ganze (Master), mchawi maarufu aliyeanzisha Mwenge wa Uhuru

Kuoza meno tu wakati wewe umeoza akili πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ dini inasoma maandishi kutoka mbele kurudi nyuma unategemea nini hapo? Washirikina wote hao wana majina ya kiislamu kwa maana ni wavaa kobaaz
Kila mwezi wa 12 mnaenda kuabudu mizimu mna akili kweli na kunywa mapombe kama sio utahira ni nn?

Enzi za uhuru hao ndugu zako hawakuwepo ndo unatafuta jina la ukoo wenu halipo wamekuja juzijuziπŸ˜‚πŸ˜‚

Ndo maana mpaka leo mnavaa mamitumba na manguo makubwa kuwaenzi wanaume zenu wa ulaya na hata kuolewa kabisa haswa nyie watoto wakiume.
 
Sasa mkuu mbona unani attack πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… unadhani Nyerere alikuwa sawa kuwauliza hao wazee wa Dini yenu ya Mwinyaaz kuhusu khabari za kuendesha nchi?! Niambiye hapa duniani kwa sasa ni sehemu zipi zenye machafuko na usalama mdogo kama siyo sehemu wanamoishi wavaa kobaaz!? Ukienda Nigeria, Somalia, baadhi ya nchi za Kiarabu ni matatizo matupu kwa sababu ya hii dini yenu ya Mwinyaaz. Sasa kitendo cha Nyerere kuwapa kupaumbele hao wazee wavaa kobaaz angalia sasa taifa letu ni kama lipo gizani miaka 60+ ya uhuru bado tuko pale pale kama taifa kwa sababu tumezindikwa uko bagamoyo na lindi kwa sababu ya kuwaamini wavaa kobaaz..maana ni tofauti iliyo ndogo sana kati ya Dini yenu na mapepo.
 
 
Leo nataka nirudie kwa umakiiini hii thread maana siku nasoma nahisi nilivuta bangi[emoji848] leo nataka nirudie nikiwa plain kabisa
 
Leo nataka nirudie kwa umakiiini hii thread maana siku nasoma nahisi nilivuta bangi[emoji848] leo nataka nirudie nikiwa plain kabisa
Ukishavuta bangi you can never be okay,you remain affected for life.Huu ndio ukweli mchungu.Pole sana kama ulishawahi vuta.
 
Asante mwandishi kwenye hii Orodha ya Manabii wa wa mauza uza listi naiboresha

1. Masta Forojo Ganze
2. Primus Julius Mubanga
3. Shaibu Kalole Mtiga
4. Mfaume Goro Tumbo
5.Shekh Yahya Hussein
 
Mzee Said atusimulie kuhusu Gwiji huyu mpambania uhuru na mganga
 
Nimerudia kusoma mara tano

Inaingia inatoka....sawa bagamoyo na zindiko sawa lakini mwandishi umeacha maswali mengi sana
 
Basi ni hatar sana
 
Nakazia Mpuuzi Mmoja.Huyu ni mpuuzi kweli kweli
 
Aisee! Ndiyo nimesikia kuhusu asili ya Mwenge huu na kusudi lake lilikuwaje!
Lakini (kama sikusahau) niliwahi kusikia moja ya hotuba za hayati Nyerere akielezea alivyofanyiwa tambiko na Wazee kwa Mzee Jumbe Tambaza (nadhani ndiko shule ya Tambaza iliko) ambako kulichimbwa Shimo baadaye akachinjwa beberu la mbuzi na damu yake kumwagwa humo,then Nyerere akaambiwa atambuke hilo shimo! Baada ya kutambuka akaambiwa sasa Turnbull (gavana wa mwisho kutawala Tanganyika) amekwisha!
Lakini nadhani hayo yalifanywa wakati wa harakati za kumng'oa mkoloni.
 
Wakati wa long distance trade Tanzani ilikuwepo?
 
Hivi hapa tukubaliane kitu kimoja, Mwenge ulikuwepo wao walileta maneno au ndio waliobuni Mwenge?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…