Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Kila mwezi wa 12 mnaenda kuabudu mizimu mna akili kweli na kunywa mapombe kama sio utahira ni nn?Kuoza meno tu wakati wewe umeoza akili πππ dini inasoma maandishi kutoka mbele kurudi nyuma unategemea nini hapo? Washirikina wote hao wana majina ya kiislamu kwa maana ni wavaa kobaaz
Sasa mkuu mbona unani attack π π π unadhani Nyerere alikuwa sawa kuwauliza hao wazee wa Dini yenu ya Mwinyaaz kuhusu khabari za kuendesha nchi?! Niambiye hapa duniani kwa sasa ni sehemu zipi zenye machafuko na usalama mdogo kama siyo sehemu wanamoishi wavaa kobaaz!? Ukienda Nigeria, Somalia, baadhi ya nchi za Kiarabu ni matatizo matupu kwa sababu ya hii dini yenu ya Mwinyaaz. Sasa kitendo cha Nyerere kuwapa kupaumbele hao wazee wavaa kobaaz angalia sasa taifa letu ni kama lipo gizani miaka 60+ ya uhuru bado tuko pale pale kama taifa kwa sababu tumezindikwa uko bagamoyo na lindi kwa sababu ya kuwaamini wavaa kobaaz..maana ni tofauti iliyo ndogo sana kati ya Dini yenu na mapepo.Kila mwezi wa 12 mnaenda kuabudu mizimu mna akili kweli na kunywa mapombe kama sio utahira ni nn?
Enzi za uhuru hao ndugu zako hawakuwepo ndo unatafuta jina la ukoo wenu halipo wamekuja juzijuziππ
Ndo maana mpaka leo mnavaa mamitumba na manguo makubwa kuwaenzi wanaume zenu wa ulaya na hata kuolewa kabisa haswa nyie watoto wakiume.
Sasa mkuu mbona unani attack π π π unadhani Nyerere alikuwa sawa kuwauliza hao wazee wa Dini yenu ya Mwinyaaz kuhusu khabari za kuendesha nchi?! Niambiye hapa duniani kwa sasa ni sehemu zipi zenye machafuko na usalama mdogo kama siyo sehemu wanamoishi wavaa kobaaz!? Ukienda Nigeria, Somalia, baadhi ya nchi za Kiarabu ni matatizo matupu kwa sababu ya hii dini yenu ya Mwinyaaz. Sasa kitendo cha Nyerere kuwapa kupaumbele hao wazee wavaa kobaaz angalia sasa taifa letu ni kama lipo gizani miaka 60+ ya uhuru bado tuko pale pale kama taifa kwa sababu tumezindikwa uko bagamoyo na lindi kwa sababu ya kuwaamini wavaa kobaaz..maana ni tofauti iliyo ndogo sana kati ya Dini yenu na mapepo.
Ukishavuta bangi you can never be okay,you remain affected for life.Huu ndio ukweli mchungu.Pole sana kama ulishawahi vuta.Leo nataka nirudie kwa umakiiini hii thread maana siku nasoma nahisi nilivuta bangi[emoji848] leo nataka nirudie nikiwa plain kabisa
Asante mwandishi kwenye hii Orodha ya Manabii wa wa mauza uza listi naiboreshaHuyu Forojo Ganze, alikuwa ni mmoja kati ya wazee waliotumwa kufanya zindiko la nchi baada ya uhuru kule bagamoyo,walipewa kazi ya kuhakikisha rais aliye madarakani hapingwi na mtu yeyote(Mwl.Nyerere),zindiko hilo lilifanyika bagamoyo ktk moja ya mashimo yanayopatikana wilayani hapo,zoezi hilo lilienda sambamba na kumuuliza shetani na malaika zake ni jambo gani lifanyike ili Tanzania iendelee.
Forojo Ganze ndiye mtu pekee aliyeingia ktk hilo shimo kwaajili ya kuuliza,alikaa huko kwa muda wa siku 10 huku akiwa amewaacha wenzake nje wakimgoja atakuja na jibu gani ili wakampatie rais na wazee wa Dar es salaam,kilichoshangaza siku ya kumi na moja alitoka akiwa hoi hajiwezi akiwa kama mtu aliyepigwa na alikuwa anaongea lugha isiyofahamika,wenzake wakiwa wanaongozwa na Yahaya Hussien walimbeba hadi ikulu Dar es salaam na walipomfikisha mbele ya mwalimu Nyerere alitamka maneno hayo yanayohusu mwenge kwa kiswahili kisha akanyoosha juu mkono wake wa kulia ambao tayari ulikuwa umeandikwa namba hii 115,kisha akakata roho,baada ya mazishi mwalimu aliyafanyia kazi maneno ya Forojo Ganze akaanzisha mwenge wa uhuru bila kujua ulikuwa na maana gani,baada ya hapo aliwagiza yahya Hussein atafasiri maana ya ile namba 115.
Kama kawaida ya shehe Yahaya alitafasiri akamwambia kuwa namba hiyo inamaanisha "utakufa ukiwa na umri wa miaka 77 na taifa la Tanzania kwa kipindi hicho litakuwa na umri wa miaka 38,hii inamanisha ukichukua 77 umri wa mwalimu jumlisha 38 umri wa taifa utapata 115,na hii ndivyo ilivyokuwa,mwaka 1999 mwalimu alikufa akiwa na miaka 77 na taifa lilikuwa na miaka 38 ya uhuru (77+38=115) pia utamaduni wa rais kuongea na wazee wa Dar es salaam unaendelea hadi sasa na wamekuwa na maamuzi ya kitaifa na husikilizwa sana wanachokisema,mbona haijawahi kutokea rais akaongea na wazee wa bukoba jambo la kitaifa?,zindiko la bagamoyo linafanya kazi ,Safu hii ilikuwa ya watu 5 ambao ni. 1.mzee ramadhan,alizaliwa mwaka 1920,2.Ally tarazo(1929),3.Komwe wa Komwe(1918),4.Sheihe Yahya Hussein(1925),na 5.Forojo Ganze (1902)
HakikaTunajirogoroa vipi sasa? Ndio maana CDM hatuutaki huo Mwenge!
Tulianza na Mungu tutadumu na Mungu!
CDM kuna Mungu,nani kakudanya?Hakika
Unafiki mtupu!Unajua maana ya emblem ya CHADEMA?It is a Satanic symbol kama ulivyo mwenge wa CCM.Ngoma droo.Kweli wajinga ndio waliwao.
Ngoja wajeCDM Kuna Mungu,Nani kakudanya?
Unafiki mtupu!Unajua maana ya emblem ya CHADEMA?It is a Satanic symbol kama ulivyo mwenge wa CCM.Ngoma droo.Kweli wajinga ndio waliwao.
Mzee Said atusimulie kuhusu Gwiji huyu mpambania uhuru na mganga"Baba, sisi tunataka kuwasha mwenge na kuuweka juu ya mlima kilimanjaro, umulike hata nje ya mipaka yetu, ulete tumaini mahala pasipo na tumaini, faraja palipo na huzuni, tumaini pasipo na tumaini, upendo penye chuki na heshima palipo na dharau"
Baada ya kutamka hayo mbele ya Mwl.Nyerere, Ganze alikata roho na ndipo ukaanzishwa Mwenge wa Uhuru. Kinachonishangaza hapa ni kile kipengele kisemacho"UMULIKE NJE YA MIPAKA YETU". Inamaana ndani ya nchi tubaki gizani kama tulivyo sasa? Na kwann Forojo Ganze hakutangazwa kama mwanzilishi wa Mwenge?
Basi ni hatar sanaHuyu Forojo Ganze, alikuwa ni mmoja kati ya wazee waliotumwa kufanya zindiko la nchi baada ya uhuru kule bagamoyo,walipewa kazi ya kuhakikisha rais aliye madarakani hapingwi na mtu yeyote(Mwl.Nyerere),zindiko hilo lilifanyika bagamoyo ktk moja ya mashimo yanayopatikana wilayani hapo,zoezi hilo lilienda sambamba na kumuuliza shetani na malaika zake ni jambo gani lifanyike ili Tanzania iendelee.
Forojo Ganze ndiye mtu pekee aliyeingia ktk hilo shimo kwaajili ya kuuliza,alikaa huko kwa muda wa siku 10 huku akiwa amewaacha wenzake nje wakimgoja atakuja na jibu gani ili wakampatie rais na wazee wa Dar es salaam,kilichoshangaza siku ya kumi na moja alitoka akiwa hoi hajiwezi akiwa kama mtu aliyepigwa na alikuwa anaongea lugha isiyofahamika,wenzake wakiwa wanaongozwa na Yahaya Hussien walimbeba hadi ikulu Dar es salaam na walipomfikisha mbele ya mwalimu Nyerere alitamka maneno hayo yanayohusu mwenge kwa kiswahili kisha akanyoosha juu mkono wake wa kulia ambao tayari ulikuwa umeandikwa namba hii 115,kisha akakata roho,baada ya mazishi mwalimu aliyafanyia kazi maneno ya Forojo Ganze akaanzisha mwenge wa uhuru bila kujua ulikuwa na maana gani,baada ya hapo aliwagiza yahya Hussein atafasiri maana ya ile namba 115.
Kama kawaida ya shehe Yahaya alitafasiri akamwambia kuwa namba hiyo inamaanisha "utakufa ukiwa na umri wa miaka 77 na taifa la Tanzania kwa kipindi hicho litakuwa na umri wa miaka 38,hii inamanisha ukichukua 77 umri wa mwalimu jumlisha 38 umri wa taifa utapata 115,na hii ndivyo ilivyokuwa,mwaka 1999 mwalimu alikufa akiwa na miaka 77 na taifa lilikuwa na miaka 38 ya uhuru (77+38=115) pia utamaduni wa rais kuongea na wazee wa Dar es salaam unaendelea hadi sasa na wamekuwa na maamuzi ya kitaifa na husikilizwa sana wanachokisema,mbona haijawahi kutokea rais akaongea na wazee wa bukoba jambo la kitaifa?,zindiko la bagamoyo linafanya kazi ,Safu hii ilikuwa ya watu 5 ambao ni. 1.mzee ramadhan,alizaliwa mwaka 1920,2.Ally tarazo(1929),3.Komwe wa Komwe(1918),4.Sheihe Yahya Hussein(1925),na 5.Forojo Ganze (1902)
Sisi Chelsea tutabeba EPL musimu ujao, tulia hapo hapo master Ganzeπππ
Nakazia Mpuuzi Mmoja.Huyu ni mpuuzi kweli kweliHalafu kuna mp**zi mmoja humu huwa anadai ati waislam ndo walopigania uhuru wa nchi hii, kumbe ana haki ya kudai, maana wakati wakristo wako kanisani kuikabidhi Tanzania kwa Bwana, Waislam wako Bagamoyo shimoni (iangalie hiyo crew, imejazwa na mabazazi wa nchi (mashekhe) wakiongozwa na huyo jini mtu Yahya.
Halafu eti Nimempa rais Kikwete ULINZI usioonekana, na hakuna wa kumgusa na rais anachekelea tu!
Ndio maana hatuna maendeleo nchi hii.
Uislam ni Janga la Dunia
CC: Mohamed Said BONGOLALA MziziMkavu
Wakati wa long distance trade Tanzani ilikuwepo?hii stori ya mwenge niliisikia kutoka kwa mtu mwingine ingawa version yake ni tofauti kuhusu asili ya mwenge.mwenge wanasema ni ibada ya mungu wa kigiriki aitwaye hera na uliibwa na prometheus kutoka kwa mungu wao mkuu zeus ,na michezo ya olympic imepewa jina lake kutokana na eneo ilipokua michezo ya olympic ya kale inafanyika olympus.mwenge unaozungushwa ni ibada kwa mungu huyo,jaribu kulinganisha huo mwenge wa olympic unavyozungushwa dunia nzima haina tofauti na unavyozungushwa hapa tanzania
ulifikaje tanzania?
historia inaonyesha wakati wa long distance trade kuna watu kutoka kabila la wanyamwzi walisafiri na mungu wao ambaye alikua na nguvu sana kutoka maeneo ya tanzania interior kuja pwani,katika safari yao hiyo walipofika maeneo ya morogoro walianza kufa ,inasemekana mungu alikua mkali na kutokana na hiyo ikabid wamgawanye ,na kumwacha maeneo ya miliman ya uluguru ,ni mizimu maarufu sana nimeshahau jina wanalomwita kwa anayejua jina anaweza kunisaidia,basi katika kusafiri nae walifika mpaka bagamoyo na wakapigana vita kuwasidia wenyeji wa pale dhidi ya wakamba waliokua wametoka kaskazin,baada ya vile vita wakaloea hukohuko bagamoyo
, na najua kwamba amani ya nchi hii kwa kiasi kikubwa imeletwa na hao wazee wa bagamoyo walioenda shimoni na huo mwenge ndivyo ulivyopatikana, sema sikupata hiyo stori zaidi na ningependa kujua zaidi connection ya hizi stori 2 kwani ibada zinafanana