Forojo Ganze (Master), mchawi maarufu aliyeanzisha Mwenge wa Uhuru

Duuuh! Kumbe tuendelee kuuenzi mwwnge wa uhuru umulike hadi nje ya mipaka.
 
Kuna Mzee alinisimulia hii stori ngoja kukuche ili nikumbuke alichosema.
 
Asante mwandishi kwenye hii Orodha ya Manabii wa wa mauza uza listi naiboresha

1. Masta Forojo Ganze
2. Primus Julius Mubanga
3. Shaibu Kalole Mtiga
4. Mfaume Goro Tumbo
5.Shekh Yahya Hussein
Hiyo Mkristo Primus naye kafuata nini hapo,duh!Aibu tupu hizi.
 
Kwenye hili jukwaa maarufu la kutetea udini hili jambo bado halijapewa maandiko. Tunasubiria
 
Asante mwandishi kwenye hii Orodha ya Manabii wa wa mauza uza listi naiboresha

1. Masta Forojo Ganze
2. Primus Julius Mubanga
3. Shaibu Kalole Mtiga
4. Mfaume Goro Tumbo
5.Shekh Yahya Hussein
6. Muhamedi Abubakar Musindamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…