The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
All the best jirani,nitakupigia simu nikupe ushauri zaidi.Umezidi ukorofi jirani punguza πππ
Hii ya ufugaji ni kitu napenda nilikuwa nakitafutia muda muafaka, kuna sehemu huko kwa wazaramo nataka nianze.!!
πππ nataka nijaribu sijui ntaweza??Utanpa kibarua Mshua mpya in Town
Utakuwa umenisaidia, uwe unanibrush nifikie malengo yangu jirani.!All the best jirani,nitakupigia simu nikupe ushauri zaidi.
Mimi piaJukwaa la elimu
Jukwaa la sheria
Lile la malalamiko na zingine
Kinachonishinda ni kuweka preservative tu.πππ nataka nijaribu sijui ntaweza??
Manyanza wewe nataka tufanye jambo kuhusu kutengeneza vileo.
Omba field TBL.Kinachonishinda ni kuweka preservative tu.
Nitajua tu nikiamua hata hivyo nina mawazo tofauti hizo vilevi hapana aiseeOmba field TBL.
Lazima tufanye jambo bana.!
Hilo ndio litakutoa sasa!!Nitajua tu nikiamua hata hivyo nina mawazo tofauti hizo vilevi hapana aisee
AlaaahπHilo ndio litakutoa sasa!!
Wabongo wanapenda kulewa ili kupoza stress
Yuko radhi akope ili alewe, bajeti yenyewe ya serikali inategemea vileo wanajua hawawezi kuacha kulewa.!!
Sasa fanya jambo kwa kumaanisha, hapo umekalia pesa ila hutaki kuchukua hatua.!!Alaaahπ
Kuna dogo Mkemia nilifanya nae tukatengeneza vidabo kiki vina radha ya chocolate vijana walilewa sana π€£π€£π€£π€£
Tulia Mdau halafu nataka nikupe umenejaπ€£π€£π€£Sasa fanya jambo kwa kumaanisha, hapo umekalia pesa ila hutaki kuchukua hatua.!!
Manyanza unafeli wapi? πππ