Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Kama wewe ni mzazi wa mmoja wa hao watoto ..wise choice toa Toto yako hapo peleka shule za serikali akasome saa mbili mpaka saa sita ππ ili kuepusha baadhi ya malalamiko yasiyo na maana
Kuna option nyingi za kutosha hapa mtaani kwetu kuna shule za ummah wanaigia saa mbili wanatoka saa 6 na ada yao ni almost free, kwahiyo nakushauri ubadilishe.Hii Shule kwenye matawi yake yote ya Dar na Dodoma wanalazimisha watoto wa darasa la 4 na 7 kuanza masomo saa 12 asubuhi na wanamaliza kusoma saa 11 na nusu jioni. Yaani watoto wadogo wa miaka 7 au 8 wanasoma kwa masaa 11 na nusu kwa siku. Sijui kama kuna maana nyingine zaidi ya kuwanyanyasa watoto.
Hivi kuna hata chuo kikuu mwanafunzi anasoma masaa 11 na nusu kwa siku?
Kibaya zaidi, hakuna option ya school bus kwa watoto wa darasa la 4 na 7, maana wanataka lazima mzazi umlete mtoto shule na urudi kumfuata hiyo jioni. Wanafanya hivyo ili mzazi aone ratiba na gharama ni ngumu na hivyo ni kama wanalazimisha mtoto apelekwe boarding, wana boarding ambayo ada inaongezeka toka Tshs 2.2M kwenda Tshs 4.4M. Yaani kuongeza kipato kwa shule ndio malengo makuu bila kujali usumbufu kwa watoto. Mabweni yao yenyewe wala hayako maeneo ya shule, kama shule ya Dar, shule ipo Tabata Barakuba ila Mabweni yako Kinyerezi.
Mabadiriko ya utaratibu mzazi unaambiwa tayari mtoto akiwa darasa la Nne, yaani wakati anasoma la 1 hakuna sehemu wanasema akifika la 4 hatatumia school bus na atasoma kwa masaa 11 na nusu.
Malalmiko yako mengi toka kwa wazazi na shule ziko nyingi zinazofanya kinyume na maelekezo ya wizara ya Elimu lakini hakuna hatua sheria inachukua, hata ya kuwakemea tu, ipo kimya.
Haya: Ongeza orodha ya shule zingine zenye haya matatizo.
Sio hao tu, shule kibao za binafsi naona zimeona hiyo ndio trend kwa sasa, sijui ni miongozo ipi ya wizara husika inayowapa nafasi ya kufanya hivyo!
Yaani shule zimekuwa zikiumiza watoto, ili zenyewe zipaishe majina yao kwa kuwa na ufaulu mzuri wa kulazimisha...
Hivi mtihani wa darasa la 4 kweli ndio wa kusomesha watoto kama wanatafuta ajira NASA!
Fuata taratibu za shule huo ndio utaratibu wao na Siri ya mafanikio
Hongera Fountain Gate academy nyinyi ni wa kuigwa na mfano bora.
Wacha hawa wanaosoma masaa nane waendelee hivyo hivyo tutakutana kwenye results!
Hakuna maneno tunyukane kwenye matokeo.
Mkuu ni kitendo cha wewe kuachana na hiyo shule na kumtafutia mtoto shule nyingine. hakuna haja ya kuumiza kichwa kwa vitu vyenye machaguo kadha wa kadha
Waziri Anayehusika Ama Viongozi Wanakula Maisha Wanaacha Kila Kitu Ama Watu WajifanyieNchi inajiendeaendea tu...
Hakuna mwenye mamlaka.. kila mmoja anajiamulia cha kufanya.
Hovyooo
Pole sana na kifo cha Teacher BhokeHii Shule kwenye matawi yake yote ya Dar na Dodoma wanalazimisha watoto wa darasa la 4 na 7 kuanza masomo saa 12 asubuhi na wanamaliza kusoma saa 11 na nusu jioni. Yaani watoto wadogo wa miaka 7 au 8 wanasoma kwa masaa 11 na nusu kwa siku. Sijui kama kuna maana nyingine zaidi ya kuwanyanyasa watoto.
Hivi kuna hata chuo kikuu mwanafunzi anasoma masaa 11 na nusu kwa siku?
Kibaya zaidi, hakuna option ya school bus kwa watoto wa darasa la 4 na 7, maana wanataka lazima mzazi umlete mtoto shule na urudi kumfuata hiyo jioni. Wanafanya hivyo ili mzazi aone ratiba na gharama ni ngumu na hivyo ni kama wanalazimisha mtoto apelekwe boarding, wana boarding ambayo ada inaongezeka toka Tshs 2.2M kwenda Tshs 4.4M. Yaani kuongeza kipato kwa shule ndio malengo makuu bila kujali usumbufu kwa watoto. Mabweni yao yenyewe wala hayako maeneo ya shule, kama shule ya Dar, shule ipo Tabata Barakuba ila Mabweni yako Kinyerezi.
Mabadiriko ya utaratibu mzazi unaambiwa tayari mtoto akiwa darasa la Nne, yaani wakati anasoma la 1 hakuna sehemu wanasema akifika la 4 hatatumia school bus na atasoma kwa masaa 11 na nusu.
Malalmiko yako mengi toka kwa wazazi na shule ziko nyingi zinazofanya kinyume na maelekezo ya wizara ya Elimu lakini hakuna hatua sheria inachukua, hata ya kuwakemea tu, ipo kimya.
Haya: Ongeza orodha ya shule zingine zenye haya matatizo.
Wenye mamlaka wanapita nafikiri na hilo watalitazamaKweli, mimi tayari nimeshamuhamishia mwanangu shule nyingine tayari, ila nawaonea huruma watoto waliobaki na hata wazazi ambao wana malalamiko pia, lakini ukishalipa ada, ada hairudishwi, wengi hawana uwezo wa kulipa ada mara mbili ukiwa hujajiandaa kwa hilo
Mbona hilo ni shule zote? Hata za serikali. Wengine wanataka watoto wapelekwe boarding kipindi hicho. Tamko la jumla litolewe kwa shule zote.Hii Shule kwenye matawi yake yote ya Dar na Dodoma wanalazimisha watoto wa darasa la 4 na 7 kuanza masomo saa 12 asubuhi na wanamaliza kusoma saa 11 na nusu jioni. Yaani watoto wadogo wa miaka 7 au 8 wanasoma kwa masaa 11 na nusu kwa siku. Sijui kama kuna maana nyingine zaidi ya kuwanyanyasa watoto.
Hivi kuna hata chuo kikuu mwanafunzi anasoma masaa 11 na nusu kwa siku?
Kibaya zaidi, hakuna option ya school bus kwa watoto wa darasa la 4 na 7, maana wanataka lazima mzazi umlete mtoto shule na urudi kumfuata hiyo jioni. Wanafanya hivyo ili mzazi aone ratiba na gharama ni ngumu na hivyo ni kama wanalazimisha mtoto apelekwe boarding, wana boarding ambayo ada inaongezeka toka Tshs 2.2M kwenda Tshs 4.4M. Yaani kuongeza kipato kwa shule ndio malengo makuu bila kujali usumbufu kwa watoto. Mabweni yao yenyewe wala hayako maeneo ya shule, kama shule ya Dar, shule ipo Tabata Barakuba ila Mabweni yako Kinyerezi.
Mabadiriko ya utaratibu mzazi unaambiwa tayari mtoto akiwa darasa la Nne, yaani wakati anasoma la 1 hakuna sehemu wanasema akifika la 4 hatatumia school bus na atasoma kwa masaa 11 na nusu.
Malalmiko yako mengi toka kwa wazazi na shule ziko nyingi zinazofanya kinyume na maelekezo ya wizara ya Elimu lakini hakuna hatua sheria inachukua, hata ya kuwakemea tu, ipo kimya.
Haya: Ongeza orodha ya shule zingine zenye haya matatizo.
Mwisho wa siku wote mnakutana kwenye soko la ajira na ajira hakuna aisee!!Hongera Fountain Gate academy nyinyi ni wa kuigwa na mfano bora.
Wacha hawa wanaosoma masaa nane waendelee hivyo hivyo tutakutana kwenye results!
Hakuna maneno tunyukane kwenye matokeo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio hao tu, shule kibao za binafsi naona zimeona hiyo ndio trend kwa sasa, sijui ni miongozo ipi ya wizara husika inayowapa nafasi ya kufanya hivyo!
Yaani shule zimekuwa zikiumiza watoto, ili zenyewe zipaishe majina yao kwa kuwa na ufaulu mzuri wa kulazimisha...
Hivi mtihani wa darasa la 4 kweli ndio wa kusomesha watoto kama wanatafuta ajira NASA!