Fountain Gate Academy ni mfano wa shule za kuchukuliwa hatua

Fountain Gate Academy ni mfano wa shule za kuchukuliwa hatua

Kama wewe ni mzazi wa mmoja wa hao watoto ..wise choice toa Toto yako hapo peleka shule za serikali akasome saa mbili mpaka saa sita 😀😀 ili kuepusha baadhi ya malalamiko yasiyo na maana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mkuu ni hilo tuu tena shule binafs sisi wa Tanzania ni wapuuz sana ela yako unalalama si umuamishe huyo mtoto kila ktu mnalia lia kwa serikali wakat hamjakatazw kupelek watoto government school

Experience from south korea mtoto wa miez sita anaanza somew vtabu mwaka 1na nusu yupo baby class
 
Hii Shule kwenye matawi yake yote ya Dar na Dodoma wanalazimisha watoto wa darasa la 4 na 7 kuanza masomo saa 12 asubuhi na wanamaliza kusoma saa 11 na nusu jioni. Yaani watoto wadogo wa miaka 7 au 8 wanasoma kwa masaa 11 na nusu kwa siku. Sijui kama kuna maana nyingine zaidi ya kuwanyanyasa watoto.

Hivi kuna hata chuo kikuu mwanafunzi anasoma masaa 11 na nusu kwa siku?

Kibaya zaidi, hakuna option ya school bus kwa watoto wa darasa la 4 na 7, maana wanataka lazima mzazi umlete mtoto shule na urudi kumfuata hiyo jioni. Wanafanya hivyo ili mzazi aone ratiba na gharama ni ngumu na hivyo ni kama wanalazimisha mtoto apelekwe boarding, wana boarding ambayo ada inaongezeka toka Tshs 2.2M kwenda Tshs 4.4M. Yaani kuongeza kipato kwa shule ndio malengo makuu bila kujali usumbufu kwa watoto. Mabweni yao yenyewe wala hayako maeneo ya shule, kama shule ya Dar, shule ipo Tabata Barakuba ila Mabweni yako Kinyerezi.

Mabadiriko ya utaratibu mzazi unaambiwa tayari mtoto akiwa darasa la Nne, yaani wakati anasoma la 1 hakuna sehemu wanasema akifika la 4 hatatumia school bus na atasoma kwa masaa 11 na nusu.

Malalmiko yako mengi toka kwa wazazi na shule ziko nyingi zinazofanya kinyume na maelekezo ya wizara ya Elimu lakini hakuna hatua sheria inachukua, hata ya kuwakemea tu, ipo kimya.

Haya: Ongeza orodha ya shule zingine zenye haya matatizo.
Kuna option nyingi za kutosha hapa mtaani kwetu kuna shule za ummah wanaigia saa mbili wanatoka saa 6 na ada yao ni almost free, kwahiyo nakushauri ubadilishe.
 
Pitia uzi wangu nimeandika kuhusu shule za binafsi! Kwa bahati mbaya dunia haitaki mambo ya A wala maksi bali umahiri na ubunifu!
Wazazi ndio tunakomalia watoto wateseke ili wapate A ili kesho tuililie serikali ajira.
 
Sio hao tu, shule kibao za binafsi naona zimeona hiyo ndio trend kwa sasa, sijui ni miongozo ipi ya wizara husika inayowapa nafasi ya kufanya hivyo!

Yaani shule zimekuwa zikiumiza watoto, ili zenyewe zipaishe majina yao kwa kuwa na ufaulu mzuri wa kulazimisha...

Hivi mtihani wa darasa la 4 kweli ndio wa kusomesha watoto kama wanatafuta ajira NASA!
Fuata taratibu za shule huo ndio utaratibu wao na Siri ya mafanikio

Utaratibu gani?.
 
Watoto sikuhizi wanasoma jamani ndio maana div one kila mtu anapata sikuhizi, Kama std four anasoma masaa 12, kakifika form four sikanapita tu😆😆😆.
 
Hongera Fountain Gate academy nyinyi ni wa kuigwa na mfano bora.

Wacha hawa wanaosoma masaa nane waendelee hivyo hivyo tutakutana kwenye results!

Hakuna maneno tunyukane kwenye matokeo.

Una sound kama wewe ni mwalimu, mwalimu mkuu au mkurugenzi wa hii shule. Ila fact ni kwamba watoto wanafaulu private kuliko shule za Government sio kwa sababu mnawafundisha watoto kwa masaa 11 kwa siku, moja ya sababu ya msingi ni kwamba nyie mtoto kuanza darasa la kwanza kuna interview, akifeli, yaani mkiona hana uelewa mkubwa mnasema amefeli hivyo hamumpokei. Hivyo nyie tayari mnakubali wanafunzi ambao ni passing materials, kisha mnaendelea kuwaandaa, wale waliofeli kwenu wanaenda shule za serikali sasa. Ambako ni kuandika jina tu na kuingia darasani, hakuna interview. Shule private zisijilinganishe na Government school, nyie jilinganisheni na FEZA, IST, Kemilembe etc, ambazo wao hawafanyi ujinga wa kuwatesa watoto kusoma masaa 11 na wanafaulu. Igeni wenzenu wanavyofundisha
 
Mkuu ni kitendo cha wewe kuachana na hiyo shule na kumtafutia mtoto shule nyingine. hakuna haja ya kuumiza kichwa kwa vitu vyenye machaguo kadha wa kadha

Kweli, mimi tayari nimeshamuhamishia mwanangu shule nyingine tayari, ila nawaonea huruma watoto waliobaki na hata wazazi ambao wana malalamiko pia, lakini ukishalipa ada, ada hairudishwi, wengi hawana uwezo wa kulipa ada mara mbili ukiwa hujajiandaa kwa hilo
 
Nchi inajiendeaendea tu...
Hakuna mwenye mamlaka.. kila mmoja anajiamulia cha kufanya.
Hovyooo
 
Tanzania Hakuna Jambo Lenye Mwongozo Zaidi Unayoyaona Ni Mwayangumwayangu Tu
 
Nchi inajiendeaendea tu...
Hakuna mwenye mamlaka.. kila mmoja anajiamulia cha kufanya.
Hovyooo
Waziri Anayehusika Ama Viongozi Wanakula Maisha Wanaacha Kila Kitu Ama Watu Wajifanyie
 
Hii Shule kwenye matawi yake yote ya Dar na Dodoma wanalazimisha watoto wa darasa la 4 na 7 kuanza masomo saa 12 asubuhi na wanamaliza kusoma saa 11 na nusu jioni. Yaani watoto wadogo wa miaka 7 au 8 wanasoma kwa masaa 11 na nusu kwa siku. Sijui kama kuna maana nyingine zaidi ya kuwanyanyasa watoto.

Hivi kuna hata chuo kikuu mwanafunzi anasoma masaa 11 na nusu kwa siku?

Kibaya zaidi, hakuna option ya school bus kwa watoto wa darasa la 4 na 7, maana wanataka lazima mzazi umlete mtoto shule na urudi kumfuata hiyo jioni. Wanafanya hivyo ili mzazi aone ratiba na gharama ni ngumu na hivyo ni kama wanalazimisha mtoto apelekwe boarding, wana boarding ambayo ada inaongezeka toka Tshs 2.2M kwenda Tshs 4.4M. Yaani kuongeza kipato kwa shule ndio malengo makuu bila kujali usumbufu kwa watoto. Mabweni yao yenyewe wala hayako maeneo ya shule, kama shule ya Dar, shule ipo Tabata Barakuba ila Mabweni yako Kinyerezi.

Mabadiriko ya utaratibu mzazi unaambiwa tayari mtoto akiwa darasa la Nne, yaani wakati anasoma la 1 hakuna sehemu wanasema akifika la 4 hatatumia school bus na atasoma kwa masaa 11 na nusu.

Malalmiko yako mengi toka kwa wazazi na shule ziko nyingi zinazofanya kinyume na maelekezo ya wizara ya Elimu lakini hakuna hatua sheria inachukua, hata ya kuwakemea tu, ipo kimya.

Haya: Ongeza orodha ya shule zingine zenye haya matatizo.
Pole sana na kifo cha Teacher Bhoke
 
Kweli, mimi tayari nimeshamuhamishia mwanangu shule nyingine tayari, ila nawaonea huruma watoto waliobaki na hata wazazi ambao wana malalamiko pia, lakini ukishalipa ada, ada hairudishwi, wengi hawana uwezo wa kulipa ada mara mbili ukiwa hujajiandaa kwa hilo
Wenye mamlaka wanapita nafikiri na hilo watalitazama
 
Hii Shule kwenye matawi yake yote ya Dar na Dodoma wanalazimisha watoto wa darasa la 4 na 7 kuanza masomo saa 12 asubuhi na wanamaliza kusoma saa 11 na nusu jioni. Yaani watoto wadogo wa miaka 7 au 8 wanasoma kwa masaa 11 na nusu kwa siku. Sijui kama kuna maana nyingine zaidi ya kuwanyanyasa watoto.

Hivi kuna hata chuo kikuu mwanafunzi anasoma masaa 11 na nusu kwa siku?

Kibaya zaidi, hakuna option ya school bus kwa watoto wa darasa la 4 na 7, maana wanataka lazima mzazi umlete mtoto shule na urudi kumfuata hiyo jioni. Wanafanya hivyo ili mzazi aone ratiba na gharama ni ngumu na hivyo ni kama wanalazimisha mtoto apelekwe boarding, wana boarding ambayo ada inaongezeka toka Tshs 2.2M kwenda Tshs 4.4M. Yaani kuongeza kipato kwa shule ndio malengo makuu bila kujali usumbufu kwa watoto. Mabweni yao yenyewe wala hayako maeneo ya shule, kama shule ya Dar, shule ipo Tabata Barakuba ila Mabweni yako Kinyerezi.

Mabadiriko ya utaratibu mzazi unaambiwa tayari mtoto akiwa darasa la Nne, yaani wakati anasoma la 1 hakuna sehemu wanasema akifika la 4 hatatumia school bus na atasoma kwa masaa 11 na nusu.

Malalmiko yako mengi toka kwa wazazi na shule ziko nyingi zinazofanya kinyume na maelekezo ya wizara ya Elimu lakini hakuna hatua sheria inachukua, hata ya kuwakemea tu, ipo kimya.

Haya: Ongeza orodha ya shule zingine zenye haya matatizo.
Mbona hilo ni shule zote? Hata za serikali. Wengine wanataka watoto wapelekwe boarding kipindi hicho. Tamko la jumla litolewe kwa shule zote.
 
Hongera Fountain Gate academy nyinyi ni wa kuigwa na mfano bora.

Wacha hawa wanaosoma masaa nane waendelee hivyo hivyo tutakutana kwenye results!

Hakuna maneno tunyukane kwenye matokeo.
Mwisho wa siku wote mnakutana kwenye soko la ajira na ajira hakuna aisee!!

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Sio hao tu, shule kibao za binafsi naona zimeona hiyo ndio trend kwa sasa, sijui ni miongozo ipi ya wizara husika inayowapa nafasi ya kufanya hivyo!

Yaani shule zimekuwa zikiumiza watoto, ili zenyewe zipaishe majina yao kwa kuwa na ufaulu mzuri wa kulazimisha...

Hivi mtihani wa darasa la 4 kweli ndio wa kusomesha watoto kama wanatafuta ajira NASA!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom