Mr the dragon
JF-Expert Member
- Apr 14, 2017
- 1,937
- 3,718
Yaani eneo la mraba urefu Mara urefu wake huo huo. Ndio mtt akashindie shule kiasi kwamba akose basic skills za ukuaji. Yaani Kuna watu Ni malimbukeni na shule Mara utamsikia anajisifia mbele ya watu kuwa nasomesha nalipa Ada 5M ,Kama zile enzi kuwa mie redio yangu nimenunua laki mbili sio Kama Ile ya masanja alinunua laki moja na nusu.Sio hao tu, shule kibao za binafsi naona zimeona hiyo ndio trend kwa sasa, sijui ni miongozo ipi ya wizara husika inayowapa nafasi ya kufanya hivyo!
Yaani shule zimekuwa zikiumiza watoto, ili zenyewe zipaishe majina yao kwa kuwa na ufaulu mzuri wa kulazimisha...
Hivi mtihani wa darasa la 4 kweli ndio wa kusomesha watoto kama wanatafuta ajira NASA!
Yaani eneo la mraba urefu Mara urefu wake huo huo. Ndio mtt akashindie shule kiasi kwamba akose basic skills za ukuaji. Yaani Kuna watu Ni malimbukeni na shule Mara utamsikia anajisifia mbele ya watu kuwa nasomesha nalipa Ada 5M ,Kama zile enzi kuwa mie redio yangu nimenunua laki mbili sio Kama Ile ya masanja alinunua laki moja na nusu.
Siamini kuwa kutoa hela nyingi ndio guarantee ya best education. Nimesoma na nimekuwa nafanya biashara.
Wateja unatenganisha mchele sampo moja Ila unaweka Bei tofauti,Ila Cha ajabu wanakomalia ule wa Bei ya juu kuwa una Nini. Yaani ukijua akili za binadamu utaishi kwa amani mno. We've a lot of fuckiiiiniii mental flaws of processing information.
Bidhaa ikiganda tu dukani naipandishia Bei mbona itanunuliwa.
Yaani watu wanaaminia kuwa price is equal or signify quality.
Hata hichi kitu Warren buffet anakiongea kila siku kuwa cheki quality not price.
Ego tu zinasumbua watu na Zinawa drive.
Let say mtu wa iPhone anafanya Nini kwa simu yake ambacho mie siwezi fanya,Ila ninamiliki iPhone 15 max pro,dola alfu moja nimenunua direct USA kabisa.
Wenetu wanatumika vibaya ili shule ionekana wamepata ufaulu wa daraja la juu kwa gharama ya maisha ya hawa watoto wadogo.Hii Shule kwenye matawi yake yote ya Dar na Dodoma wanalazimisha watoto wa darasa la 4 na 7 kuanza masomo saa 12 asubuhi na wanamaliza kusoma saa 11 na nusu jioni. Yaani watoto wadogo wa miaka 7 au 8 wanasoma kwa masaa 11 na nusu kwa siku. Sijui kama kuna maana nyingine zaidi ya kuwanyanyasa watoto.
Hivi kuna hata chuo kikuu mwanafunzi anasoma masaa 11 na nusu kwa siku?
Kibaya zaidi, hakuna option ya school bus kwa watoto wa darasa la 4 na 7, maana wanataka lazima mzazi umlete mtoto shule na urudi kumfuata hiyo jioni. Wanafanya hivyo ili mzazi aone ratiba na gharama ni ngumu na hivyo ni kama wanalazimisha mtoto apelekwe boarding, wana boarding ambayo ada inaongezeka toka Tshs 2.2M kwenda Tshs 4.4M. Yaani kuongeza kipato kwa shule ndio malengo makuu bila kujali usumbufu kwa watoto. Mabweni yao yenyewe wala hayako maeneo ya shule, kama shule ya Dar, shule ipo Tabata Barakuba ila Mabweni yako Kinyerezi.
Mabadiriko ya utaratibu mzazi unaambiwa tayari mtoto akiwa darasa la Nne, yaani wakati anasoma la 1 hakuna sehemu wanasema akifika la 4 hatatumia school bus na atasoma kwa masaa 11 na nusu.
Malalmiko yako mengi toka kwa wazazi na shule ziko nyingi zinazofanya kinyume na maelekezo ya wizara ya Elimu lakini hakuna hatua sheria inachukua, hata ya kuwakemea tu, ipo kimya.
Haya: Ongeza orodha ya shule zingine zenye haya matatizo.
Anazak iliyopo kimara wananza masomo saa kumi na mbili na kumaliza saa tatu usikuHii Shule kwenye matawi yake yote ya Dar na Dodoma wanalazimisha watoto wa darasa la 4 na 7 kuanza masomo saa 12 asubuhi na wanamaliza kusoma saa 11 na nusu jioni. Yaani watoto wadogo wa miaka 7 au 8 wanasoma kwa masaa 11 na nusu kwa siku. Sijui kama kuna maana nyingine zaidi ya kuwanyanyasa watoto.
Hivi kuna hata chuo kikuu mwanafunzi anasoma masaa 11 na nusu kwa siku?
Kibaya zaidi, hakuna option ya school bus kwa watoto wa darasa la 4 na 7, maana wanataka lazima mzazi umlete mtoto shule na urudi kumfuata hiyo jioni. Wanafanya hivyo ili mzazi aone ratiba na gharama ni ngumu na hivyo ni kama wanalazimisha mtoto apelekwe boarding, wana boarding ambayo ada inaongezeka toka Tshs 2.2M kwenda Tshs 4.4M. Yaani kuongeza kipato kwa shule ndio malengo makuu bila kujali usumbufu kwa watoto. Mabweni yao yenyewe wala hayako maeneo ya shule, kama shule ya Dar, shule ipo Tabata Barakuba ila Mabweni yako Kinyerezi.
Mabadiriko ya utaratibu mzazi unaambiwa tayari mtoto akiwa darasa la Nne, yaani wakati anasoma la 1 hakuna sehemu wanasema akifika la 4 hatatumia school bus na atasoma kwa masaa 11 na nusu.
Malalmiko yako mengi toka kwa wazazi na shule ziko nyingi zinazofanya kinyume na maelekezo ya wizara ya Elimu lakini hakuna hatua sheria inachukua, hata ya kuwakemea tu, ipo kimya.
Haya: Ongeza orodha ya shule zingine zenye haya matatizo.
Elimu inatolewa kwa miongozo na si kila shule inakuja na maelekezo ya kipuuzi kama hayaKwani lazima kusomesha hapo mwanao?
Huu ujinga haupo kwa shule zinazomilikiwa na kanisa katolikiHii Shule kwenye matawi yake yote ya Dar na Dodoma wanalazimisha watoto wa darasa la 4 na 7 kuanza masomo saa 12 asubuhi na wanamaliza kusoma saa 11 na nusu jioni. Yaani watoto wadogo wa miaka 7 au 8 wanasoma kwa masaa 11 na nusu kwa siku. Sijui kama kuna maana nyingine zaidi ya kuwanyanyasa watoto.
Hivi kuna hata chuo kikuu mwanafunzi anasoma masaa 11 na nusu kwa siku?
Kibaya zaidi, hakuna option ya school bus kwa watoto wa darasa la 4 na 7, maana wanataka lazima mzazi umlete mtoto shule na urudi kumfuata hiyo jioni. Wanafanya hivyo ili mzazi aone ratiba na gharama ni ngumu na hivyo ni kama wanalazimisha mtoto apelekwe boarding, wana boarding ambayo ada inaongezeka toka Tshs 2.2M kwenda Tshs 4.4M. Yaani kuongeza kipato kwa shule ndio malengo makuu bila kujali usumbufu kwa watoto. Mabweni yao yenyewe wala hayako maeneo ya shule, kama shule ya Dar, shule ipo Tabata Barakuba ila Mabweni yako Kinyerezi.
Mabadiriko ya utaratibu mzazi unaambiwa tayari mtoto akiwa darasa la Nne, yaani wakati anasoma la 1 hakuna sehemu wanasema akifika la 4 hatatumia school bus na atasoma kwa masaa 11 na nusu.
Malalmiko yako mengi toka kwa wazazi na shule ziko nyingi zinazofanya kinyume na maelekezo ya wizara ya Elimu lakini hakuna hatua sheria inachukua, hata ya kuwakemea tu, ipo kimya.
Haya: Ongeza orodha ya shule zingine zenye haya matatizo.