Four cylinder Vs six cylinder

Four cylinder Vs six cylinder

Sijawahi Kuona Gari ya 6cylinders ikawa Na 2000cc. Huku north America Gari zote za V6 zinaanzia 3000cc hadi 4200cc. Wanajuwa zaidi fafanueni
Toyota Mark 2 Gx81 ina 6 cylinder na 2000cc.
 
Sina tofauti sana na wachangiaji wa mwanzo ila hapa nataka kuongezea kidogo nilicho nacho. CC ni kifupi cha centimeter cubic ( sentimeta za ujazo) wa cylinder moja kati ya 4 au 6. Kuwa na CC moja na namba za cylinder tofauti inawezekana. tofauti tutayoipata ni Torque ya Engine au kwa kiswahili ni nguvu inayotoka kwenye Engine, Pia ni tofauti kabisa na ulaji wa mafuta. Ulaji wa mafuta unategemea mfumo wa mafuta wa Engine husika..e.g huwezi kufananisha ulaji wa mafuta wa mfumo wa VVTI na EFI au conventional japokuwa zinaweza kuwa na CC moja ya cylinder, yote hayo ni kwa sababu ya utofauti wa technology.
 
Sina tofauti sana na wachangiaji wa mwanzo ila hapa nataka kuongezea kidogo nilicho nacho. CC ni kifupi cha centimeter cubic ( sentimeta za ujazo) wa cylinder moja kati ya 4 au 6. Kuwa na CC moja na namba za cylinder tofauti inawezekana. tofauti tutayoipata ni Torque ya Engine au kwa kiswahili ni nguvu inayotoka kwenye Engine, Pia ni tofauti kabisa na ulaji wa mafuta. Ulaji wa mafuta unategemea mfumo wa mafuta wa Engine husika..e.g huwezi kufananisha ulaji wa mafuta wa mfumo wa VVTI na EFI au conventional japokuwa zinaweza kuwa na CC moja ya cylinder, yote hayo ni kwa sababu ya utofauti wa technology.
Uko vizuri lkn ngoja niongezee kidogo kuhusu ulaji wa mafuta, torque,in relation to cylinder number ktk engine.
Wa
-Mafuta
Kwa nini ulaji wa mafuta unatofautiana btw system fulani na Nyingine in addition to electronic.
Eg petrol : ili ipate kuchomwa inahitaji imengenyuliwe ktk vipande vingi vidogo, na vichanganywe na hewa safi na lazima mchanganyo uwe ktk
Form ya mvuke.hapa itabidi nitumie lugha sababu sijui Kiswahili chake.
Mchanganyo unatakiwa upate detonation katikati ya chamber ambayo ndio cylinder inapokaa piston.

Ukiweza kutimiza hayo masharti ndipo tunapata less fuel consumption. Natoa maelezo.
Kumengenyuliwa kwa mafuta kunahitaji high pressure with no drop of pressure during injection. Ndipo wakagungua kitu kinaitwa common rail system ukilinganisha na system ya zamani ambayo ni pulse system.

Injection yenyewe ya mafuta inatakiwa ifanyike na isimame kwa muda uliopangwa bila delay, we call metering. Ili ufanye metering lazima uwe na logic circuits ambayo ndio hii electronic.
Hapa ulaji wa mafuta unaokolewa kama ifuatavyo
Normal injection inafanyika with drop of pressure, ktk pik pressure patafanyika injection,mid and half mid pressure bado patafanyika injection. Mid and half mid pressure injection mafuta yanapotea sababu hayatachomwa Compare to common rail system ambayo injection inafanyika ktk pik pressure only.

Somo lefu sana nitawachanganya.
 
mnaandika maelezo mengi marefu afu hamna kitu.....unawezaje kusema engine ya cc 2000 cly 4 inakula mafuta mengi kuliko ya cc 2000 cly 6?? tumia akili acha upotoshaji
 
mnaandika maelezo mengi marefu afu hamna kitu.....unawezaje kusema engine ya cc 2000 cly 4 inakula mafuta mengi kuliko ya cc 2000 cly 6?? tumia akili acha upotoshaji
Kabisa wala si upotoshaji.
Cc2000 cylinder 4 mechanical fuel injection inakula kilimo 2000cc 6cylinder electronic mechanical fuel injection.
Ktk electronic mechanical fuel injection ambayo ni 6cylinder kwa taarifa yako usidhani injection ya mafuta inafanyika ktk cylinder zote kwa wakati moja.its depends on throte comand ya mguu wako.
Ni bora ungeuliza kitu ambacho hukuelewa kuliko kusema napotosha.
4cylinder mechanical fuel injection ina open loop
6cylinder electronic mechanical fuel injection ina closed loop with a feed back.kwa nini ile mafuta
Go to hell nyumbu
 
Maswala mengine sio hata ya kutumia nguvu just simple theory.
Huyu ana miguu sita na yule ana miguu minne alafu wote unawapa kazi ya uzito moja yupi atatumia nguvu nyingi kufanya hiyo kazi.

Engine CC is the displacement (in cubic centimeters) of the engine's internal cylinder volume swept by the pistons in one full revolution.
 
ww cumins tunaongelea gari sawa kila kitu kasoro number of cylinder sawa?? usiniletee mambo ya vvti wala d4 kama ni vvti zote ziwe sawa
 
Habari wakuu naomba kuweka kwenu huu mjadala mtu anayetumia cc 2000 lakini four cylinder na anayetumia cc 2000 lakini six cylinder.
Hapo tofauti ni nin
Huyo mwenye 2000cc lakin six cylinder atakuwa na ulaji mkubwa wa mafuta na gari yake itakuwa na nguvu zaid kuizid ya four lakin pia six itakuwa na speed zaid.
 
Six cylinder ina nguvu sana na inakimbia kukiko 4 cylinder! Na six cylinder inakunywa mafuta madogo kiasi ukilinganisha na 4 cylinder.
Hapana mkuu hapo kwenye mafuta nadhani six itakuwa inafungua zaid
 
The more the cylinder, the more the fuel, the more the fuel, the more the combustion, the more the combustions, the more the velocity ( speed)
 
Tofauti nayoifahamu mimi ni kwanba 4 cylinders nyingi huwa zinakuwa ziko in-line yaani zimejipanga katika mstari tofauti na 6 cylinders nyingi huwa zinakuwa zimejipanga kama "V" katika engine, 3 kushoto na 3 nyingine kulia. V6 mara nyingi huwa zinakuwa ni engine zenye nguvu na utulivu kuliko 4 cylinders.
 
ni sawa, kumbuka namba nilizoziweka hapo juu sio halisia ila zimetumika kuelezea uhusiano wa cylinder na cc.

pia kuna upungufu wa maneno ya kiswahili ya kuelezea mambo haya tofauti na kingereza labda ni kwa sababu mm siyajui au hayapo kabisa. mfano power, energy, force, torque zote nazijua kama nguvu kwa kiswahili japo kwa kingeleza ni nguvu zenye ujumbe tofauti.

pia mm sio mtu mwenye taaluma ya magari na injini ila nina uelewa fulani fulani.. nimejitosa baada ya kuona uzi hajapata wa kuusemea vizuri.. hata hivyo ni mwanzo mzuri kwa wenye uelewa zaidi kuweka ufafanuzi mzuri zaidi
Lugha nyingi zinakopa maneno mkuu kuna kitu kinaitwa kutohoa yani unaazima neno toka lugha nyingine unalitumia kwny lugha yako ili kufikisha ujumbe,we tiririka tu mkuu km hakuna la kisw weka lililopo tutaelewa tu!
 

Duh huu mtanange naufuatilia tangu mwanzo ni kiboko lakini una faida na hasara zake, kuna tofauti kati matimozi ya mafuta, speed na matengenezo hebu angalia hiyo clip
Ila hapa chini 2cyilinder imeonekana ni nafuu zaidi
While the numbers are stacked against it, I found that in the right circumstances, it is possible to get better mileage out of the four-cylinder Sorento. On my longish, modest speed rural-highway commute, I observed more than 25 mpg in the four-cylinder version, versus just 21 in the V6. Of course, results may vary depending on routes, speed, and driving style.

The Sorento is the only new car in our current test that defies conventional wisdom. The next closest model I could find is the
Toyota RAV4,
which gets 22 mpg overall with the V6 engine,
and 23 mpg with the four cylinder.
 
Kabisa wala si upotoshaji.
Cc2000 cylinder 4 mechanical fuel injection inakula kilimo 2000cc 6cylinder electronic mechanical fuel injection.
Ktk electronic mechanical fuel injection ambayo ni 6cylinder kwa taarifa yako usidhani injection ya mafuta inafanyika ktk cylinder zote kwa wakati moja.its depends on throte comand ya mguu wako.
Ni bora ungeuliza kitu ambacho hukuelewa kuliko kusema napotosha.
4cylinder mechanical fuel injection ina open loop
6cylinder electronic mechanical fuel injection ina closed loop with a feed back.kwa nini ile mafuta
Go to hell nyumbu
Msamehe tu huyo jamaa yetu nimewawekea waone the same car kwa cc lkn moja ni 4cyulinder na ya pili ni 6 cyilinder
lakini ukielezea hizi gari za Kilimo kwanza na EPA zinazotumia Common rail hakuna atakayekuelewa maana hizi gari uchakataji wake wa mafuta ni controlled na hivyo hutunza mafuta yakatumika kwa umbali mrefu kuliko zile za awali za VX V8
hii migari ya Commonrail hata pick-up zake speed dashboard ni 240 km/h lkn wengine na the same cc wanagota 180km/h
NDIO MAANA NIKASEMA HII MADA SI YA HAPA
Mkuu cumins kuna pahali ulitaka kuzungumzia Torque ukaacha, ila nachojua tirque ni mambo ya mzunguko wa crankshaft kuna member amelitumia visivyo sikumbuki ni wapi
 
Elimu ya kuunga unga mna maswali ya shombo mno.
Sio elimu ya kuunga hapo kaongea la maana sana sababu koki nne zinaweza zikawa zina tundu lenye vipenyo vikubwa kuliko koki sita lenye tundu zenye vipimo vidogo hapo unafikiri tank lipi litawahi kuisha maji, lenye vitundu vyenye vipenyo vidogo au lenye vipenyo vikubwa?
 
Jamani humu ndani mwenzako anapotoa ufafanuzi fulani bora pinga kwa kutoa data kuliko kupinga kwa kutoa maneno ambayo hayato kusaidia kuelewa au kueleweshwa.
Mtu akiona engine ina piston nyingi basi anachojua lzm itakuwa inakula mafuta mengi.kitu ambacho ni hapana.
Unapozungumzia ulaji wa mafuta wa gari ina factor nyingi za kuangalia.
Maelezo niliyotoa ya ulaji wa mafuta ya gari nilibeza zaidi ktk system ya mafuta na development yake.
Siku hizi kuna injector zinaoperate kwa umeme.
Valve inafungua kwa hydraulic
Mafuta yanakuwa ktk ujoto unaotakiwa wakati wote unapokuwa unaendesha gari.yakipata moto yanapozwa,yakiwa yabaridi yanapashwa moto.
Unaweza kuta engine ina cylinder6 lkn sio zote zinapata mafuta kwa wakati mmoja .inategemea na speed .idle speed badala ya kuchoma zote6 zinachoma 3 tu.
Hizo ni factor tu za mifumo ya mafuta ilivyoendelezwa ili kupunguza ulaji.

Tuchukulie prado 6cylinder cc kubwa na prado 4 cylinder cc zitoke dar kwenda iringa full speed ipi itakula mafuta?
Tulio wengi tutasema 6cylinder itakula mafuta mengi.
Lkn ulaji wa mafuta unategemea haya yafuatayo unapokuwa ktk speed
- takeoff =friction force +engine torque or thrust
- after takeoff=how engine torque and friction btwn mataili na ardhi vimesyncronise na ya mwisho
-time=ni muda gani utachukua kufika iringa.


Takeoff ni pale unapoanza safari engine bado ipo ya baridi hadi inapoanza kuchanganya speed.unaweza kuta gari nyingine zinachelewa kuchanganya dpeed na nyingine zinawahi .hapo hiyo inayochelewa inakula sana mafuta .
Muda . ukitumia muda mfupi kufika utakula mafuta machache lkn ukitumia muda mwingi unakula mafuta mengi.
Mfano kilimanjaro boat za bakhresa
Kilimanjaro1 ilikuwa ina v12 engine na kilimanjaro 4 au 3 ina V16. Lkn kilimanjaro 1 ilikuwa inakula mafuta sawa na kilimanjaro 4 ktj trip dar zanzibar.
 
Me nna swali...inline arrangement ya cylinder ni sawa kuita V?...maana naona kuna mtu amerefer 1G kama V!!!
 
In lin arangement ipo tofauti na v arangement
Ndo nikashangaa nikajua labda mm ndo ninakosea maana nimeona mtu anasema ukiona gari ya cylinder 4 ujue ni V4 na 6 ni V6...inamaana engine zote ni V arrangement...what about rotary engines nazo c watasema ni V6...[emoji124] [emoji124]
 
Ndo nikashangaa nikajua labda mm ndo ninakosea maana nimeona mtu anasema ukiona gari ya cylinder 4 ujue ni V4 na 6 ni V6...inamaana engine zote ni V arrangement...what about rotary engines nazo c watasema ni V6...[emoji124] [emoji124]
Unamaanisha nini unaposema rotary engines?
Most engine tulizozungumzia ni resprocating engines.

Unaposemea rotary engines kwa mimi nitarefer turbines engines .
Sasa sijajua ulikuwa unamaanisha nini neno rotary ulivyolitumia
 
Back
Top Bottom