joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]Hio ni jibu nzuri sana na inaonyesha kwamba kama ungekuwa kiongozi, ungeleta mabadiliko mema. Inaonyesha pia wewe ni mtu mwenye akili. Nakubaliana na wewe kwa kila kitu umesema. Sasa, sisi waafrika tuna shida sana maana tunajua jambo tunalostahili kulifanya lakini huwa hatulifanyi. Usijali, ideas tunazo lakini, nchi nyingi zitazidi kuwa masikini kwa sababu viongozi hawajali masilahi ya wananchi wao. Naamini hii inaaply kwa nchi karibia zote za Afrika.
Watanzania Mkitaka kupokea hiyo misaada Mimi sitaweza kuwazuia.Kwahiyo tuendelee kupokea food donation kutoka nchi zenye jangwa nchi nzima, hadi yesu atakaporudi
Kikuyus MOCK Uhuru for Receiving Food Donations from Desert Country Emirates Yet Jubilee STOLE Money for Galana Irrigation Project
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Tanzania is a food donor, Kenya food recipient [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]Watanzania Mkitaka kupokea hiyo misaada Mimi sitaweza kuwazuia.
Hivi watoto wa shule kukaa chini ni jambo la kushangaza nchi hii kama hata DAR kuna shule watoto wanakaa chini sembuse iwe Mbeya.Basi na makonda asingekarabati ofisi yake pesa yote angeenda kununua madawati.Au hata Raisi asingeweka mafuta kwenye gari zake ili hiyo hela inunue madawati.Kwahiyo tuendelee kupokea food donation kutoka nchi zenye jangwa nchi nzima, hadi yesu atakaporudi
Kikuyus MOCK Uhuru for Receiving Food Donations from Desert Country Emirates Yet Jubilee STOLE Money for Galana Irrigation Project
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Tatizo wewe huijui Tanzania unapiga kelele ukiwa Kibera. Magufuli alipoingia madarakani kampeni yake ya kwanza ilikuwa ni kutengeneza madawati, yalitengenezwa madawati mengi nchi nzima kuzidi uwezo wa vyumba vya madarasa nchini, kiasi cha kusababisha madawati mengine kuhifadhiwa nje na kuanza kuharibika.Hivi watoto wa shule kukaa chini ni jambo la kushangaza nchi hii kama hata DAR kuna shule watoto wanakaa chini sembuse iwe Mbeya.Basi na makonda asingekarabati ofisi yake pesa yote angeenda kununua madawati.Au hata Raisi asingeweka mafuta kwenye gari zake ili hiyo hela inunue madawati.
Jiji la Mbeya msinunue gari la Meya, mtujengee madarasa kwanza
Jiji la Mbeya msinunue gari la Meya, mtujengee madarasa kwanzaTatizo wewe huijui Tanzania unapiga kelele ukiwa Kibera. Magufuli alipoingia madarakani kampeni yake ya kwanza ilikuwa ni kutengeneza madawati, yalitengenezwa madawati mengi nchi nzima kuzidi uwezo wa vyumba vya madarasa nchini, kiasi cha kusababisha madawati mengine kuhifadhiwa nje na kuanza kuharibika.
Tulipoanza kutoa elimu bure, idadi ya wanafunzi imeongezeka na kusababisha wanafunzi kujazana katika chumba kimoja, Tanzania tunashida ya vyumba vya madarasa kuweza kuhifadhi madawati na kupokea idadi kubwa ya wanafunzi, hatuna shida ya madawati, infact tuna madawati ya ziada yasiyotumika.
Tatizo ni akili yako ndogo, kushindwa hata kutumia google kutafuta information, stupid.
anachokisema ni kweli ushindani wa kenya na tanzania ni wa wazi hauwezi badilika haraka kwa kua chanzo chake kikubwa ni soko la rwanda na uganda.Mtanzania mwenzako anaulizia fursa za kibiashara, alafu we unamjibu kwa pumba. Anayemzuia asafirishe 'mahindi yake' hadi kwenye soko za Kenya ni wakenya? Jione!
Hata Dar es salaam yenyewe watoto hawana madarasa...Capital city.Tatizo ni akili yako ndogo, kushindwa hata kutumia google kutafuta information, stupid.
Kampeni ya kuchangia madawati kitaifa kwanini tusifanye na kwenye madawa Hospitalini?
Residents stare at starvation as drought ravages Kajiado CountyHata Dar es salaam yenyewe watoto hawana madarasa...Capital city.
Huku wengine ni stunted growthResidents stare at starvation as drought ravages Kajiado County
Dunia haina usawa, wengine wanataka vyumba vya madarasa ili wasome kwa utulivu, jirani watoto wanaacha shule kwasababu ya njaa.
Sasa wewe chizi unazungumzia stunted wakati sisi tunazungumzia vifo, huoni aibu?
One of the reasons Kenya is decelerating in many sectors, and in fact is doing many mistakes in projects and other area of developments, and why tribalism and corruption will never end, is because Kenyans think they know each and everything, they are not ready to learn from others.Why is it that some Kenyans feel that all Tanzanians are stupid and their opinions on certain issues ought to be ignored. When a Kenyan asks a Tanzanian a genuine question, some Kenyans get pissed off. Is it that some Kenyans think that they are all knowing and almighty and that Tanzanians are all stupid and irrelevant. Then what is the point of Jamii forums, if we can't question our brothers from across the border? If someone doesn't like Jamii forums, they should just boot off. Infact Jamii forum is a public forum and doesn't belong to anyone so no one has the right to tell another how to behave in here. If the heat is too much people should just get out of the kitchen.
there ego is over the ceiling!One of the reasons Kenya is decelerating in many sectors, and in fact is doing many mistakes in projects and other area of developments, and why tribalism and corruption will never end, is because Kenyans think they know each and everything, they are not ready to learn from others.
Leo imetangazwa kwamba Kenya imeagiza mahindi mengi sana toka Tanzania[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]waache longolongo waje na mipango ya
kuwanusuru na njaa masikini wakenya.