France ni Lazima wamtimue Didier Deschamps

France ni Lazima wamtimue Didier Deschamps

dos.2020

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2009
Posts
11,880
Reaction score
10,372
Kwa kweli Jamaa amewafelisha sana.

- Kosa la Kwanza ni sakata la Benzema.
Imeabainika kuwa Benzema alitaka kubaki na timu baada ya Injury kocha akamkatalia, na ilip[ofika round of 16 Karim akawa tayari ameshari cover kocha akakataa kumrejesha kikosini. Na kuna fununu Kocha alicheza mchongo na Doctor ili Injury yake ionekanwe kubwa.

Unaanzaje kumfanyia Best Player Wako upuuzi kama huo? kwa kutegemea nini Kabisa? Ukweli utabaki kuwa Dischmap Alimrejesha Benzema Nationality Kwa shinikizo tu, ila moyoni Alikua na chuko nae.

- Game Plan yake ya Final ilikua ni ovyo kabisa na mechi alishindwa mapema kabla ya hata mchezo kufika hata dakika 30.

Unachezeshaje timu katika mechi ya more defensive tena kutoka kwa High Pressing team bila ya kuwa na midfield hata mmoja anaeweza kutembea kwa kasi na mpira ili aweze kuiunganisha timu baina ya midfield na Attack? Camavinga alitakiwa kuanza kwenye ile Mechi au kwa uchache kabisa yeye ndie alitakiwa awe Sub ya Mwanzo kuingia.

- Sub alizozifanya za first half hazikuleta matunda yoyote, zilidhihirisha kuwa zilikuwa ni sub za panic. Alivyowaingiza Camavinga na Coman ndipo timu ilipobadilika. Na hilo lilikuwa ndio tatizo lake na zile ndio sub alizotakiwa azifanye mwanzo.

Kama anagelizifanya zile Sub za Camvinga na Coman bila ya kuwatoa Giroud na Graizman na badala yake kuwabadilsha na Dembele na Rabiot, Argentina wangelizwa ndani ya dakika 90 bila tabu kabisa.

Wasipomtimua wajiandae na manyago mengine mbeleni.
 
Hizo ni siasa za bongo wazungu hawana huo ujinga, hawezi ukaleta mtu kwenye timu wakati fitness level yake iko chini tena match yenyewe fainali, mtaumia sanaaaa, Messi kabeba kombe period

Mkuu mbona unachachawa? Hii mada mbona haimuhusu Messi !! kwanini hua mnashindwa kuzuia emotional zenu kila mahali?
 
Mkuu mbona unachachawa? Hii mada mbona haimuhusu Messi !! kwanini hua mnashindwa kuzuia emotional zenu kila mahali?
Kwani Messi ni mchezaji wa Morocco au France alicheza finali na Morocco? Messi ndo mada hapa sio mgine kawachanganya ufaransa
 
Deschamps alishamaliza mkataba na zidane alishapewa mkataba. Messi is king.
 
  • Thanks
Reactions: Gef
Kabla ya yote kumbuka Deschamp Rasmi anastaafu mwakani
 
Kwa kweli Jamaa amewafelisha sana.

- Kosa la Kwanza ni sakata la Benzema.
Imeabainika kuwa Benzema alitaka kubaki na timu baada ya Injury kocha akamkatalia, na ilip[ofika round of 16 Karim akawa tayari ...
Kocha anampenda sana Giroud, labda shemeji yake au bashaake.
 
Hizo ni siasa za bongo wazungu hawana huo ujinga, hawezi ukaleta mtu kwenye timu wakati fitness level yake iko chini tena match yenyewe fainali, mtaumia sanaaaa, Messi kabeba kombe period
Wew Ni mwanamke au mwanaume ? Unamaneno yautata sana
 
Kwa kweli Jamaa amewafelisha sana.

- Kosa la Kwanza ni sakata la Benzema.
Imeabainika kuwa Benzema alitaka kubaki na timu baada ya Injury kocha akamkatalia, na ilip[ofika round of 16 Karim akawa tayari ameshari cover kocha akakataa kumrejesha kikosini. Na kuna fununu Kocha alicheza mchongo na Doctor ili Injury yake ionekanwe kubwa.

Unaanzaje kumfanyia Best Player Wako upuuzi kama huo? kwa kutegemea nini Kabisa? Ukweli utabaki kuwa Dischmap Alimrejesha Benzema Nationality Kwa shinikizo tu, ila moyoni Alikua na chuko nae.

- Game Plan yake ya Final ilikua ni ovyo kabisa na mechi alishindwa mapema kabla ya hata mchezo kufika hata dakika 30.

Unachezeshaje timu katika mechi ya more defensive tena kutoka kwa High Pressing team bila ya kuwa na midfield hata mmoja anaeweza kutembea kwa kasi na mpira ili aweze kuiunganisha timu baina ya midfield na Attack? Camavinga alitakiwa kuanza kwenye ile Mechi au kwa uchache kabisa yeye ndie alitakiwa awe Sub ya Mwanzo kuingia.

- Sub alizozifanya za first half hazikuleta matunda yoyote, zilidhihirisha kuwa zilikuwa ni sub za panic. Alivyowaingiza Camavinga na Coman ndipo timu ilipobadilika. Na hilo lilikuwa ndio tatizo lake na zile ndio sub alizotakiwa azifanye mwanzo.

Kama anagelizifanya zile Sub za Camvinga na Coman bila ya kuwatoa Giroud na Graizman na badala yake kuwabadilsha na Dembele na Rabiot, Argentina wangelizwa ndani ya dakika 90 bila tabu kabisa.

Wasipomtimua wajiandae na manyago mengine mbeleni.
Kwamba Mmatengo Una uchungu na timu ya Ufaransa kuliko mzaliwa wa Lyon?
 
Hapo nakuunga mkono, watu waliokomaa kama benzema wangefaa fainali, pia griezman asingetolewa maana ndo alikuwa anapita
 
Wasipomtimua wajiandae na manyago mengine mbeleni.
Hatimuliwi ng'o..... isitoshe aliwapa WC mwaka 2018 na Sasa wamemaliza nafasi ya 2 mwaka 2022...

Kucheza fainali mara 2 mfululizo na kushinda moja ni mafanikio.
 
Back
Top Bottom