how old are you broda ? kidding
Sikonge,
Usisahau kuwa kuna jaluo alibahatika kuimba na Franco?......NANA AKUMU
Le QUatro Langa Langa Star, baada ya kuachana ndio kila mmoja alienda kutunga nyimbo zake, ila mwanzo walikua Shungu Wembadio (a.k.a. Kuru), Evoloko Joker, Gina wa Gina (ila alipata ugonjwa wa akili, sasa hivi kapona), Grand Pere Bozi Boziana. NA ile 'plus un' ndio Ya Jossart Mwenyewe. Kumbuka vizuri nyimbo za kukumbushia kama Amazone, KomelesanAhhh mwali..papa wemba na VIVA LA MUSICA ,nyoka longo na ZAIKO LANGA LANGA 'WANA NKOLOMBOKA' waazilishi wa sokuous aka soukus vibration,walimlea pepe kale,kabla ajawaponyoka na kutoka na mtindo wa KWASA KWASA aka mayenu na kitu chake PON MOUN PAKA BUJEE..akiwa na papi tex .TABULEI ndio mtani wake wa jadi akiwa na kundi lake la Afrisa intanationale alilo liunda na dk nico kasanda na madilu kabla hawaja mkimbia 1962 na 1963.KOFFI aka mukulu bilanga..mopao mokonzi mwamuzik msomi mwenye degree ya uchumi na dikteta wa ma rapa...
Ya Josky Kyambukuta...Josky alivyo kwa sasa
Safari, lazima umsikilize huyo mtoto hapo juu. Kwa kweli aliniuwa hasa anapoimba "Bina na ngai na respect."
The late Zitani Dalienst ya Ntessa (died 1994)
At 73 Simaro is still at it.......
Naweza sema kama ni uti wa mgongo wa TP huyu ni mmoja wapo,ndie alipewa kazi ya kuongoza TP baada ya franco kufarik,ni mkali wa kila kona..Coz na tumia cmu ningeweka mambo yake hewan..ckiliza kitu yake ya Testamente ya bowule,maya,ebale ya zaire utakiri kajaliwa sauti na uwezo wa kucheza na gitaa.
Mpaka leo anaishi
SIKONGE NA SAFARI...hebu sikiliza hizi:
TASTEMENTE YA BOWULE
MAYA BOMAYI or MAYA
NON
FAUTE YA CORMACANTE ya sam ngwana.
LES RUMEURS ....bonge la bit
MAKESE YA MEME...true jazz