Franco Luambo Makiadi

Sikonge umechambua kama karanga.
 
Last edited by a moderator:
Bakulutu,
Huyu rarely aliimba.......ila alitunga 80% ya nyimbo za TP OK Jazz......hizo nyimbo ulizotaja ziliimbwa na hawa...Testamente ya bowule(Malage),maya(malage),ebale ya zaire(carlito)

Safari nikupe siri moja ambayo niliipata kutokwa ndugu wa Franco niliwatemblea mwaka juzi..walisema kwenye enzi la TP kulikuwa kuna udikteta fulan hsa ktk uimbaji wa nyimbo hizo,alitunga hizo nyimbo nilizo kutajia ni simaro na aliimba ni simaro na malege kwan franco alikuwa anabana kila wimbo ubaki kwenye albamu zake hata kama cyo yeye akaimba ilimradi tuu iltengenezwa na loningisa studio,ilifika,wengi walikuwa wanatunga ila kuimba ndio alikuwa nawabania,hii check wikipedia hapo uangalie hizi nyimbo kaimba nani then u replay,hii ilileta tabu sana alipo kufa ndio maana ktk kuwanya uridhi famlia ya franco iliambulia kitu kidogo sana wengi walikuwa wanafidia nyimbo zao.
 
nimesikiliza wimbo wa MASU..nimemkumba Mama yangu nikaamua kumpigia simu na kumkumbusha amecheka sana..aliimba nyimbo hizi kwa ustadi mkubwa utafikili nae alikuwa muimbaji wa bendi hii hasa akiwa anafanya shughuli zake kama kufua na kuosha vyombo........
 
Mimi namkubali ingawa sikumbuki majina ya wimbo kuna mmoja kama wanafanya conversation via the phone na demu sijui jina la wimbo ila nauzimikia
 
Mimi namkubali ingawa sikumbuki majina ya wimbo kuna mmoja kama wanafanya conversation via the phone na demu sijui jina la wimbo ila nauzimikia


hiyo kitu inaitwa Mamou..na yule si demu bali ni mwanaume mpiga gitaa.. ....wimbo upo hapo juu we gonga utasikia....
 
Mimi namkubali ingawa sikumbuki majina ya wimbo kuna mmoja kama wanafanya conversation via the phone na demu sijui jina la wimbo ila nauzimikia

nenda page ya 3 post # 58 ndo huo wimbo upo hapo..anagalia na utajua kuwa yulle si demu ni mwanaume kamili ila aliigiza sauti ua kike
 
Mi naikubali sana "Mobutu" lakini sielewi nalizimia tu lile rhumba lake. Alikuwa anamponda au anamfagilia Mobutu?
 
JF members mnajua mambo, wengine tulikuwa watoto those days,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…