Bakulutu
JF-Expert Member
- Nov 30, 2011
- 2,557
- 1,787
Watu wanaimba,wengine wana bana pua,wengine studio za kichina zinawashine suati zao...LAKINI..huyu jamaa... alikuwa mwanamziki kweli na kipaji kutoka kwa Mungu.Mfalme wa rhumba(Le grand maiter),mchawi wa gitaa(guitar sossuor).
Kwa upande wangu mimi ndio chaguo langu la kwanza dunian pamoja na kundi lake loooote la Le Tuitor Puisant (All Power)ok jazz,kuanzia Madilu,Sager essuso,Simaro lutumba masia,Sam Mangwana'KICHWA BALAA', josky kiambukata,Mavitukuvisi & much moreee!
Je wewe unamuelewaje Franco na TP Ok jazz nzima??????
Kwa upande wangu mimi ndio chaguo langu la kwanza dunian pamoja na kundi lake loooote la Le Tuitor Puisant (All Power)ok jazz,kuanzia Madilu,Sager essuso,Simaro lutumba masia,Sam Mangwana'KICHWA BALAA', josky kiambukata,Mavitukuvisi & much moreee!
Je wewe unamuelewaje Franco na TP Ok jazz nzima??????