Frank Humplink (1927 - 2007) The Pioneer of East African Sound

Frank Humplink (1927 - 2007) The Pioneer of East African Sound

Franco Zetta,
Haya makala yaliopo hapa JF ni kutoka gazeti la The East African ambao
walichapa taazia yake.

Nilipokwenda Lushoto kutoa mkono wa taazia kwa mkewe mama yangu
yule alikuwa tayari keshalipata gazeti.

Alinambia alifurahi sana kuona angalau mumewe wako wanaomthamini.
Yeah nimesoma thread yako yote,naona kweli una ukaribu na hiyo familia na ni vizuri kuwa ulifika kumfariji mama na alifarijika kutokana na hilo gazeti japo ni la kutoka nchi jirani ni jambo la kumshukuru Mungu.
 
Nilipoanza kusoma bandiko hili sikuliacha mpaka mwisho wake . Hongera sana Mohamed kwa kazi hii nzuri uliyoifanya kuhusu marehemu Frank na mchango wake kwa kutuburudisha wengi wetu wakati wa uhai wake. Tumezoea mara nyingi kusoma maandiko ya Mohamed ambayo huwa kidogo controversial lakini kama ataendelea kuandika makala kama jinsi alivyoandika makala haya na sio tu kutuelimisha juu ya michango ya watu mbali mbali katika kuiendeleza jamii yetu bali hata kutupa burudani kwa uandishi usiochosha kusoma. Hongera sana kwa kazi nzuri ,please keep it up.

Kuna editing kidogo ufanye spelling za 'career" na sio" carrier".
 
Nilipoanza kusoma bandiko hili sikuliacha mpaka mwisho wake . Hongera sana Mohamed kwa kazi hii nzuri uliyoifanya kuhusu marehemu Frank na mchango wake kwa kutuburudisha wengi wetu wakati wa uhai wake. Tumezoea mara nyingi kusoma maandiko ya Mohamed ambayo huwa kidogo controversial lakini kama ataendelea kuandika makala kama jinsi alivyoandika makala haya na sio tu kutuelimisha juu ya michango ya watu mbali mbali katika kuiendeleza jamii yetu bali hata kutupa burudani kwa uandishi usiochosha kusoma. Hongera sana kwa kazi nzuri ,please keep it up.

Kuna editing kidogo ufanye spelling za 'career" na sio" carrier".
Ndinani,
Ahsante ndugu yangu.
Kila mwandishi anahitaji mhariri nitafanya masahihisho.

Haya makala nimeandika 2007.
Ingia hapa huenda ukaipenda na hii ya Sal Davis:
Mohamed Said: FROM THE PAGES OF THE EAST AFRICAN MAGAZINE: SAL DAVIS
 
Ingia hapa huenda ukaipenda na hii ya Sal Davis:

Nimeingia kwemye hiyo link ya Sal Davis nayo umeiandika vizuri tu. Sal Davis mimi nilikuwa nazifahamu nyimbo zake lakini nimekuja kukutana nae hapa Dar Gymkhana club akicheza golf wakati huo ana huo mkataba na Kilimanjaro Hotel. Siku moja moja akichangamka alikuwa anatuimbia wimbo wake wa MAKINI na kusema kweli sauti yake anapoimba ni tofauti na anapozungumza!!

Lead guitarist wa kikundi cha muziki cha RIFTERS umemuandika George Muhuto; nadhani kaka yake Deorge akiitwa MIKE MUHUTO ndio alikuwa lead gitarist wa RIFTERS,wakiishi kule magomeni Mikumi!!!
 
Mohamed Said,

..asante kwa hii article.

..umenikumbusha wimbo wa "kwenye kabati kuna nyoka" nilikuwa nausikiliza kwenye kipindi cha rtd zilipendwa.

..pia nautafuta wimbo wa "harusi" lakini imeshindikana kuupata popote. naupenda zaidi wa Frank kuliko alioimba Patrick.

..asante tena kwa article hii. sikujua kama ulipata kuishi Moshi?!!
 
J
Mohamed Said,

..asante kwa hii article.

..umenikumbusha wimbo wa "kwenye kabati kuna nyoka" nilikuwa nausikiliza kwenye kipindi cha rtd zilipendwa.

..pia nautafuta wimbo wa "harusi" lakini imeshindikana kuupata popote. naupenda zaidi wa Frank kuliko alioimba Patrick.

..asante tena kwa article hii. sikujua kama ulipata kuishi Moshi?!!
JokaKuu,
Nilianza darasa la kwanza Lutheran Primary School, Moshi 1958.

Nikenda Majengo Middle School na hiyo shule yetu ilikuwa gate
lake likitazamana na nyumba ya mama yake Frank Humplink.

Nikimuona Frank Humplink akiendesha pikipiki yake nyuma kuna
guitar lake katika mitaa ya Moshi.
 
J

JokaKuu,
Nilianza darasa la kwanza Lutheran Primary School, Moshi 1958.

Nikenda Majengo Middle School na hiyo shule yetu ilikuwa gate
lake likitazamana na nyumba ya mama yake Frank Humplink.

Nikimuona Frank Humplink akiendesha pikipiki yake nyuma kuna
guitar lake katika mitaa ya Moshi.

..miaka yote najua wewe mtu wa Dar thru and thru.

..sikujua kwamba na wewe una "ukaskazini".

..kumbe Dsm ulikuja tu, ukafundishwa kuvuka barabara, na kula chapati.

..i had an impression you went to santa josefu. Je, hapo ulianza darasa la ngapi?
 
..miaka yote najua wewe mtu wa Dar thru and thru.

..sikujua kwamba na wewe una "ukaskazini".

..kumbe Dsm ulikuja tu, ukafundishwa kuvuka barabara, na kula chapati.

..i had an impression you went to santa josefu. Je, hapo ulianza darasa la ngapi?
JokaKuu,
Sikuja Dar es Salaam.
Nimezaliwa Dar es Salaam.

Moshi nilipelekwa kwenda kusoma.
Likizo zote niko nyumbani Dar es Salaam.

Anifundishe nani kuvuka barabara wakati
barabara ya mbele ya Kipata nilikozaliwa
ni Kitchwele Street (sasa Uhuru Street)?

Siku zile chapati si sana zaidi ni ugali wa
muhogo, papa, ng'onda ndiyo kitoweo na
wali au mseto.

Hivi ndivyo vilikuwa vyakula mashuhuri.

St. Joseph's nilianza form one 1967 nikitokea
Kinondoni Primary School.
 
JokaKuu,
Sikuja Dar es Salaam.
Nimezaliwa Dar es Salaam.

Moshi nilipelekwa kwenda kusoma.
Likizo zote niko nyumbani Dar es Salaam.

Anifundishe nani kuvuka barabara wakati
barabara ya mbele ya Kipata nilikozaliwa
ni Kitchwele Street (sasa Uhuru Street)?

Siku zile chapati si sana zaidi ni ugali wa
muhogo, papa, ng'onda ndiyo kitoweo na
wali au mseto.

Hivi ndivyo vilikuwa vyakula mashuhuri.

St. Joseph's nilianza form one 1967 nikitokea
Kinondoni Primary School.

..LOL!!

..kuzaliwa mjini sawa, lakini umekulia huko mrima, "kaskazini."

..kwa kweli vijana wako mnaolumbana wakisikia habari hii hapatakalika humu ndani.

..nakutania tu.
 
..LOL!!

..kuzaliwa mjini sawa, lakini umekulia huko mrima, "kaskazini."

..kwa kweli vijana wako mnaolumbana wakisikia habari hii hapatakalika humu ndani.

..nakutania tu.
JokaKuu,
Hahahahaaha!

Nilikuwa nikija likizo jamaa wananitania sana kwa kuwa
nilikuwa nikizungumza Kiswahili kwa lafidhi ya Kichagga.

Jamaa wakitaka kunitania waende kwenye shina letu.

Babu yangu mkuu alipotoka Belgian Congo alifikia pale
Shirati Bomani, Musoma na babu yangu kazaliwa huko.

Sasa wakitaka kunipatia waniite Mmanyema Mkurya.
 
Nyimbo za huyu gwiji zinapatikana vipi?
Napenda sana "nyoka kabatini".
 
Radio Tanzania huwa hawana special events za kuuza nyimbo za kale
 
Back
Top Bottom