Frank Humplink (1927 - 2007) The Pioneer of East African Sound

Frank Humplink (1927 - 2007) The Pioneer of East African Sound

Franco Zetta,
Haya makala yaliopo hapa JF ni kutoka gazeti la The East African ambao
walichapa taazia yake.

Nilipokwenda Lushoto kutoa mkono wa taazia kwa mkewe mama yangu
yule alikuwa tayari keshalipata gazeti.

Alinambia alifurahi sana kuona angalau mumewe wako wanaomthamini.
Binafsi niliposkia historian yake kwenye kipindi cha masoud masoud TBC taifa nilijikuta navutiwa na huyu bwana hasa walipopiga nyimbo yake ya nyoka yupo kwenye kabati nilicheka sana ila nilimsahau jina ila nimefurahi sana leo mzee mohamed said umenikumbusha, huyu jamaa alikuwa haogopi kuimba nyimbo kuwasema wakoloni
 
Nmemsikia Masoud masoud leo alfajiri TBC taifa akimzungumzia kumbe Tanzania tuna hazina nzuri hatuzijui
 
1647948251836.png

Frank and His Sisters LP​


The world’s first collection of gorgeous pop songs from Frank and His Sisters, a family band from Moshi, Tanzania. Formed in the early 1950s by Frank Humplick, Thecla Clara and Maria Regina, the trio recorded and toured throughout East Africa and issued a string of instant classics, capturing fans with their beautifully harmonized singing, clever lyrics, and Frank’s stunning guitar work. Imagine the fingerstyle finesse of John Fahey with a pure pop melodicism, combined with the family harmony of groups like The Carter Family, The Roches, and The Beach Boys, set in the golden age of Tanzanian music!

Frank composed many of his songs while working the land on his beloved tractor (really), and once instigated a house-to-house search to destroy all copies of his record “Yes/No” due to political lyrics. He went on to record and tour with the Jambo Boys band before retiring from the music industry in the early 1960s, to focus on his passion for agriculture. But his favorite songs were always the ones he created with his sisters, and we are proud to present 12 of their best.

Previously only heard on painfully rare 78 rpm discs and Tanzanian oldies radio, this album collects the trio’s finest songs, lovingly restored and remastered. We love this music so much that in late 2018 we traveled to Tanzania to meet Frank’s family and collaborate on this album.

The result is a colorful 8-page booklet featuring complete lyrics in English, Swahili and Chaga, as well as previously unpublished photographs, extensive interviews and anecdotes, and a biography by Tanzanian musician and radio host John Kitime. All tracks fully licensed from the Humplick family.

Listen to collection of songs Source :

 
Radio Tanzania huwa hawana special events za kuuza nyimbo za kale

Radio Tanzania RTD au TBC wangejiongeza kingekuwa chombo kikubwa cha kuheshimika 2022 kama Al Jazeera au SABC ya South Africa.

Mfano mbali ya burudani na kijamii pia ki Pan africanism kwani nimekutana na vi-babu vya ANC na PAC huko South Africa wanakumbuka mchango wa Radio Tanzania kwa ukombozi kupitia soft power

https://www.sahistory.org.za › archive
Radio Freedom: A History of South African Underground Radio by ...


29 Apr 2020 — The station reappeared in the late 1960s, broadcasting from black-run countries like Tanzania, Ethiopia, and Madagascar. Over time,
 
Back
Top Bottom