Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anavyo vyeti, vipi kuhusu timu kwa ujumla?Huyu sio kocha
Wanayo ukifukuzwa kabla ya mkataba wako kuisha unakula pension yako hahahaMakocha wana 'pension' kweli?...😂😂
Unapata wapi ujasiri wa kumlinganisha Lampard na Zidane!! Imagine Zidane amechukua Uefa Champions League kwa mara 3 mfululizo akiwa na Real Madrid!!Huyu jamaa anafosi tu lakini hamna kitu kabisa ni kama Zidane