Ata mwaandishi wake mwanahabari hoiNi huzuni kubwa hapa dodoma mtu wa watu Mr Frank Malecela dreva wa RAS-Dom hatunae Tena amefariki taarifa zinasema Jana alikuwa ofsini baadae akawa anajisikia vibaya hv usiku hali ikawa mbaya akakimbizwa hospitali lkn ikawa bahati mbaya akaaga dunia.
Hapo ni wale tu wanaofahamika mm ni marafiki ndg 12 hivi wameshafariki kwa changamoto za upumuaji toka Mbulu na Krt achilia mbali majirani zangu wa hapa TgtJoe kakimbiria Dar
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]Anaefuata atakua mtumiaji wa TECNO KA7 na anaetembea na Waume za watu vibabu
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064]Sifa nyingine ya madanga ya uswazi mbali na umiliki wa TECNO Ni lugha zao. Hawana lugha ya staha na hupendelea kusikia Fulani kafa.
[emoji40][emoji40][emoji40][emoji40][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Jobu yuko wapi
Am looking for my friend nduguwaiIdodomya imechafukaaaa[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
πππππππππππ πππNipo Dodoma now mji wote umezizima tofauti na kipindi cha nyuma nikiwa hapa, cha ajabu akuna hata mmoja anaejali kuchukua taadhari za kujikinga.
Tumbo ni matokeo tuKujipenda gani na hilo tumbo alilonalo brathey?