TANZIA Frank Malecela, dereva wa RAS Dodoma afariki dunia

TANZIA Frank Malecela, dereva wa RAS Dodoma afariki dunia

Joe kakimbiria Dar
Hapo ni wale tu wanaofahamika mm ni marafiki ndg 12 hivi wameshafariki kwa changamoto za upumuaji toka Mbulu na Krt achilia mbali majirani zangu wa hapa Tgt
 
Nipo Dodoma now mji wote umezizima tofauti na kipindi cha nyuma nikiwa hapa, cha ajabu akuna hata mmoja anaejali kuchukua taadhari za kujikinga.
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 😭😭😭
 
Anaewadanganya yeye amekimbilia Dar nyie kaeni tu hukoo mtakoma!
 
Back
Top Bottom