Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hali halisi ya dunia ilivyo kama ni mechi mpaka Sasa shetani anaongoza Kwa hat trick, dakika ni ya 75.Kabisa,
Wazazi wanapswa kulaumiwa,
Pia hata hizi shule zenye uzungu mwingi Ni Changamoto sana
Kwan binadamu utawaweza bas?? Yaan wao kutwa kuwaza visivyokuwepo na kuwahusu. LolHivi ndivyo hutokea mtu akiamua kufurahia maumbile yake[emoji16][emoji16].
Ukute hata haliwi.
MmmmmmmhHuyu Frank Maston Migambire ashajishobosha sana nikamkimbia...namjua vizur sana huyu alijisemeaga yeye hormones za kupelekewa moto ndio zimejaa mwilini mwake so anaona bora awe demu...Anyways naogopa tu kufungua code zingine kuna mdau kule juu kasema anamjua from tusiime, so do i...kama kuna mendez mnataka namba yake niwape [emoji1787]
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
View attachment 2342699
Maisha yake yanamshinda, anaanza kusakama watu wasiomuhusu, lolAchana nayoo, maujinngaujinga. Pambania familia yako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah hebu sema.Cocastic ni demu, asije akakudanganya.namjua vizuri kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah.Acha mambo mengi ww ye mwenyewe anapenda cheo chake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila nyie watu nacheka mbavu cna, woiiiiiiSio demu umepigwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dyadyaaa umechachuka vibayaaaa.Anashawishi[emoji23][emoji23]
Urongo.Nimeziona baadhi ya picha za mtanzania mwenzetu na mwanaume mwenzetu Frank Maston. Ambae pia ni mwanamuziki.
Picha zake zinanipa shida kubwa sana na sijui how ntarecover na nachokiona. Sikubaliani na hii kitu, wala sitaki pia kuhukumu lakini naamini jamii inaweza kutoa msaada kumtoa huko alipo.
Kuna wanasema suala la hormones, lakini hili si linatibika?
William msanii wa kundi la Black Eyed Peas kwenye moja ya verse zake kwenye wimbo wa "Where is the love" anasema....
"...What's wrong with the world, mama?
People living like they ain't got no mamas
I think the whole world's addicted to the drama
only attracted to things that'll bring you trauma.."
View attachment 2341958View attachment 2341959View attachment 2341960View attachment 2341961
Hupendi kupekenyuliwa kisoda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah.
Eti nn??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie mtawa, kisoda changu hakizibuki.Hupendi kupekenyuliwa kisoda
Mmh mara ushaziba supagluu🤔,njoo tupime[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie mtawa, kisoda changu hakizibuki.
Kipo locked milele
Pambe tyuuuWatu mnapovukwa humu ndani, afu yeye muhusika wala hana habari na nyie, hamjistukiii?? Hamjishangai?? Hamuogopi??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleniiii sanaaaaa. Hizo sio shida zake yeye.
Pambaneni na hali zenu. Woiiiiih
Nlitaka kuona mtazamo wako juu ya huyu dadako, kaka Frank[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka km chiziiii, unataka comment yangu iweje, ili ufurahi shougaaa angu, nielezeeee mwayaa.