Frankie Maston - Kipaji chenye utata Sampuli ya Wanaume wa Dar

Frankie Maston - Kipaji chenye utata Sampuli ya Wanaume wa Dar

Nimemuona mahali yuko mbio [emoji125] huku akihemea juu juu na tshirt lake kubwa na lenye rangi nyekundu la Mo energy [emoji36]!

Bila shaka ndiyo anakuja sasa kuuzindua rasmi huu mjadala. Karibu sana ndugu mgeni rasmi Mheshimiwa cocastic
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka mnoo. Mumuache rafiki angu, kawakosea nn nyie?? Khaaaaah.

Nipo nimejaaa teleeeee.
 
Tutegemee makubwa kutoka kwake [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] msiponi zungumza mtakuwa na aman? Hadi mnitaje star wenu tena kipenziiii, Weraaaaaaaaah.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unawashwa sana eeeh?? Unataka nikupe no yake Frankie? Nilishajifaragua huko juuu Kitamboo sana.

Poleeeeh kwa kuuona leo.
Huu uzi tuliuona kabla hata huna wazo la kujiunga jf..

Unachekesha 😂😂
 
Huu uzi tuliuona kabla hata huna wazo la kujiunga jf..

Unachekesha [emoji23][emoji23]
Hizo sio shida zangu, kwan unateseka na mie????
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] . Poleeeeeeeh
 
Sema una kipaji cha kuwazungumzia machoko[emoji1787][emoji1787]

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Na mnawapenda na kuwakubali hao machoko. Kutwa mpo dede kusoma, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Weuweeeeeeeee!!!!!
 
Ni aibu na fedhea sana kwa wazazi wake. Yaani baba sijui anajionaje akiona mwanaye yupo hivyo. Mimi ni Baba, namuomba Mungu asinipe mtoto wa namna hiyo. Ni bora baba niwe na mtoto kama Manyau wa pale stendi ya nane nane Mbaya ambaye kila saa yupo ndwiiii amejitundika na Gongo kuliko kuwa na mtoto choko. Mungu atusaidie kwa kweli
 
Kuna mama mmoja alizaa watoto wengi wa kike alipo beba mimba mimba nyingine akaenda kipiga ultra sound akaambiwa wa mtoto ni wa kike akaenda Kwa mganga kumbadilisha awe wa kiume.
Baadae akaachana ma mumewe mtoto akalelewa kwa bibi kizaa baba. Sasa Kwa bibi Kuna mtoto mwingine was shangazi mtu.
Kwa hiyo mabinamu,... Sasa huyu binamu ni mkubwa kidogo akawa anamuingilia huyu dogo aliyebadilishwa jinsia kuwa mwanaume kinyume na maumbile...
Mtoto akasemelea shuleni ndio mama mtu akawa analalamika kuwa mtoto mwenyewe ni wakiume pekee halafu anafanyiwa hivyo.

Mzazi usibadilishe jinsia ya mtoto akiwa tumboni. Wewe kubaliana ma mtoto yeyote utakayempata... Huko Kanda ya ziwa ipo sana wajaruo, wakurya wasukuma ni mashahidi
 
Kuna mama mmoja alizaa watoto wengi wa kike alipo beba mimba mimba nyingine akaenda kipiga ultra sound akaambiwa wa mtoto ni wa kike akaenda Kwa mganga kumbadilisha awe wa kiume.
Baadae akaachana ma mumewe mtoto akalelewa kwa bibi kizaa baba. Sasa Kwa bibi Kuna mtoto mwingine was shangazi mtu.
Kwa hiyo mabinamu,... Sasa huyu binamu ni mkubwa kidogo akawa anamuingilia huyu dogo aliyebadilishwa jinsia kuwa mwanaume kinyume na maumbile...
Mtoto akasemelea shuleni ndio mama mtu akawa analalamika kuwa mtoto mwenyewe ni wakiume pekee halafu anafanyiwa hivyo.

Mzazi usibadilishe jinsia ya mtoto akiwa tumboni. Wewe kubaliana ma mtoto yeyote utakayempata... Huko Kanda ya ziwa ipo sana wajaruo, wakurya wasukuma ni mashahidi
Dah una story za kijinga sana na Imani za hovyo mno. 🚮🚮🚮
 
Kuna mama mmoja alizaa watoto wengi wa kike alipo beba mimba mimba nyingine akaenda kipiga ultra sound akaambiwa wa mtoto ni wa kike akaenda Kwa mganga kumbadilisha awe wa kiume.
Baadae akaachana ma mumewe mtoto akalelewa kwa bibi kizaa baba. Sasa Kwa bibi Kuna mtoto mwingine was shangazi mtu.
Kwa hiyo mabinamu,... Sasa huyu binamu ni mkubwa kidogo akawa anamuingilia huyu dogo aliyebadilishwa jinsia kuwa mwanaume kinyume na maumbile...
Mtoto akasemelea shuleni ndio mama mtu akawa analalamika kuwa mtoto mwenyewe ni wakiume pekee halafu anafanyiwa hivyo.

Mzazi usibadilishe jinsia ya mtoto akiwa tumboni. Wewe kubaliana ma mtoto yeyote utakayempata... Huko Kanda ya ziwa ipo sana wajaruo, wakurya wasukuma ni mashahidi
Kwahiyo unaamini kabisa Sangoma anaweza kubadili jinsi ya mtoto akiwa tumboni?

Kwa akili hizi CCM itatawala milele.
 
Back
Top Bottom