Hao 60% ya watu wote Duniani wamezaliwa kabisa kama WANADAMU wanavyozaliwa, mission Yao ni Kuuandaa ulimwengu Kwa ajili ya utawala wa MASSIH JADDAL. Wanahangaika Ili kuwatumbukiza WANADAMU kumuasi Mungu wale ambao hawajachanganya uzao na mashetani ambao ni 40% ya WANADAMU wote duniani.
Wao ndo wamejaa ktk nafasi za ajira na fursa za kiuchumi wameteka, wale wa Mungu wanasongwa na umaskini, magonjwa ya kila aina, akibahatika kupata kaz wanatengeza Kila aina ya fitna ufukuzwe, waeza shangaa Umesoma bt anakuongoza mtu mjinga tu na KAZI Yao ni kuhujumu maskini. Ukianzisha biashara watahakisha unafilisika.
Wapo Wana wa Mungu Walio katika hatari ambao hawajastuka wanaiga wale Wana wa mapepo, Ukienda kununua MAKAHABA zama hizi za mwisho, UTAKUFA ndani ya muda mfupi Kwa maana wangi wa MAKAHABA sasa ni nusu mtu nusu pepo. Acha UOVU mara moja maana UOVU hautakuokoa.
Zumaridi,Obama na familia yake, bush na familia yake, Oprah, Jzee,lil Wayne nk,T. Blair ni kati ya mifano michache ya watu nusu mtu nusu pepo.
Bt angalizo ni kuwa Si wote waliofanikiwa ni WA shetani, Wapo Wana wa Mungu waliofanikiwa bt ni wachache ukilinganisha na WA Ibilisi.