Hizi ni propaganda za Marekani anazosambaza duniani kupitia vikanisa uchwara alivyoanzisha kama hivi vya wasabato na wanaojiita wapentekoste.Dini kuu kubwa duniani KATOLIKI na ISLAM wameungana na wameshasaini mkataba wa kuanzisha DINI moja ya kumwabudu SHETANI kupitia mwana wa Ibilisi aitwaye MASSIH JADDAL au Mpinga Kristo. Pale UN, Atatawala akitokea Roma.
Ni Kweli unabii ni Kwa miaka mingi ijayo. Bt maandalizi ya mfumo wa utawala huo umeanza 2019. Mwaka huo ndo SEAL ya 4. Ilifunguliwa sawasawa na kitabu Cha ufunuo.Hapa kuna kitu sijakielewa vizuri, kama ni yeye huyu unayemtaja mbona mwaka ni wa hivi karibuni na mipango ya hawa kutimia bado iko mbele zaidi?
Kabla ya mpinga Kristo kuanza kutawala kuna baadhi ya vitu lazima vijitokeze, namba 666 katika ulimwengu wa mwili ionekane na kutumika.n.k
Kama anatawala kwa miaka 12 huyo mpinga Kristo atakuwa ameshakuja? Ikiwa atakuja baada ya huyu kumaliza muda wake ajaye baada yake hawezi kuwa mateka wa huyu mpiga Kristo na kujikuta wanatimiza adhima yao?
Shida yangu mimi siyo kupinga mipango ya Mungu na mambo mengine tatizo kubwa lipo kwenye muda na wakati.
Majira, nyakati na muda hazinionyeshi viashiria vya haya mambo yajayo kwamba yatatokea hivi karibuni.
Ahsante.
Marekani ilianza na Mungu bt nw Freemasonry wameteka system zote za uongozi, Dunia nzima wanawekwa watu wao. Patakuwa na Dini moja tu na Dunia nzima wataamrishwa kumuabudu.Hizi ni propaganda za Marekani anazosambaza duniani kupitia vikanisa uchwara alivyoanzisha kama hivi vya wasabato na wanaojiita wapentekoste.
Hakuna mwenye akili asiyejua kuwa dajjal ndiye huyohuyo marekani ambaye ndiye mjumbe mkuu wa shetani duniani (modern day babylon).
Mkuu
Tusubiri
Mi mwenyewe nashangaa
KWA mara ya kwanza protestant anakabidhiwa mikoba !!!
Lakini Magamba matatu alisema ajaye ni muislamu Sasa sijui labda ndio huyu Rashid!!!?
Kujifunza hakuna mwisho wacha tuendelee kuyatafuta maarifa. Hapa itabidi tufungue macho ya ndani zaidi.Ni Kweli unabii ni Kwa miaka mingi ijayo. Bt maandalizi ya mfumo wa utawala huo umeanza 2019. Mwaka huo ndo SEAL ya 4. Ilifunguliwa sawasawa na kitabu Cha ufunuo.
Mwaka huo ndo CORONA iliruhusiwa, wakati Bado corona ikiendelea, vita ya Ukraine na Urusi hiyo, baada ya vita yanakuja majanga mengine mengi mfululizo, yote hiyo ni maandalizi ya UFALME wa mpinga Kristo. Chini ya 666. Chanjo ni Chapa ya mnyama HAKIKA.
Nchi hii Mungu lazima aiandae Ili watu wake waje kuwa salama hapa Tanganyika. Atatawala atakaesikiza maelekezo ya Mungu. Tofauti na hapo kiti kitaendelea kuwa Cha moto.
0933; Anayekwenda kukabidhiwa kiti ni ASKOFU GWAJIMA. MUNGU ibariki TANZANIA.Amen.
Pole mkuu endelea kusoma kama vile unasoma kitabu cha hadithi na usijilazimishe kuelewa,au usiwakasirikie watu wanaoandika haya maana wanatoa mawazo yao tu.Hawa jamaa hata siwaelewi kwakweli.
Me mwenyewe ninajiuliza sana hapo kwenye utawala wa shetani ( mpinga Kristo) ndio maana nikauliza utabiri wa Bible hizi habari naona ziko mbele zaidi.Huu uzi huu!unaleta vitu VYA ajabu Sana aiseh!Mambo ya ajabu Sana!!ni kana kwamba Dunia unaisha kesho !inaogofya sana!!
Ilianza na Mungu kwa kuangamiza na kuteketeza native americans?!Marekani ilianza na Mungu bt nw Freemasonry wameteka system zote za uongozi, Dunia nzima wanawekwa watu wao. Patakuwa na Dini moja tu na Dunia nzima wataamrishwa kumuabudu.
Dunia Ina mengi yasiyofunuliwa Kwa WANADAMU wengi. Siku nilipogundua kupitia unabii ya kuwa Dunia nzima, katika watu 10 unaowaona Kwa wastani 4 pekee ndo ni binadamu hawajachanganya uzao, 6 ni mapepo yaliyozaa na WANADAMU, yaani mama mtu, baba ni PEPO mwenye mwili wa kibinadamu. Au baba ni binadamu mama ni PEPO ktk mwili wa binadamu.Kujifunza hakuna mwisho wacha tuendelee kuyatafuta maarifa. Hapa itabidi tufungue macho ya ndani zaidi.
Kumbe inaisha lini?!Huu uzi huu!unaleta vitu VYA ajabu Sana aiseh!Mambo ya ajabu Sana!!ni kana kwamba Dunia unaisha kesho !inaogofya sana!!
Ile ilikuwa vita, Maana ya Marekani ilianza na Mungu namaanisha misingi ya uanzishwaji wake walimuhusisha Mungu. Hata pesa Yao imeandikwa IN GOD WE TRUST.Ilianza na Mungu kwa kuangamiza na kuteketeza native americans?!
Hata kutabiriwa ilitabiriwa. Waanzilishi huwa wana lengo zuri lakini wanaobaki kuendeleza hukengeuka.Ile ilikuwa vita, Maana ya Marekani ilianza na Mungu namaanisha misingi ya uanzishwaji wake walimuhusisha Mungu. Hata pesa Yao imeandikwa IN GOD WE TRUST.
Aisee hadi inatisha. Lakini ukiangalia kuna mtu anaweza kufanya jambo au tukio ukabaki unajiuliza hivi huyu ni mwanadamu kweli?Dunia Ina mengi yasiyofunuliwa Kwa WANADAMU wengi. Siku nilipogundua kupitia unabii ya kuwa Dunia nzima, katika watu 10 unaowaona Kwa wastani 4 pekee ndo ni binadamu hawajachanganya uzao, 6 ni mapepo yaliyozaa na WANADAMU, yaani mama mtu, baba ni PEPO mwenye mwili wa kibinadamu. Au baba ni binadamu mama ni PEPO ktk mwili wa binadamu.
Wapo Serikalini, ni viongozi wanaotuongoza, wengine ni madaktari hospitalini, wengine wanasoma shuleni na watoto wetu. KICHWA kilipata MOTO. Bt nw I'm fine.
Hao 60% ya watu wote Duniani wamezaliwa kabisa kama WANADAMU wanavyozaliwa, mission Yao ni Kuuandaa ulimwengu Kwa ajili ya utawala wa MASSIH JADDAL. Wanahangaika Ili kuwatumbukiza WANADAMU kumuasi Mungu wale ambao hawajachanganya uzao na mashetani ambao ni 40% ya WANADAMU wote duniani.Aisee hadi inatisha. Lakini ukiangalia kuna mtu anaweza kufanya jambo au tukio ukabaki unajiuliza hivi huyu ni mwanadamu kweli?
Hii ninaweza kuikubali, shetani anaweza kupitisha roho chafu kupitia mbegu ya mwanaume wakati inatunga mimba mpaka mtoto anazaliwa tayari alishakuwa kiumbe wa tofauti.
Maarifa hayana mwisho tuendelee kujifunza tu.Kuna wakati watu huwa wanajiuliza hivi huyu ndg yangu kweli? Kwasababu matendo yake,roho yake havifanani na wewe.
Ukiangalia mnafanana kwa sura au ndg wengine wanafanana naye ,matukio yake sasa hadi yanakusisimua, kumbe tayari shetani alishafanya yake.
Ulimwengu huu yupo anayeumiliki...ninakuelewa mkuu. Hivi vitu tunazungumza vya rohoni mtu asitafsiri vinginevyo maana kila mtu ana imani yake. Kama huna imani, hivi si vyako.Hao 6% ya watu wote Duniani wamezaliwa kabisa kama WANADAMU wanavyozaliwa, mission Yao ni Kuuandaa ulimwengu Kwa ajili ya utawala wa MASSIH JADDAL. Wanahangaika Ili kuwatumbukiza WANADAMU kumuasi Mungu wale ambao hawajachanganya uzao na mashetani ambao ni 4% ya WANADAMU wote duniani.
Wao ndo wamejaa ktk nafasi za ajira na fursa za kiuchumi wameteka, wale wa Mungu wanasongwa na umaskini, magonjwa ya kila aina, akibahatika kupata kaz wanatengeza Kila aina ya fitna ufukuzwe, waeza shangaa Umesoma bt anakuongoza mtu mjinga tu na KAZI Yao ni kuhujumu maskini. Ukianzisha biashara watahakisha unafilisika.
Wapo Wana wa Mungu Walio katika hatari ambao hawajastuka wanaiga wale Wana wa mapepo, Ukienda kununua MAKAHABA zama hizi za mwisho, UTAKUFA ndani ya muda mfupi Kwa maana wangi wa MAKAHABA sasa ni nusu mtu nusu pepo. Acha UOVU mara moja maana UOVU hautakuokoa.
Obama na familia yake, bush na familia yake, Oprah, Jzee,lil Wayne nk,T. Blair ni kati ya mifano michache ya watu nusu mtu nusu pepo.
Bt angalizo ni kuwa Si wote waliofanikiwa ni WA shetani, Wapo Wana wa Mungu waliofanikiwa bt ni wachache ukilinganisha na WA Ibilisi.
Hao 60% ya watu wote Duniani wamezaliwa kabisa kama WANADAMU wanavyozaliwa, mission Yao ni Kuuandaa ulimwengu Kwa ajili ya utawala wa MASSIH JADDAL. Wanahangaika Ili kuwatumbukiza WANADAMU kumuasi Mungu wale ambao hawajachanganya uzao na mashetani ambao ni 40% ya WANADAMU wote duniani.
Wao ndo wamejaa ktk nafasi za ajira na fursa za kiuchumi wameteka, wale wa Mungu wanasongwa na umaskini, magonjwa ya kila aina, akibahatika kupata kaz wanatengeza Kila aina ya fitna ufukuzwe, waeza shangaa Umesoma bt anakuongoza mtu mjinga tu na KAZI Yao ni kuhujumu maskini. Ukianzisha biashara watahakisha unafilisika.
Wapo Wana wa Mungu Walio katika hatari ambao hawajastuka wanaiga wale Wana wa mapepo, Ukienda kununua MAKAHABA zama hizi za mwisho, UTAKUFA ndani ya muda mfupi Kwa maana wangi wa MAKAHABA sasa ni nusu mtu nusu pepo. Acha UOVU mara moja maana UOVU hautakuokoa.
Zumaridi,Obama na familia yake, bush na familia yake, Oprah, Jzee,lil Wayne nk,T. Blair ni kati ya mifano michache ya watu nusu mtu nusu pepo.
Bt angalizo ni kuwa Si wote waliofanikiwa ni WA shetani, Wapo Wana wa Mungu waliofanikiwa bt ni wachache ukilinganisha na WA Ibilisi.
Kumtambua mtu Kuwa ni nusu pepo nusu mtu nayo ni kazi Sana!!!Hao 6% ya watu wote Duniani wamezaliwa kabisa kama WANADAMU wanavyozaliwa, mission Yao ni Kuuandaa ulimwengu Kwa ajili ya utawala wa MASSIH JADDAL. Wanahangaika Ili kuwatumbukiza WANADAMU kumuasi Mungu wale ambao hawajachanganya uzao na mashetani ambao ni 4% ya WANADAMU wote duniani.
Wao ndo wamejaa ktk nafasi za ajira na fursa za kiuchumi wameteka, wale wa Mungu wanasongwa na umaskini, magonjwa ya kila aina, akibahatika kupata kaz wanatengeza Kila aina ya fitna ufukuzwe, waeza shangaa Umesoma bt anakuongoza mtu mjinga tu na KAZI Yao ni kuhujumu maskini. Ukianzisha biashara watahakisha unafilisika.
Wapo Wana wa Mungu Walio katika hatari ambao hawajastuka wanaiga wale Wana wa mapepo, Ukienda kununua MAKAHABA zama hizi za mwisho, UTAKUFA ndani ya muda mfupi Kwa maana wangi wa MAKAHABA sasa ni nusu mtu nusu pepo. Acha UOVU mara moja maana UOVU hautakuokoa.
Obama na familia yake, bush na familia yake, Oprah, Jzee,lil Wayne nk,T. Blair ni kati ya mifano michache ya watu nusu mtu nusu pepo.
Bt angalizo ni kuwa Si wote waliofanikiwa ni WA shetani, Wapo Wana wa Mungu waliofanikiwa bt ni wachache ukilinganisha na WA Ibilisi.
Niliwahi kusikia wengi wanatambuliwa kwa macho yaoKumtambua mtu Kuwa ni nusu pepo nusu mtu nayo ni kazi Sana!!!