Franklin D Roosevelt (FDR) na uongozi wa miaka 12 kujirudia Tanzania

Franklin D Roosevelt (FDR) na uongozi wa miaka 12 kujirudia Tanzania

Hahahaha u can't be serious?
Mkono wa baunsa awe FDR?

Hahaha ngumu kumeza, umetumia factor Gani?
Twende na code
Rashidi ana sifa ZOTE za mleta mada!humble,patriotic, visionary, Truthful!!chunguza uone!!
Pia mwamba Sio muoga wa Mabeberu Hata chanjo ya kutufanya zombies aliigomea!

Pia ni jasusi la Mbinguni!
Ameshaanza kuungwa mkono na mikutano take ukiicheki Sio ya Bahati MBAYA!!anazunguka KILA Jimbo na KILA Mbunge!!
HUKU akiliombea TAIFA na VIONGOZI Wake!
NAJUA fika wale Elites wa hapa KWETU Wana vijana WAO wameandaa!!kama mmoja wa Jimbo la mkuranga na Yule wa Jimbo la pangani!!
LAKINI hawatopenya kwani inasemekana Mbingu imemuandaa Huyo FDR kushika hatamu!!!
Fuatilia mikutano yake utapata majibu ni ZAIDI ya mkutano wa injili!!ni kampeni ya kujitambulisha kea wananchi HIYO!!!
 
Rashidi ana sifa ZOTE za mleta mada!humble,patriotic, visionary, Truthful!!chunguza uone!!
Pia mwamba Sio muoga wa Mabeberu Hata chanjo ya kutufanya zombies aliigomea!

Pia ni jasusi la Mbinguni!
Ameshaanza kuungwa mkono na mikutano take ukiicheki Sio ya Bahati MBAYA!!anazunguka KILA Jimbo na KILA Mbunge!!
HUKU akiliombea TAIFA na VIONGOZI Wake!
NAJUA fika wale Elites wa hapa KWETU Wana vijana WAO wameandaa!!kama mmoja wa Jimbo la mkuranga na Yule wa Jimbo la pangani!!
LAKINI hawatopenya kwani inasemekana Mbingu imemuandaa Huyo FDR kushika hatamu!!!
Fuatilia mikutano yake utapata majibu ni ZAIDI ya mkutano wa injili!!ni kampeni ya kujitambulisha kea wananchi HIYO!!!
Hahaha hamna kitu mkuu.
Rashidi namfahamu personal tangu tunabangaiza wote maisha hapo msewe. Kanisa lake nimepiga bati na kuzungushia mabati kipindi anaanza huduma zake, yeye kutwa alikuwa anashinda hapo cafe anawapanga wazungu wamwage pesa.

Akija KWANGU analia lia lia hali ngumu BASI mkewe anatuchinjia visungura[emoji1787].

Tulioshi na rashidi tunamjua in and out hana hizo sifa kabisa hafahi hata kuongozana kijiji.

Rashidi mjanjaa mjanja ambaye anacheza na fursa.
Magu alijaa KWA rashidi akawa anampiga matukio tu.

Wa wasiojua wanafikiri jamaa ni mtu wa kitengo labda icho kitengo Apewe SASA hivi.

Dr gwajima ndiyo alikuwa anatupiga tafu ya maisha[emoji28]
 
Hahaha hamna kitu mkuu.
Rashidi namfahamu personal tangu tunabangaiza wote maisha hapo msewe. Kanisa lake nimepiga bati na kuzungushia mabati kipindi anaanza huduma zake, yeye kutwa alikuwa anashinda hapo cafe anawapanga wazungu wamwage pesa.

Akija KWANGU analia lia lia hali ngumu BASI mkewe anatuchinjia visungura[emoji1787].

Tulioshi na rashidi tunamjua in and out hana hizo sifa kabisa hafahi hata kuongozana kijiji.

Rashidi mjanjaa mjanja ambaye anacheza na fursa.
Magu alijaa KWA rashidi akawa anampiga matukio tu.

Wa wasiojua wanafikiri jamaa ni mtu wa kitengo labda icho kitengo Apewe SASA hivi.

Dr gwajima ndiyo alikuwa anatupiga tafu ya maisha[emoji28]
Kumbe ni mshkaji wako?
 
Wakuu

Mwaka 1933 mpaka mwaka 1945 alipofariki, FDR alikuwa Rais wa Marekani. Alichaguliwa katika chaguzi nne kinyume na tradition za nchi kwasababu mbalimbali ikiwemo WWII.

Alisaidia sana kuijenga nchi baada ya great depression na alifanya reforms nyingi kama kuiunda SEC, sheria ya mahusiano kazini, pensheni, usawa katika ajira, ujenzi wa pentagon, federal deposit insurance corporation etc

Alikuwa Rais wa kwanza kutumia redio na kuwa televised in US na muhimu zaidi huyu ndiye Rais aliyeileta Marekani kuwa global super power. Kuna similarities zipo mbele hapa zinaonesha aina hii ya progress huku kwetu. Mtu mnyenyekevu, intelligent, strategic, calm, visionary, truthful and patriotic atafanikisha next stage.

Nikiangalia naona tena miaka 12 ya mtu katika eneo la huku. Last digit ya miaka iliyotajwa inadhihirika kujirudia.

Tuendelee kusubiria maana namba hizo ndio hizohizo zinajionesha.
NANAKI amemtoa rasmi yule wa kigoma ktk list ya FDR's sababu kuu ni kuwa aliepo hakutokana na uchaguzi, kitabu hakikuona mbele zaidi,

BUSARA nadhani itatumika kumuingiza Fdr.
 
NANAKI amemtoa rasmi yule wa kigoma ktk list ya FDR's sababu kuu ni kuwa aliepo hakutokana na uchaguzi, kitabu hakikuona mbele zaidi,

BUSARA nadhani itatumika kumuingiza Fdr.
Ina maana

Hii ishu ya FDR BADO ipo!!?

KWA hiyo nanaki anapoanza kusema haya ndio anaifufua mdogo mdogo sio!!?

Coz huwezi tolea ufafanuzi Jambo ambalo hujaulizwa!!

Nadhani nanaki kalianzisha Sio!!?

Tusubiri
"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!
 
Ina maana

Hii ishu ya FDR BADO ipo!!?

KWA hiyo nanaki anapoanza kusema haya ndio anaifufua mdogo mdogo sio!!?

Coz huwezi tolea ufafanuzi Jambo ambalo hujaulizwa!!

Nadhani nanaki kalianzisha Sio!!?

Tusubiri
"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!
Tusubiri, maana Tumia AKILI hajauchana mkeka huu Hadi sasa.
 
NANAKI amemtoa rasmi yule wa kigoma ktk list ya FDR's sababu kuu ni kuwa aliepo hakutokana na uchaguzi, kitabu hakikuona mbele zaidi,

BUSARA nadhani itatumika kumuingiza Fdr.
Kama nanaki amemtoa rasmi
dr. ntibazonkiza kupewa nafasi hio na atapewa MWINGINE bas ndipo chanzo cha vuguvugu la vifo vya learders wa kampuni kuanzia HUKO magharibi kuja kwetu coz Dr.ntibazonkiza asili yake ni magharibi kwa jirani yetu ambae kijana wa jumba la fedha anaendelea kutukejeli tuhamie ili kukwepa tozo!

"Kama Mjoli atapewa Mwakani mwambie aanze kukemea Roho ya mauti yatakayaoanzia magharibi HUKOooo!!coz member wa HUKO hawatokubali kijana WAO arukwe kizembe tu!

"Rasimu ya Warioba irudi mezani Sasa iwe Katiba mpya"!
 
Kama nanaki amemtoa rasmi
dr. ntibazonkiza kupewa nafasi hio na atapewa MWINGINE bas ndipo chanzo cha vuguvugu la vifo vya learders wa kampuni kuanzia HUKO magharibi kuja kwetu coz Dr.ntibazonkiza asili yake ni magharibi kwa jirani yetu ambae kijana wa jumba la fedha anaendelea kutukejeli tuhamie ili kukwepa tozo!

"Kama Mjoli atapewa Mwakani mwambie aanze kukemea Roho ya mauti yatakayaoanzia magharibi HUKOooo!!coz member wa HUKO hawatokubali kijana WAO arukwe kizembe tu!

"Rasimu ya Warioba irudi mezani Sasa iwe Katiba mpya"!
Wakiikataa njia ya KATIBA mpya, Haina budi tuipitie njia hiyo ngumu yenye miiba ndo aje atokee ajaye.

Mungu ni Mwema.
 
Kama nanaki amemtoa rasmi
dr. ntibazonkiza kupewa nafasi hio na atapewa MWINGINE bas ndipo chanzo cha vuguvugu la vifo vya learders wa kampuni kuanzia HUKO magharibi kuja kwetu coz Dr.ntibazonkiza asili yake ni magharibi kwa jirani yetu ambae kijana wa jumba la fedha anaendelea kutukejeli tuhamie ili kukwepa tozo!

"Kama Mjoli atapewa Mwakani mwambie aanze kukemea Roho ya mauti yatakayaoanzia magharibi HUKOooo!!coz member wa HUKO hawatokubali kijana WAO arukwe kizembe tu!

"Rasimu ya Warioba irudi mezani Sasa iwe Katiba mpya"!
Umemsoma samurai anakwambia Giza wamepanga Eti waje majirani watukalie, na ndo ulikuwa mpango wkt uncle anaanguka, Giza wanatuwazia mabaya always.

Kuna watu wanalewa tu saiz na kufurahia uzinzi while watu Wana calculate how many littles za blood watampa shetani.

Mungu atupe njia ya KATIBA mpya.
 
Umemsoma samurai anakwambia Giza wamepanga Eti waje majirani watukalie, na ndo ulikuwa mpango wkt uncle anaanguka, Giza wanatuwazia mabaya always.

Kuna watu wanalewa tu saiz na kufurahia uzinzi while watu Wana calculate how many littles za blood watampa shetani.

Mungu atupe njia ya KATIBA mpya.
Nimeona Yaani dip state ya kina Tibanzokiza Ndio itutawale sio!!?

Hawatotutendea Haki kabisa!

"Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe katiba mpya"!
 
Uyo FDR naaje itokee hata kesho tushachoka na matozo.
 
Back
Top Bottom