Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kweli,Shemasi ni aliyefeli kuwa padre kwasababu flani flani,frateri nafikiri bado yupo kwenye hatua za kuwa Padre
Uzi wako huu utatusaidia kuwajua Wakatoliki Jina na siyo wale Wanaohudhuria Ibada na kulijua vyema Kanisa na Utendaji wake wa Kivyeo / Mamlaka.Wakuu habari za muda!! Naomba kujua frateli ni nani katika kanisa katoliki na Shemasi no nani na wana ngazi gani za elimu
Hakuna ngazi ya elimu ni kama vile stage ya ukuaji ya binadamu utakua mtoto ,utaenda balehe ,ndo utakua mtu mzima vivyo hivyo huanza flateri ,shemasi halafu padriWakuu habari za muda!! Naomba kujua frateli ni nani katika kanisa katoliki na Shemasi no nani na wana ngazi gani za elimu
Ukiwa unajibu Kitu na ukisema tu Neno nafikiri hapo unakuwa tayari umeshatoa Jibu kuwa huna ukijuacho na Unabahatisha tu Kimaelezo.Shemasi ni aliyefeli kuwa padre kwasababu flani flani,frateri nafikiri bado yupo kwenye hatua za kuwa Padre
Jibu sahihi☝️Hizo ni Stages tu kwenye ngazi za kuwa padri ..frateli hapa huwa ndo anaanza mafunzo na kupewa basics na huchukua muda mrefu mpaka miaka au 8 kutegemeana na shirika ..ukifuzu unaenda kuwa shemasi hapa hukai sana haipiti miaka mi2 unakua padri
Pia wametofautiana kimajukumu shemasi ana madaraka makubwa kwenye kumsaidia padri wakati wa ibada tofauti na flateri
Shemasi lazima aje awe padri. Labda Fratel ndio kafeli.Shemasi ni aliyefeli kuwa padre kwasababu flani flani,frateri nafikiri bado yupo kwenye hatua za kuwa Padre
lakini hata kule Twitter kigogo vijana wa ovyo wanamuita SHEMASIJibu sahihi☝️
Shemasi ni yule anasubiri kupewa daraja la Upadri, kigogo yupi unamzungumzia amesomea Theology hapo Jordan University?lakini hata kule Twitter kigogo vijana wa ovyo wanamuita SHEMASI
Shemasi ni yule anasubiri kupewa daraja la Upadri, kigogo yupi unamzungumzia amesomea Theology hapo Jordan University?
Huyo simjui mkuu, sitaki kuchuma dhambi kwenye hii bustani
😁😁😁😁😁 sawa mkuuHuyo simjui mkuu, sitaki kuchuma dhambi kwenye hii bustani
Usishadadie usivovijuaHapo kuna watu wawili kwenye nafasi mbili kuna ndugu kiroho na msaidizi wa kiroho.
Ila kwa tamaduni mlizo zoezwa huko makanisani kwa sasa huyo frateli hana nafasi ila utasikia baba, mama wa kiroho kama aliyekusimamia kwenye kipa bora ooh sorry kipaimara au ubatizo.
Shemasi kadharika hiyo mtu mmemfanya ndiye anasimamia wavaa nusu utupu, vibaka, kukusanya mapato ya kanisa nk na ameacha nafasi yake inayotakiwa ya usimamizo kiroho.
Note; hayo ni kwa jinsi nilivyofahamu.
Kwani lazma kuchangia kila mada?Shemasi ni aliyefeli kuwa padre kwasababu flani flani,frateri nafikiri bado yupo kwenye hatua za kuwa Padre
Ata frateri sio kwamba kafeli Ni stage ya mwanzo kwenye hatua ya upadri,ukimaliza form 6,unaenda mwaka mmoja mwaka wa kichungaji Kisha ndio unaendelea mbele na ndio unakopata ufrateri,shemasi huwa mwishoni mwishoni kabla ya upadriShemasi lazima aje awe padri. Labda Fratel ndio kafeli.