Frateli ni nani katika Kanisa Katoliki?

Frateli ni nani katika Kanisa Katoliki?

Kwa Kanisa katoliki
Frateli ni mwanafunzi aghalabu aliemaliza kidato cha sita na kuanza mwaka wa kwanza Seminari kuu au nyumba za malezi au vyuo vikuu, Seminari kuu ni kama vile Peramiho, Kipalapala, Kibosho, Segerea, Kahama n.k.

Frateli anasoma kuanzia Mwaka wa kwanza falsafa mpaka wa 3 halafu Theolojia kwa miaka mitatu au minne.

Baada ya Theolojia atatumwa mwaka wa kichungaji kwenye Parokia Moja wapo kwa mwaka mmoja.

Baada ya hapo atarudi Major seminary tena na kuomba jimboni kwake kupewa Ushemasi.

Anaacha kuitwa Frateli baada ya kupewa daraja ya Ushemasi ambapo ushemasi umegawanyika katika makundi mawili
i. Ushemasi wa mpito- Kuelekea daraja Takatifu ya upadre
ii. Ushemasi wa kudumu - Anabaki milele shemasi.

Mara nyingi ndani ya mwaka mmoja Huwa shemasi wa mpito ikiwa sio shemasi wa kudumu anakua ameshapata daraja ya upadre.

Maeneo mengi ya majimbo ya Tanzania ila sio yote mafrateli hupata Ushemasi mwezi Desemba na upadre mwezi June mpaka Agosti mwaka unaofuata hivyo ndani ya miezi 9 Huwa frateli amepata daraja ya Ushemasi na upadre.

Mashemasi wanawekewa mikono sio kwaajili ya ukuhani Bali kwajili ya huduma ya utumishi.

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
 
Fratel ni Mkatoliki anayesomea upadre. Inatokea kwenye neno la Kilatin lenye maana ya kaka au ndugu. Ni mwanafunzi na au mhitimu wa Seminari Kuu anaye-pursue upadre.

Shemasi ni mkatoliki mwenye daraja takatifu katika Kanisa anayejihusisha na kusimamia Liturjia, kusoma na kutangaza neno pamoja na kutoa huduma za Kanisa.
 
Frateli anasoma kuanzia Mwaka wa kwanza falsafa mpaka wa 3 halafu Theolojia kwa miaka mitatu au minne.
Muda wa masomo husika unategemea na Seminari au Chuo (Kikuu) husika. Siyo lazima iwe hiyo miaka mitatu au minne, inaweza kuwa chini ya hapo.

Baada ya Theolojia atatumwa mwaka wa kichungaji kwenye Parokia Moja wapo kwa mwaka mmoja.
Siyo lazima pia iwe mwaka mmoja, inaweza kuwa miezi sita, mwaka mmoja, miwili au zaidi kulingana na utaratibu wa Shirika au Jimbo husika. Hakuna muda maalum.

Baada ya hapo atarudi Major seminary tena na kuomba jimboni kwake kupewa Ushemasi.
Arudi Seminari Kuu kufanya nini tena!!?
 
Kwa Kanisa katoliki
Frateli ni mwanafunzi aghalabu aliemaliza kidato cha sita na kuanza mwaka wa kwanza Seminari kuu au nyumba za malezi au vyuo vikuu, Seminari kuu ni kama vile Peramiho, Kipalapala, Kibosho, Segerea, Kahama n.k.

Frateli anasoma kuanzia Mwaka wa kwanza falsafa mpaka wa 3 halafu Theolojia kwa miaka mitatu au minne.

Baada ya Theolojia atatumwa mwaka wa kichungaji kwenye Parokia Moja wapo kwa mwaka mmoja.

Baada ya hapo atarudi Major seminary tena na kuomba jimboni kwake kupewa Ushemasi.

Anaacha kuitwa Frateli baada ya kupewa daraja ya Ushemasi ambapo ushemasi umegawanyika katika makundi mawili
i. Ushemasi wa mpito- Kuelekea daraja Takatifu ya upadre
ii. Ushemasi wa kudumu - Anabaki milele shemasi.

Mara nyingi ndani ya mwaka mmoja Huwa shemasi wa mpito ikiwa sio shemasi wa kudumu anakua ameshapata daraja ya upadre.

Maeneo mengi ya majimbo ya Tanzania ila sio yote mafrateli hupata Ushemasi mwezi Desemba na upadre mwezi June mpaka Agosti mwaka unaofuata hivyo ndani ya miezi 9 Huwa frateli amepata daraja ya Ushemasi na upadre.

Mashemasi wanawekewa mikono sio kwaajili ya ukuhani Bali kwajili ya huduma ya utumishi.

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Thread Closed....
 
Wakuu habari za muda!! Naomba kujua frateli ni nani katika kanisa katoliki na Shemasi no nani na wana ngazi gani za elimu
Ufrateri ni hatua mojawapo anayopitia mtu akiwa katika mafunzo ya upadre. Sikumbuki ni mwaka wa ngapi wa mafunzo yao.
 
Thread Closed....
Kwa Kanisa katoliki
Frateli ni mwanafunzi aghalabu aliemaliza kidato cha sita na kuanza mwaka wa kwanza Seminari kuu au nyumba za malezi au vyuo vikuu, Seminari kuu ni kama vile Peramiho, Kipalapala, Kibosho, Segerea, Kahama n.k.

Frateli anasoma kuanzia Mwaka wa kwanza falsafa mpaka wa 3 halafu Theolojia kwa miaka mitatu au minne.

Baada ya Theolojia atatumwa mwaka wa kichungaji kwenye Parokia Moja wapo kwa mwaka mmoja.

Baada ya hapo atarudi Major seminary tena na kuomba jimboni kwake kupewa Ushemasi.

Anaacha kuitwa Frateli baada ya kupewa daraja ya Ushemasi ambapo ushemasi umegawanyika katika makundi mawili
i. Ushemasi wa mpito- Kuelekea daraja Takatifu ya upadre
ii. Ushemasi wa kudumu - Anabaki milele shemasi.

Mara nyingi ndani ya mwaka mmoja Huwa shemasi wa mpito ikiwa sio shemasi wa kudumu anakua ameshapata daraja ya upadre.

Maeneo mengi ya majimbo ya Tanzania ila sio yote mafrateli hupata Ushemasi mwezi Desemba na upadre mwezi June mpaka Agosti mwaka unaofuata hivyo ndani ya miezi 9 Huwa frateli amepata daraja ya Ushemasi na upadre.

Mashemasi wanawekewa mikono sio kwaajili ya ukuhani Bali kwajili ya huduma ya utumishi.

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Kwa Kanisa katoliki
Frateli ni mwanafunzi aghalabu aliemaliza kidato cha sita na kuanza mwaka wa kwanza Seminari kuu au nyumba za malezi au vyuo vikuu, Seminari kuu ni kama vile Peramiho, Kipalapala, Kibosho, Segerea, Kahama n.k.

Frateli anasoma kuanzia Mwaka wa kwanza falsafa mpaka wa 3 halafu Theolojia kwa miaka mitatu au minne.

Baada ya Theolojia atatumwa mwaka wa kichungaji kwenye Parokia Moja wapo kwa mwaka mmoja.

Baada ya hapo atarudi Major seminary tena na kuomba jimboni kwake kupewa Ushemasi.

Anaacha kuitwa Frateli baada ya kupewa daraja ya Ushemasi ambapo ushemasi umegawanyika katika makundi mawili
i. Ushemasi wa mpito- Kuelekea daraja Takatifu ya upadre
ii. Ushemasi wa kudumu - Anabaki milele shemasi.

Mara nyingi ndani ya mwaka mmoja Huwa shemasi wa mpito ikiwa sio shemasi wa kudumu anakua ameshapata daraja ya upadre.

Maeneo mengi ya majimbo ya Tanzania ila sio yote mafrateli hupata Ushemasi mwezi Desemba na upadre mwezi June mpaka Agosti mwaka unaofuata hivyo ndani ya miezi 9 Huwa frateli amepata daraja ya Ushemasi na upadre.

Mashemasi wanawekewa mikono sio kwaajili ya ukuhani Bali kwajili ya huduma ya utumishi.

Sent from my CPH2059 using JamiiForums mobile app
Umemaliza kila kitu ubarikiwe sana!! Huwa navutiwa na malezi yao ni hazina ya kanisa
 
Hii mada ya kikatoliki inakujaje hapa? Ni bora kukawa na majukwa ya madhehebu na dini zake wakajadili huko wanaohusika na hayo
 
Hapo kuna watu wawili kwenye nafasi mbili kuna ndugu kiroho na msaidizi wa kiroho.

Ila kwa tamaduni mlizo zoezwa huko makanisani kwa sasa huyo frateli hana nafasi ila utasikia baba, mama wa kiroho kama aliyekusimamia kwenye kipa bora ooh sorry kipaimara au ubatizo.

Shemasi kadharika hiyo mtu mmemfanya ndiye anasimamia wavaa nusu utupu, vibaka, kukusanya mapato ya kanisa nk na ameacha nafasi yake inayotakiwa ya usimamizo kiroho.

Note; hayo ni kwa jinsi nilivyofahamu.
Loads of borrocks
 
Frater ni kaka tu ila ni mseminari wa kiume, anayesoma seminari kuu, kwa level ya degree ya Philosophy (3yrs) na baadae Theology (4yrs)
Baada ya kumaliza level hyo atafanya mwaka wa kichungaji na kupatiwa ushemasi , ushemasi ni daraja linalodumu kwa miezi 6 au zaidi kisha kupewa daraja kamili ya upadre.
Ma Frater wakiwa seminari kuu ( senior Seminary) level ya Theology wanapewa pia huduma ya neno , na huduma ya altare.
Nadhani utakua umenipata kidogo
 
Hizo ni Stages tu kwenye ngazi za kuwa padri ..frateli hapa huwa ndo anaanza mafunzo na kupewa basics na huchukua muda mrefu mpaka miaka au 8 kutegemeana na shirika ..ukifuzu unaenda kuwa shemasi hapa hukai sana haipiti miaka mi2 unakua padri
Pia wametofautiana kimajukumu shemasi ana madaraka makubwa kwenye kumsaidia padri wakati wa ibada tofauti na flateri
Miaka nane anajifunza nini zaidi ya ujinga na ushoga?
 
Ata frateri sio kwamba kafeli Ni stage ya mwanzo kwenye hatua ya upadri,ukimaliza form 6,unaenda mwaka mmoja mwaka wa kichungaji Kisha ndio unaendelea mbele na ndio unakopata ufrateri,shemasi huwa mwishoni mwishoni kabla ya upadri
Flatteri ni mtu ambaye yuko flat kichwani hamna kitu kichwani kanisa katoloki linajaribu kumuingizia vitu kichwani vya masomo ya Upadri

Shemasi ni Flateri aliyechsngamka yaani ambaye masomo ya upadri yanaingia ingia kiasi

Shemasi ni mtu ambaye anapenda upadri lajkini yuko flat kichwani na hayuko masomoni kusomea upadri hivyo anatumwa na padri kazi ndogo ndogo xa kutumwa na padri na yeye ajisikie kama padri mdogo kanisani

Heri ukutane na padri kuliko Shemasi ni kama vile heri udaiwe kodi na mwenye nyumba kuliko udaiwe kodi na mpangaji aliyekabidhiwa madaraka na mwenye nyumba kuwa wewe ndie utakayekuwa unakusanya kodi za wapangaji wenzio na kuniletea.Utaiona nyumba chungu
 
Frateli anasoma kuanzia Mwaka wa kwanza falsafa mpaka wa 3 halafu Theolojia kwa miaka mitatu au minne.
Mkuu ili mtu aweze kupitishwa kua Katekista inabidi awe na elimu gani?
Na
Je! Katekista na Mkileri wana tofauti gan?
 
Back
Top Bottom