OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Utajiri wa wa hilo kabila huwa siukubali kabisa maana ni kawaida kumuona wa mafanikio kabisa wa hilo kabila ila anakula Kande.Mkinga kuwa tajiri....
Kwao ni jambo la kawaida, hata usiumize kichwa.
Ni wabahili wakutupwa....Utajiri wa wa hilo kabila huwa siukubali kabisa maana ni kawaida kumuona wa mafanikio kabisa wa hilo kabila ila anakula Kande
Hao jamaa bwanaNi wabahili wakutupwa.....
Hakikavijana wanatoboa kimaisha,jitihada aizidi kudra.
Kande sio chakula? Kwa hiyo ili mtu umkubali kama tajiri anatakiwa ale nini?Utajiri wa wa hilo kabila huwa siukubali kabisa maana ni kawaida kumuona wa mafanikio kabisa wa hilo kabila ila anakula Kande.
Labda Vijana wao , hawa watabadilisha kitu....Hao jamaa bwana
Ni kawaida kukuta mmoja wapo kati yao Milioni Mia ngapi kwake ni hela anayoshika mara kwa mara ila anavaa kama masikini tu kuvaa mitumba mitumba wakati mtu anashika hela nyingi sana za kwake
Kula vizuri bwana , kama Milioni unaishika kila siku inatakiwa unakula samaki wabichi, Kuku n.k yaani vyakula vizuri vizuri mdomoni na kiafyaKande sio chakula? Kwa hiyo ili mtu umkubali kama tajiri anatakiwa ale nini?
Maneno kama Ngada na Ndumba ndo kitu wanahitaji kusikiaNadhani maelezo yalyopo kwenye hiyo link yanatosha kumuelewa huyo jamaa
labda utuambie ni kitu gani unahitaji zaidi
Malengo babu...wewe unaona kwa kuwa anashika million basi amefika kumbe mwenzio hata nusu ya malengo yake hayajatimia. Mbona mimi kuna watu nawafahamu wananakula na kuvaa vizuri tu hata hapo kwenye main post kuna picha ya Fred na kavaa vizuri tu au ulitaka avae micheni ya gold ndio ukubali kuwa amevaa sawasawa na pesa zake?Kula vizuri bwana , kama Milioni unaishika kila siku inatakiwa unakula samaki wabichi, Kuku n.k yaani vyakula vizuri vizuri mdomoni na kiafya
Sio mtu unashika mamilioni halafu unavaa mitumba , unakula chakula ambacho masikini anakula ila hicho chakula mwenzio masikini anakula sababu uwezo wake wa kipesa umeishia kumudu hicho chakula kibovu anachokula
Malengo babu...wewe unaona kwa kuwa anashika million basi amefika kumbe mwenzio hata nusu ya malengo yake hayajatimia. Mbona mimi kuna watu nawafahamu wananakula na kuvaa vizuri tu hata hapo kwenye main post kuna picha ya Fred na kavaa vizuri tu au ulitaka avae micheni ya gold ndio ukubali kuwa amevaa sawasawa na pesa zake?Kula vizuri bwana , kama Milioni unaishika kila siku inatakiwa unakula samaki wabichi, Kuku n.k yaani vyakula vizuri vizuri mdomoni na kiafya
Sio mtu unashika mamilioni halafu unavaa mitumba , unakula chakula ambacho masikini anakula ila hicho chakula mwenzio masikini anakula sababu uwezo wake wa kipesa umeishia kumudu hicho chakula kibovu anachokula
Hii nayo ni ramli chonganishi...Mkinga kuwa tajiri....
Kwao ni jambo la kawaida, hata usiumize kichwa.
Ulafi umekujaa na tamaa juu yakeKula vizuri bwana , kama Milioni unaishika kila siku inatakiwa unakula samaki wabichi, Kuku n.k yaani vyakula vizuri vizuri mdomoni na kiafya
Sio mtu unashika mamilioni halafu unavaa mitumba , unakula chakula ambacho masikini anakula ila hicho chakula mwenzio masikini anakula sababu uwezo wake wa kipesa umeishia kumudu hicho chakula kibovu anachokula