Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,140
- 9,667
Wala hakuna masharti....Coz utajiri ni wa masharti
Hela ipo damuni tu.
Japo wengine ni wa kishirikina.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala hakuna masharti....Coz utajiri ni wa masharti
huna mamlaka ya kunipangia cha kusikiaHiki ndio ulichotaka kusikia
andika vizuri,unakimbilia wapiNaon kaandamwa juzi tu imesemskan kun kikoa ankitoa Miaka 5 hii
Hilo liko wazi mzeehuna mamlaka ya kunipangia cha kusikia
Wana imani potofu watu humu ndani....siku zote ukifaka kufanikiwa ni lazima uwe na nidhamu ktk matumizi ya pesa....kitendo hicho watu wanakitafsiri kama masharti ya sangomaKande sio chakula? Kwa hiyo ili mtu umkubali kama tajiri anatakiwa ale nini?
me nimesoma na mdogo wake FelixMkinga,anatokea Iringa!
Nimesoma nae mzumbe dar,lkn pia nimesoma na kaka yake primary school!
Kuhusu bness,hiyo ipo kwenye damu,tokea enzi hizo nakumbuka baba yao alikuwa vzr!
Kwaiyo nyie wote mutakuwa ni matajiri kama yeye au? Au ndo mpo mpo tu hamna mbele wala nyuma.hadi mwanamke aliyemuoa nimeishi nae mtaani,kifupi namjua vilivyo,ni hommie huyo,na wengine kibao wanaomzunguka hapo,so usiulize kuhusu matokeo yake,we know each other In and out..we grew together!
Tajir mwenye akili anakula kwa plan kwa maana ya afya ukiona tajir anakula kula ovyo ujue huyo anawaza kufisirisika soon!Utajiri wa wa hilo kabila huwa siukubali kabisa maana ni kawaida kumuona wa mafanikio kabisa wa hilo kabila ila anakula Kande.
Namimi nimesali kanisa moja na jirani wa mjomba ake na rafiki wa shemeji yake na girlfriend wa huyo felix(utazan sifa)me nimesoma na mdogo wake Felix
Si Bora karudi kuwekeza nyumban hakuna pesa safi hata siku mojani nmesikia anazifua hizo pesa za madafu kwa kisingizio cha maduka ya nguo ila china ndo habari nzima mtaji ulipopatikana
Usizidishe umbea khaa!Kuna kampuni China aliingia nayo mkataba inamtumia nguo huko nyingine ni mali kauli.Mjanja sana kwa biashara na hata maduka ya Whazou, Tunda Chocokate ni ya kwake.Anajua kuiitangaza biashara yake
Ni wachache wenye hii akilihuyo jamaa kwanza shuleni hesabu alikuwa anapiga AA++, pili mzee wake alikuwa na bado ana mashamba mengi sana ya miti huko mufindi, kwao wana asili ya pesa. Mtaongea yoote ila kijana ni mpambanaji and akili kubwa sababu familia yake ina access ya pesa since forever.
So mtasema yooote ila huyo kijana atakuwa tajiri maradufu,hakuna uchawi wala ndumba,pamoja na kuwa ni kweli mkinga,lakini ametumia fursa za nyumbani kufika hapo alipofika...kudos fred!
Acha upumbavu weweCoz utajiri ni wa masharti
Alipo Frank Knows ..yupo Vunja Bei ..huu ndo urafiki unaotakiwaUsizidishe umbea khaa!
Whozu na Franknows ni mtu na kaka
Walikuwa fighter tangu kule uchagani akaanza Franknows kutoboa akaja Whozu.
Hilo liko wazi mzee
😂😂😂😂😂😂😂 dadeqqqqq... hahhaa kikubwa uhai manNamimi nimesali kanisa moja na jirani wa mjomba ake na rafiki wa shemeji yake na girlfriend wa huyo felix(utazan sifa)
Mawazo ya kimasikini yapo mpaka jf aibu hii, nani kakwambia kila mkinga ni tajiri tuulize sisi tunaokaa nao hawa watu,Mazingira yao(makete) sio mazuri sana kwa uwekezaji hiyo iliwafanya watoke waende ugenini na ikawajengea nidhamu ya kufanya kazi,hawa watu wanaushirikiano na ni hard workers sana,endelea kuamini maneno ya walioshindwa.Utajiri wa wa hilo kabila huwa siukubali kabisa maana ni kawaida kumuona wa mafanikio kabisa wa hilo kabila ila anakula Kande.