Wengi wao wakinga wana utajiri ila wanakula vibaya sana.Malengo babu...wewe unaona kwa kuwa anashika million basi amefika kumbe mwenzio hata nusu ya malengo yake hayajatimia. Mbona mimi kuna watu nawafahamu wananakula na kuvaa vizuri tu hata hapo kwenye main post kuna picha ya Fred na kavaa vizuri tu au ulitaka avae micheni ya gold ndio ukubali kuwa amevaa sawasawa na pesa zake?
Kula vibaya ndio kupoje?Wengi wao wakinga wana utajiri ila wanakula vibaya sana.
Kama kwa umri wako na exposure yako hujui maana ya kula vibaya,sina la kukusaidia mpendwa.Kula vibaya ndio kupoje?
Sina exposure yoyote mpendwa ila kwa umri wangu kula vibaya ni kula kwa kutozingatia kanuni za afya. Jambo ambalo wakinga hawafanyiKama kwa umri wako na exposure yako hujui maana ya kula vibaya,sina la kukusaidia mpendwa.
Mimi nimeishi nao,hao wakinga wenye fedha,kula ugali na mboga ya majani chukuchuku kila siku kwao sio shida.Na tena unakuta mtu ni tajiri sana wala hana changamoto ya kiafya anawalisha watoto wake makande kila baada ya siku moja,wali na nyanya chungu.Kagoogle vema maana ya balanced diet.Sina exposure yoyote mpendwa ila kwa umri wangu kula vibaya ni kula kwa kutozingatia kanuni za afya. Jambo ambalo wakinga hawafanyi
Kamwene si wahehe.
Hao wabena na wakinga husalimia vipi?
Kuna makabira ni iconic kwa sababu ni makubwa, mfano ukitaja Waha, Wasukuma, Wanyakyusa, Wachaga, Wamakonde, Wazaramo, Wanyaturu, Warangi, Wagogo, Wanyamwezi, Wahaya, Wakurya n.k haya hata hupati shida kujua salamu zao au yanakotokea.
Nakupa task nenda mkoa wowote ambao si wa nyanda za juu kusini mkute mtu yeyote ambaye hajawahi kufika hayo maeneo muulize unawajua wabena au Wakinga na unajua huwa wanasalimiaje akikupa jibu find me.
Fanya hivyohivyo kwa Mtu wa nyanda za juu kusini kuhusu Mkurya anapatikana wapi na asalimiaje uone maajabu [emoji23][emoji23] wabena ni kakikundi cha wacheza bao
Hapana...nafanana nae?
Hao watu unaowazungumzia ni wa wapi mbona mimi sijawaona?Mimi nimeishi nao,hao wakinga wenye fedha,kula ugali na mboga ya majani chukuchuku kila siku kwao sio shida.Na tena unakuta mtu ni tajiri sana wala hana changamoto ya kiafya anawalisha watoto wake makande kila baada ya siku moja,wali na nyanya chungu.Kagoogle vema maana ya balanced diet.
Huwezi kuwa unakula wanga na protein kila siku ukauita mlo bora.Nyama,maziwa,butter,kuku,mayai,vyakula vya kuokwa navyo pia ni vyakula.Ulaji wake sio dhambi.
Kuhusu Hilo la ngada ninauhakika nalo Kuna mshkaji wangu kafukuzwa China na atakiwi kuingia huko kwasababu yake.. aliekuwa nyoka wakeManeno kama Ngada na Ndumba ndo kitu wanahitaji kusikia
BBY i miss u..Hao watu unaowazungumzia ni wa wapi mbona mimi sijawaona?
Miss you more babe, ulipotelea wapi?BBY i miss u..
Harakati za uchaguzi.. niligombea udiwani..Miss you more babe, ulipotelea wapi?
Ni suala la muda tu kila kitu kitafahamika.Kuhusu Hilo la ngada ninauhakika nalo Kuna mshkaji wangu kafukuzwa China na atakiwi kuingia huko kwasababu yake.. aliekuwa nyoka wake
Hongera babe, najua hujapita ila hata hapo ulipofika unastahili pongezi...2025 nitakuwa campaign manager wakoHarakati za uchaguzi.. niligombea udiwani..
Nakuja pm
Hapo kwenye ulaji ndio sababu ya wengi wenye mafanikio kuishia kuugua Kisukari, Presha na FIGO sababu ya kubadili mtindo wa maisha. Kande siyo chakula?Utajiri wa wa hilo kabila huwa siukubali kabisa maana ni kawaida kumuona wa mafanikio kabisa wa hilo kabila ila anakula Kande.
Wananishangaza hawa the so called great thinkersHapo kwenye ulaji ndio sababu ya wengi wenye mafanikio kuishia kuugua Kisukari, Presha na FIGO sababu ya kubadili mtindo wa maisha. Kande siyo chakula?
HahahahahMkinga kuwa tajiri Kwao ni jambo la kawaida, hata usiumize kichwa.
πππAcha upumbavu wewe
Wabena na wakinga ni makabila yenye nidhamu kubwa ya pesa na usiri mkubwa Sana kuhusu pesa zao ni kwa Sababu sio watu wanaopenda kushow off kila kitu kwenye jamii ni watu wanapambana haswa na sio waoga kwa kitu chochote kwao mafanikio ni Jambo la muhimu. Ndiyo maana unaona leo hii kariakoo Wabena na wakinga wamejaa kibao .
Kama unasema ni masharti na nyie mkajaribu muone Kama mtafanikiwa kirahisi .
Popote walipo wananchi wenzangu wa Njombe ni mwendo wa kukazaa tu haina kufeli sikuhiz na vijana wetu wameenda shule mizigo tunanunua wenyewe direct kutoka nje ya nchi
Ukinidhulumu pesa/mali yangu mwisho wa mwaka nafunga hesabu na damu yako ili uzalishe zaidi upande mwingine