Fred Ngajiro aka Fred Vunjabei ni nani huyu jamaa?!

Fred Ngajiro aka Fred Vunjabei ni nani huyu jamaa?!

Malengo babu...wewe unaona kwa kuwa anashika million basi amefika kumbe mwenzio hata nusu ya malengo yake hayajatimia. Mbona mimi kuna watu nawafahamu wananakula na kuvaa vizuri tu hata hapo kwenye main post kuna picha ya Fred na kavaa vizuri tu au ulitaka avae micheni ya gold ndio ukubali kuwa amevaa sawasawa na pesa zake?
Wengi wao wakinga wana utajiri ila wanakula vibaya sana.
 
Sina exposure yoyote mpendwa ila kwa umri wangu kula vibaya ni kula kwa kutozingatia kanuni za afya. Jambo ambalo wakinga hawafanyi
Mimi nimeishi nao,hao wakinga wenye fedha,kula ugali na mboga ya majani chukuchuku kila siku kwao sio shida.Na tena unakuta mtu ni tajiri sana wala hana changamoto ya kiafya anawalisha watoto wake makande kila baada ya siku moja,wali na nyanya chungu.Kagoogle vema maana ya balanced diet.
Huwezi kuwa unakula wanga na protein kila siku ukauita mlo bora.Nyama,maziwa,butter,kuku,mayai,vyakula vya kuokwa navyo pia ni vyakula.Ulaji wake sio dhambi.
 
Kamwene si wahehe.
Hao wabena na wakinga husalimia vipi?

Kuna makabira ni iconic kwa sababu ni makubwa, mfano ukitaja Waha, Wasukuma, Wanyakyusa, Wachaga, Wamakonde, Wazaramo, Wanyaturu, Warangi, Wagogo, Wanyamwezi, Wahaya, Wakurya n.k haya hata hupati shida kujua salamu zao au yanakotokea.

Nakupa task nenda mkoa wowote ambao si wa nyanda za juu kusini mkute mtu yeyote ambaye hajawahi kufika hayo maeneo muulize unawajua wabena au Wakinga na unajua huwa wanasalimiaje akikupa jibu find me.

Fanya hivyohivyo kwa Mtu wa nyanda za juu kusini kuhusu Mkurya anapatikana wapi na asalimiaje uone maajabu [emoji23][emoji23] wabena ni kakikundi cha wacheza bao

hahaha[emoji23] wabena
 
Mimi nimeishi nao,hao wakinga wenye fedha,kula ugali na mboga ya majani chukuchuku kila siku kwao sio shida.Na tena unakuta mtu ni tajiri sana wala hana changamoto ya kiafya anawalisha watoto wake makande kila baada ya siku moja,wali na nyanya chungu.Kagoogle vema maana ya balanced diet.
Huwezi kuwa unakula wanga na protein kila siku ukauita mlo bora.Nyama,maziwa,butter,kuku,mayai,vyakula vya kuokwa navyo pia ni vyakula.Ulaji wake sio dhambi.
Hao watu unaowazungumzia ni wa wapi mbona mimi sijawaona?
 
Kuhusu Hilo la ngada ninauhakika nalo Kuna mshkaji wangu kafukuzwa China na atakiwi kuingia huko kwasababu yake.. aliekuwa nyoka wake
Ni suala la muda tu kila kitu kitafahamika.


Tuwe wavumilivu.


Naomba mtunze hii comment yangu.
 
Maafisa vipenyo acheni tabia za umalaya na threads zenu. Kwani hii mnayoita awamu ya yule chief wenu mtu kuwa tajiri ni kosa?? Basi mpelekeni mahakamani kwanini anauza nguo za china kuwa tajirii!! Once insane always twink...
 
Utajiri wa wa hilo kabila huwa siukubali kabisa maana ni kawaida kumuona wa mafanikio kabisa wa hilo kabila ila anakula Kande.
Hapo kwenye ulaji ndio sababu ya wengi wenye mafanikio kuishia kuugua Kisukari, Presha na FIGO sababu ya kubadili mtindo wa maisha. Kande siyo chakula?
 
Hapo kwenye ulaji ndio sababu ya wengi wenye mafanikio kuishia kuugua Kisukari, Presha na FIGO sababu ya kubadili mtindo wa maisha. Kande siyo chakula?
Wananishangaza hawa the so called great thinkers
 
Acha upumbavu wewe

Wabena na wakinga ni makabila yenye nidhamu kubwa ya pesa na usiri mkubwa Sana kuhusu pesa zao ni kwa Sababu sio watu wanaopenda kushow off kila kitu kwenye jamii ni watu wanapambana haswa na sio waoga kwa kitu chochote kwao mafanikio ni Jambo la muhimu. Ndiyo maana unaona leo hii kariakoo Wabena na wakinga wamejaa kibao .

Kama unasema ni masharti na nyie mkajaribu muone Kama mtafanikiwa kirahisi .

Popote walipo wananchi wenzangu wa Njombe ni mwendo wa kukazaa tu haina kufeli sikuhiz na vijana wetu wameenda shule mizigo tunanunua wenyewe direct kutoka nje ya nchi

Ukinidhulumu pesa/mali yangu mwisho wa mwaka nafunga hesabu na damu yako ili uzalishe zaidi upande mwingine
😂😂😂
 
Back
Top Bottom