Fred Ngajiro vs Sheria Ngowi?

Fred Ngajiro vs Sheria Ngowi?

Mleta uzi we mwenyewe hujui ulicho andika, yani ni kama unafananisha Puma, Nike, Addidas n.k na Designer(mbunifu) fulani, huyo Fred ni CEO wa VB halafu huyo mwingine ni mbunifu aliyepewa kazi na GSM ndomana hakuna jina lake kwenye yale manyokanyoka... Aise yani apo inatakiwakua battle kati ya VB vs GSM kama kampuni na sio huo utopolo ulioleta hapa....
 
Majezi yote ya timu zote mbili, ni makorija yslioshonwa hovyo kienyeji na kubuniwa hobela. Material dhaifu, na maandishi ya maandishi ya wadhamini ambayo ukifua yanafutika. Watu wanaingia mkenge tuu kwa mahaba ya timu kudanganywa jezi ni nzuri. Mbunifu Bora wa jezi za mpira Tanzania ni DISMAS TEN tuu.
Aliyedesign haya matracksuit ashike adabu yake. Halafu ni Haier au Ha ier?

20230208_224744.jpg
 
Vunja bei tunaweza mwita ni customer orientation kama sijakosea at the sametime ni profit oriented
 
Ukitizama kwa umakini jezi za Yanga ni ubunifu wa Mavazi ya kike, kuanzia shingo zake za round hadi marembo rembo meeengi
 
Hiyo between the lines ya maandiko yake ndiyo imenikumbusha fact kuwa ni Simba ndiye alianzisha uzinduzi wa jezi na kuipa thamani jezi ya timu. Halafu eti leo kuna watu wanataka kuja kuifundisha mambo ya jezi.
Ni kama Yanga ilivyo anza alafu nyie mkaja leo mnataka kujifanya wajuaji!
 
Ifike mahali Watanzania tusitake kufananisha utam wa sukari na chumvi wala bei zake

Namaanisha nini?

SHERIA NGOWI anafahamika Kwa kila mtu kuwa ni mbunifu wa mavazi, Yes SHERIA kubuni mavazi ndio maisha yake, hivyo anachokifanya pale Yanga ni kuyaishi maisha yake na kuendeleza kipaji chake.

Wakati huohuo hakuna asiyemjua Fred Ngajiro (Vunjabei), Fred ni mfanyabiashara maarufu wa nguo za bei rahisi. Fred si mbunifu wa mavazi (Hana kipaji hicho ) Fred ni mfanyabiashara anayelenga kupata FAIDA Kwa kuuza nguo za quality ndogo Kwa bei ndogo pia (Kuvunja bei).

MADUKA mengi ya Fred suruali zinapatikana kwa elfu 18 za kitanzania, ni nguo ambazo quality yake ni ndogo na Fred havai hizo.

Haitatokea Abadan Sheria NGOWI akanunua nguo kwenye Maduka ya Fred lakin Fred bila shaka ashavaa sana nguo zilizopita mikonon mwa SHERIA NGOWI (Hii si kwa sababu za kibiashara Bali Ubora).

Imani yangu ni kwamba tegemea kuona Yanga wakiwa na jezi zenye ubora wa juu na bei ya juu ilihali tutegemee kuona Simba wakiwa na jezi zenye ubora mdogo na bei ndogo.

Si sahihi kumshindanisha SHERIA NGOWI na Fred Ngajiro kwenye mambo ya mavazi. SHERIA NGOWI anabuni yeye wakati Fred yupo pale Kama dalali Tu na Hana ajualo kuhusu ubunifu labda UGANGA.
Kweli mkuu hata kifedha hawafanani, Sheria ana pesa balaa huyu fured ni hamna kitu.
NB: nimetumia akili zangu za usiku
 
Mleta uzi we mwenyewe hujui ulicho andika, yani ni kama unafananisha Puma, Nike, Addidas n.k na Designer(mbunifu) fulani, huyo Fred ni CEO wa VB halafu huyo mwingine ni mbunifu aliyepewa kazi na GSM ndomana hakuna jina lake kwenye yale manyokanyoka... Aise yani apo inatakiwakua battle kati ya VB vs GSM kama kampuni na sio huo utopolo ulioleta hapa....
Yanga kuna vilaza wengi sana angalia na wajinga wenzake wamejazana kusapoti ujinga wa mtoa mada. Aibu mimi naona
 
Jezi haichezi mpira.
Watu wanataka Kombe La Africa.

Haya mashindano ya jezi ni UTOTO.



MASIKINI TANZANIA YANGU.
Jezi ndio pesa inapopatikana, high quality mwishoni itashinda tuu, Club zote kubwa duniani swala la jersey ni muhimu sana na wanalinda kama lulu
 
Sheria ni mbunifu wa mitindo ya nguo, Fred ni mfanyabiashara tu. Ungelijua hilo usingehangaika kuandika huu mgazeti wako. Fred anaangalia faida kwanza. Wakati Sheria anawaza faida na ujiko.
Ulichoandika na kinachojadiliwa tofaut yake NI nini?
 
Mleta uzi we mwenyewe hujui ulicho andika, yani ni kama unafananisha Puma, Nike, Addidas n.k na Designer(mbunifu) fulani, huyo Fred ni CEO wa VB halafu huyo mwingine ni mbunifu aliyepewa kazi na GSM ndomana hakuna jina lake kwenye yale manyokanyoka... Aise yani apo inatakiwakua battle kati ya VB vs GSM kama kampuni na sio huo utopolo ulioleta hapa....
Mambo ya jezi za Yanga huzungumza SHERIA NGOWI, na mambo ya jezi za Simba huzungumza Fred Ngajiro
 
Nafikiri vunja bei inabidi aseme mbunifu wake ni nani kama alivyofanya gsm
Hapo sawa , bila hivyo inaonekana anabuni yeye kutokana na ubunifu wa kiwango cha Chini wengi tunaamin hivyo
 
Embu linganisha tracksuit hizi mbili uniambie ipi ni ubunifu classic. Hii mitandao ubaya wake haujui unabishana na watu wa aina gani.

20230208_224744.jpg

20230209_111114.jpg
 
Back
Top Bottom