Fred Vunjabei amaliza deni la mkopo chuo (HESLB)

Fred Vunjabei amaliza deni la mkopo chuo (HESLB)

Mfanyabiasha tajiri Fred Fabian Ngajiro (Vunjabei) amememaliza Mkopo wa elimu ya juu.

Fred anasema wale wote wanaodaiwa mkopo na Bodi ya Mikopo, kuitikia wito wa (HESLB) wanaotaka ulipe mkopo wako unaodaiwa ili uweze kuwanufaisha vijana wengine wanao anza chuo.

Na tuliojiajiri tunakumbushwa kulipa mkopo tuliopewa na bodi ya mikopo.

Je, una mpango wa kulipa mkopo ukiwa bado hauna ajira?

View attachment 2559799
heri mimi sijakopa,mliokopeshwa na HESLB lipeni madeni, wakati mnakula hako ka-boom na vitotoz mjini sisi wala mihogo mnatuona mafala, tena utungwe mswada kabisa namna ya kufanyiwa monitoring baada ya kumaliza vyuo hata kama mko mitaani hakuna kazi.lipa deni
 
Mfanyabiasha tajiri Fred Fabian Ngajiro (Vunjabei) amememaliza Mkopo wa elimu ya juu.

Fred anasema wale wote wanaodaiwa mkopo na Bodi ya Mikopo, kuitikia wito wa (HESLB) wanaotaka ulipe mkopo wako unaodaiwa ili uweze kuwanufaisha vijana wengine wanao anza chuo.

Na tuliojiajiri tunakumbushwa kulipa mkopo tuliopewa na bodi ya mikopo.

Je, una mpango wa kulipa mkopo ukiwa bado hauna ajira?

View attachment 2559799
Me ninadaiwa 20+M nikiwalipa nakuwa Ashura, Niko paleeeee.
 
Hiyo ndo nakaza sasa ajifunze
Si atajua baba yupo anapenda wajukuu atalea tu atatupeleka wapi ikibidi unampa laki ya mtaji aone
Mi hawa wangu nishawaambia sitaki wajukuu na siwez lea wajukuu sina muda atakaejifanya kuweza aondoke
 
Si atajua baba yupo anapenda wajukuu atalea tu atatupeleka wapi ikibidi unampa laki ya mtaji aone
Mi hawa wangu nishawaambia sitaki wajukuu na siwez lea wajukuu sina muda atakaejifanya kuweza aondoke
Hizo anazo mpk sasa, dejane last nimemwambia nakukopesha sikupi maana za mtaji shampa.
Toka december hajarudisha.
 
Hahahah kumbe nimemzid tajir eeh,hamna mie nilichukua bachelor ya science ndio bei zao ziko juu ukichanganya hela za field, stationary,practical training lazima hela iwe ndefu,enzi za magu ilikuwa nadaiwa 21 M ,maza alipokuja akatoa tozo ndo nikashuka hadi 13m,ambayo nimemalizana nao January mwaka huu.
Hongera mamii
 
Mfanyabiasha tajiri Fred Fabian Ngajiro (Vunjabei) amememaliza Mkopo wa elimu ya juu.

Fred anasema wale wote wanaodaiwa mkopo na Bodi ya Mikopo, kuitikia wito wa (HESLB) wanaotaka ulipe mkopo wako unaodaiwa ili uweze kuwanufaisha vijana wengine wanao anza chuo.

Na tuliojiajiri tunakumbushwa kulipa mkopo tuliopewa na bodi ya mikopo.

Je, una mpango wa kulipa mkopo ukiwa bado hauna ajira?

View attachment 2559799
Hivi wote wanaimaliza kulipa huwa wanatumia hii barua?
 
Back
Top Bottom