Sensei Tai
Senior Member
- May 26, 2022
- 168
- 466
Nikipata ajira nitalipa otherwise waendelee kusubiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulisoma nje ya nchi nini.Mie Ni 40+
Mfanyabiasha tajiri Fred Fabian Ngajiro (Vunjabei) amememaliza Mkopo wa elimu ya juu.
Fred anasema wale wote wanaodaiwa mkopo na Bodi ya Mikopo, kuitikia wito wa (HESLB) wanaotaka ulipe mkopo wako unaodaiwa ili uweze kuwanufaisha vijana wengine wanao anza chuo.
Na tuliojiajiri tunakumbushwa kulipa mkopo tuliopewa na bodi ya mikopo.
Je, una mpango wa kulipa mkopo ukiwa bado hauna ajira?
View attachment 2559799
alikua bado hana mkwanja kipindi hichoKwa hadhi na uwezo wake; miaka yote hiyo alishindwa kulipa 7.3M!!? 🙄
ulisoma nje?Mie Ni 40+
kipindi anasoma jamaa alikua choka mbaya tuTuanze na aliemkopesha,Alizingatia vigezo gani[emoji848]
mimi hata sijui nadaiwa ngapi hata kuangalia sijawahi ntalipa siku nikiwa tajiri 😃😃
Nimesahau ipo around 26+Ulisoma nje ya nchi nini.
Hiyo hela naisotea mbaya aisee ndo mana nasemaje ntadai mpk warudishe.
Mkuu ni binti yangu wa pekee yaani nimempiga msasa sana kabla na kumwambia ntakuhonga chochote mi babaako.
Suprise kaleta mtoto[emoji56]
Yaani[emoji2357]
Sizingui chochote, ni binti yangu nimesamehe Sasa namwangalia tu.Unazingua kweli, ungemuozesha mapema akaenda kusoma akiwa n mme wake. Wala usingefika kulalamika huku.
Ilo moja.
Pili, kwan hajagraduate ???
Kama umemsomesha na amemaliz sasa makasiriko ya nini ?
Wakike ni hatari sana , mwingine kajitundika hivi majuzi kanyimwa ruhusa ya kwenda kuangalia video.kila siku namuomba Mungu anijalie watoto wa kiume tu
Sio kwamba watoto wa kike siwapendi ila malezi yao wakifika kwenye balehe ni tabu tupu
Haeleweki huyo bwa mdogo ndo mana nikasema mi ntadai changu watalipa wote watatu,Si bora hata huyo kamaliza na chuo wengine hata shule au chuo hajamaliza wanabeba mimba
Sasa anaish na jamaa yake au ?
kama kwa mti mbichi kama yeye miaka yote hiyo anadaiwa hadi leo ndo anakamilisha hako ka mkopo je habari gani kwa miti mikavu huku mitaaniMfanyabiasha tajiri Fred Fabian Ngajiro (Vunjabei) amememaliza Mkopo wa elimu ya juu.
Fred anasema wale wote wanaodaiwa mkopo na Bodi ya Mikopo, kuitikia wito wa (HESLB) wanaotaka ulipe mkopo wako unaodaiwa ili uweze kuwanufaisha vijana wengine wanao anza chuo.
Na tuliojiajiri tunakumbushwa kulipa mkopo tuliopewa na bodi ya mikopo.
Je, una mpango wa kulipa mkopo ukiwa bado hauna ajira?
View attachment 2559799
Haeleweki huyo bwa mdogo ndo mana nikasema mi ntadai changu watalipa wote watatu,
Kwasababu uhuni si tumejiuzulu tu
Yaani?Ahaa nakuelewa watoto wakike kujibebesha mimba utafikiri tulitumwa mimba na mtu Ndio haeleweki sasa
Ukimlea lea kwa kumpa sana pesa atabeba nyingine tena mkazie kidogo ajifunzeYaani?
Anyway ni karma tu,
Mama yake ilikua hayohayo
Oyaaaa umeua🤣🤣🤣Wao walisomeshwa bure, kwanini sisi tulipishwe?! Wakinijibu hili swali nitalipa, otherwise wanipeleke mahakamani, na huko nawashinda haraka sana!
Halafu huyo aliyeandika barua ni taahira flani hivi, hajui hata maana ya ‘Liquidate’.., hawa watu sijui wanaajiriwa kwa kuokotwa kwenye jalala lipi, total rubbish! Yaani kulipa deni ni ku- ‘Liquidate’ .., sasa mataahira kama haya mdio unakuta tunayaamini yanaenda kusaini mamikataba ya kimataifa huko mwishowe yanatuuza bila hata kujua, kumbe shida ni vilaza..., total garbage!
Clearing a debt ndo kwake make babakeLakini vipi kuhusu maana hii View attachment 2560023
Ndicho kinachofanyika Mkuu.Nimejiuliza sana aisee kazi ipo yani kila siku huwa nasema hizi barua wanazichukua tu zilishakuwa composed na tahira mmoja hana akili wanazibandika majina ya watu na anwani zao halafu wanaweka amount then wanaprint, hawazisomi, hii nchii ina ufala mwingi sana mzee wangu...