Fred Vunjabei amaliza deni la mkopo chuo (HESLB)

Fred Vunjabei amaliza deni la mkopo chuo (HESLB)

Muhimu Bodi ya Mikopo waache tu uhuni wa kubambikia wanufaika wake madeni. Na watambue fika siyo kila mnufaika anaweza kupata muda wa kwenda ofini kwao na kupata hicho cheti kwa wakati.

Maana ukichelewa tu kwenda, wanakutengenezea deni lingine, halafu makato yanaanza upya.
 
Muhimu Bodi ya Mikopo waache tu uhuni wa kubambikia wanufaika wake madeni. Na watambue fika siyo kila mnufaika anaweza kupata muda wa kwenda ofini kwao na kupata hicho cheti kwa wakati.

Maana ukichelewa tu kwenda, wanakutengenezea deni lingine, halafu makato yanaanza upya.
Walifuta riba ulichokopa ndio utakacholipa....ila utekelezaji ni karibu ni Zero...unachosema ndio kilichopo..
 
Wao walisomeshwa bure, kwanini sisi tulipishwe?! Wakinijibu hili swali nitalipa, otherwise wanipeleke mahakamani, na huko nawashinda haraka sana!

Halafu huyo aliyeandika barua ni taahira flani hivi, hajui hata maana ya ‘Liquidate’.., hawa watu sijui wanaajiriwa kwa kuokotwa kwenye jalala lipi, total rubbish! Yaani kulipa deni ni ku- ‘Liquidate’ .., sasa mataahira kama haya mdio unakuta tunayaamini yanaenda kusaini mamikataba ya kimataifa huko mwishowe yanatuuza bila hata kujua, kumbe shida ni vilaza..., total garbage!
Mkuu nakuunga mkono kwa yote uliyoandika ila sioni tatizo na utumiaji wa neno loan liquidation hapo, navyofahamu Ina maana Pana sana, hata kulipa kwa cash ni Moja ya njia ya loan liquidation!!! Kama kumbukumbu zipo sawa
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wao walisomeshwa bure, kwanini sisi tulipishwe?! Wakinijibu hili swali nitalipa, otherwise wanipeleke mahakamani, na huko nawashinda haraka sana!

Halafu huyo aliyeandika barua ni taahira flani hivi, hajui hata maana ya ‘Liquidate’.., hawa watu sijui wanaajiriwa kwa kuokotwa kwenye jalala lipi, total rubbish! Yaani kulipa deni ni ku- ‘Liquidate’ .., sasa mataahira kama haya mdio unakuta tunayaamini yanaenda kusaini mamikataba ya kimataifa huko mwishowe yanatuuza bila hata kujua, kumbe shida ni vilaza..., total garbage!
 
Badala ya kulipa milioni Tano kwa kila goli kwanini Rais asilipie hizo pesa kwa wahitimu ambao wamekopa na hawana kazi.

Hiyo ingeleta maana kidogo.

Au badala ya kuufanya maridhiano na wanasiasa afanye maridhiano na wahitimu kwa kuwafutia madeni yao.

Vijana ajira hawana na madeni bado wanayo Loan Board.
 
Mfanyabiasha tajiri Fred Fabian Ngajiro (Vunjabei) amememaliza Mkopo wa elimu ya juu.

Fred anasema wale wote wanaodaiwa mkopo na Bodi ya Mikopo, kuitikia wito wa (HESLB) wanaotaka ulipe mkopo wako unaodaiwa ili uweze kuwanufaisha vijana wengine wanao anza chuo.

Na tuliojiajiri tunakumbushwa kulipa mkopo tuliopewa na bodi ya mikopo.

Je, una mpango wa kulipa mkopo ukiwa bado hauna ajira?

View attachment 2559799
Hivi ku-liquidate maana yake ni kumaliza? Nadhani amefutiwa deni; kama tukiamua kufuata maana ya neno "liquidate" kama ambavyo limetumika hapa kwa maana kuwa deni lake liemuliwa au limeuawa
 
Badala ya kulipa milioni Tano kwa kila goli kwanini Rais asilipie hizo pesa kwa wahitimu ambao wamekopa na hawana kazi.

Hiyo ingeleta maana kidogo.

Au badala ya kuufanya maridhiano na wanasiasa afanye maridhiano na wahitimu kwa kuwafutia madeni yao.

Vijana ajira hawana na madeni bado wanayo Loan Board.
Kwani haya mambo yameanza leo

We hujiulizi miaka nenda rudi serikali wananunua mavi8 wakati kuna wanafunzi wanasoma huku wanakaa chini,shida ya maji nk
Ila mfumo wa serikali yetu ndy huu

Oba
 
Wao walisomeshwa bure, kwanini sisi tulipishwe?! Wakinijibu hili swali nitalipa, otherwise wanipeleke mahakamani, na huko nawashinda haraka sana!

Halafu huyo aliyeandika barua ni taahira flani hivi, hajui hata maana ya ‘Liquidate’.., hawa watu sijui wanaajiriwa kwa kuokotwa kwenye jalala lipi, total rubbish! Yaani kulipa deni ni ku- ‘Liquidate’ .., sasa mataahira kama haya mdio unakuta tunayaamini yanaenda kusaini mamikataba ya kimataifa huko mwishowe yanatuuza bila hata kujua, kumbe shida ni vilaza..., total garbage!

ku liquidate ni ku convert asset into cash, labda walitaka kumaanisha wameconvert debt into asset(cash).
 
Back
Top Bottom