Fred Vunjabei amaliza deni la mkopo chuo (HESLB)

Fred Vunjabei amaliza deni la mkopo chuo (HESLB)

Mfanyabiasha tajiri Fred Fabian Ngajiro (Vunjabei) amememaliza Mkopo wa elimu ya juu.

Fred anasema wale wote wanaodaiwa mkopo na Bodi ya Mikopo, kuitikia wito wa (HESLB) wanaotaka ulipe mkopo wako unaodaiwa ili uweze kuwanufaisha vijana wengine wanao anza chuo.

Na tuliojiajiri tunakumbushwa kulipa mkopo tuliopewa na bodi ya mikopo.

Je, una mpango wa kulipa mkopo ukiwa bado hauna ajira?

View attachment 2559799
Ni jambo jema sana.
Kwa vile ulikuwa nazo. Wasingekuja Kwa duka sidhani kama ungemaliza.
Anyway wewe unazi, Kuna wengine wamemaliza miaka na hawana kitu unaingia sana sana ni ya kula.
Sasa ulitaraji mwendesha bodaboda aweze kulipa deni Hilo! Wahitimu wengi wako kwenye hii ajira ya kimasikini ya bodaboda! Mengi yanakuja!
 
😟😟😟😭 Najaribu kuvaa viatu vyako lakini havinitoshi duuh 🤯

😟😟😟😭 Najaribu kuvaa viatu vyako lakini havinitoshi duuh 🤯
Its okay , i will take it, na binti kajipeleka huko kwa huyo bwege kamwambia sipo home usije,
Funguo ninazo bado niko kazini mpk kesho.
Hapo Nauli nitoe mimi ili aende na mwanae wakamsalimie babaake.
 
Mfanyabiasha tajiri Fred Fabian Ngajiro (Vunjabei) amememaliza Mkopo wa elimu ya juu.

Fred anasema wale wote wanaodaiwa mkopo na Bodi ya Mikopo, kuitikia wito wa (HESLB) wanaotaka ulipe mkopo wako unaodaiwa ili uweze kuwanufaisha vijana wengine wanao anza chuo.

Na tuliojiajiri tunakumbushwa kulipa mkopo tuliopewa na bodi ya mikopo.

Je, una mpango wa kulipa mkopo ukiwa bado hauna ajira?

View attachment 2559799
Ni show off za kishamba
 
Lakini vipi kuhusu maana hii
Screenshot_20230321-073043_Chrome.jpg
 
Wao walisomeshwa bure, kwanini sisi tulipishwe?! Wakinijibu hili swali nitalipa, otherwise wanipeleke mahakamani, na huko nawashinda haraka sana!

Halafu huyo aliyeandika barua ni taahira flani hivi, hajui hata maana ya ‘Liquidate’.., hawa watu sijui wanaajiriwa kwa kuokotwa kwenye jalala lipi, total rubbish! Yaani kulipa deni ni ku- ‘Liquidate’ .., sasa mataahira kama haya mdio unakuta tunayaamini yanaenda kusaini mamikataba ya kimataifa huko mwishowe yanatuuza bila hata kujua, kumbe shida ni vilaza..., total garbage!
Kwani alitakiwa asemeje,hebu tuelimishe
 
Wao walisomeshwa bure, kwanini sisi tulipishwe?! Wakinijibu hili swali nitalipa, otherwise wanipeleke mahakamani, na huko nawashinda haraka sana!

Halafu huyo aliyeandika barua ni taahira flani hivi, hajui hata maana ya ‘Liquidate’.., hawa watu sijui wanaajiriwa kwa kuokotwa kwenye jalala lipi, total rubbish! Yaani kulipa deni ni ku- ‘Liquidate’ .., sasa mataahira kama haya mdio unakuta tunayaamini yanaenda kusaini mamikataba ya kimataifa huko mwishowe yanatuuza bila hata kujua, kumbe shida ni vilaza..., total garbage!
Imeandikwa sawa,ni kumaliza deni (to clear debt)
 
Fred Vunjabei nae hana akili, wala aibu wala adabu yake ndogo sana, miaka yote hiyo asilipe 7 mil na anapata fedha nyingi, hii ni ujinga, tena Bodi ingemshtaki haraka, sbb ana hela ila hakutaka kulipa miaka yote hiyo. Hopeless kabisa huyu
 
Kwa hali hiyo sijui ni trilioni ngapi zinaozea huko mtaani kwa ajili yawatu kukosa ajira. Ila nadhan hata kama mtu anafanya kazi binafsi kama biashara Tin yake yaweza kujulisha then akawa anapunguza hata 40 elfu kwa mwaka.

Ndio maana mambo hayaendi kumbe hakuna mikakati ya kukusanya madeni ya umma.
 
Wao walisomeshwa bure, kwanini sisi tulipishwe?! Wakinijibu hili swali nitalipa, otherwise wanipeleke mahakamani, na huko nawashinda haraka sana!

Halafu huyo aliyeandika barua ni taahira flani hivi, hajui hata maana ya ‘Liquidate’.., hawa watu sijui wanaajiriwa kwa kuokotwa kwenye jalala lipi, total rubbish! Yaani kulipa deni ni ku- ‘Liquidate’ .., sasa mataahira kama haya mdio unakuta tunayaamini yanaenda kusaini mamikataba ya kimataifa huko mwishowe yanatuuza bila hata kujua, kumbe shida ni vilaza..., total garbage!
Nadaiwa 12.5m,

Mm hii pesa Huwa naichukukuliaga kama zawadi ya wote wanao bahatika kufikia ELIMU ya juu...
Haina haja ya kudaiana, kudaiwa au KULIPA..
 
Murife dont run murife keep running loooh asee parakwingi 🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃

Umeliwa mkuuu umeliwa secretary daaah aseee pole yako mkuu na mimba juuu tena usikute yeye na mamaake wanaita sijui yale maneno yao shogaangu sijui nn 🤮🤢🤢

Daah 🤣🤣🤣🤣 acha nicheke tu

Hela yenyewe inatafutwa kwa taabu alafu mtu anapigwa mimba kabisa 😹😒😒😤😤
kila siku namuomba Mungu anijalie watoto wa kiume tu

Sio kwamba watoto wa kike siwapendi ila malezi yao wakifika kwenye balehe ni tabu tupu
 
Fred Vunjabei nae hana akili, wala aibu wala adabu yake ndogo sana, miaka yote hiyo asilipe 7 mil na anapata fedha nyingi, hii ni ujinga, tena Bodi ingemshtaki haraka, sbb ana hela ila hakutaka kulipa miaka yote hiyo. Hopeless kabisa huyu
Yaani unamlaumu alielipa deni kisa ana fedha mbona hauwalaumu waliosomeshwa Havard huko bure mpaka level ya Professor tena vyuo vya nje na hawadaiwi wao ndio wanatunga sheria ngumu kwa wengine waliweka mpaka riba huyu kasoma Mwenge analala mabibo unamkomalia vip mkuu..
 
Back
Top Bottom