Fred Vunjabei amaliza deni la mkopo chuo (HESLB)

Fred Vunjabei amaliza deni la mkopo chuo (HESLB)

Hamna manufaa yaani kapigwa za uso, 🤣🤣🤣🤣
Hivi elimu mkopo unadaiwa mpk leo mil 10+ ina maana huna kazi wewe.
Sasa ulisoma ili iweje?🤷‍♂️
Itakuwa alisomea u secretary ambayo ipo replaced na chatgpt au kukata tiketi za ndege ambayo ipo replaced mtandaoni daah asee kuna course za ajabu sana mkuu acha tu 😟😟 mi mpaka kuna watu nawaoneaga huruma aseee 😬😬😬
 
Itakuwa alisomea u secretary ambayo ipo replaced na chatgpt au kukata tiketi za ndege ambayo ipo replaced mtandaoni daah asee kuna course za ajabu sana mkuu acha tu 😟😟 mi mpaka kuna watu nawaoneaga huruma aseee 😬😬😬
😂😂😂😂😂😂, ujinga mwingi sana.
Nimelipa Mil kadhaa kwa binti yangu asome ndo kamaliza nasubiri matokeo kaenda kuzalishwa k****e zake namdai ye na mamaake
 
😂😂😂😂😂😂, ujinga mwingi sana.
Nimelipa Mil kadhaa kwa binti yangu asome ndo kamaliza nasubiri matokeo kaenda kuzalishwa k****e zake namdai ye na mamaake
Ndo maana wazeee wengi wanakufa na pressure mi ninge mngoa macho au jino loooh kamaliza lini mkuu alisomea course gani kwani 🤔😬
 
Ndo wazeee wanakufa na pressure mi ninge mngoa macho au jino loooh kamaliza lini mkuu alisomea course gani kwani 🤔😬
Mjinga sana huyu mtoto, alifaulu second selection ualimu, kapangiwa kijijini huko kakataa ikabidi tutafute plan B.
Sijui kasema kariakoo hapo apige kozi hiyo secretary,
Lipa hela yote sio mkopo.
Kamaliza kapigwa mimba 🙆‍♂️.
Mi ntadai hela yangu mpk naingia kaburini😅😅😅
 
Mjinga sana huyu mtoto, alifaulu second selection ualimu, kapangiwa kijijini huko kakataa ikabidi tutafute plan B.
Sijui kasema kariakoo hapo apige kozi hiyo secretary,
Lipa hela yote sio mkopo.
Kamaliza kapigwa mimba 🙆‍♂️.
Mi ntadai hela yangu mpk naingia kaburini😅😅😅
Murife dont run murife keep running loooh asee parakwingi 🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃

Umeliwa mkuuu umeliwa secretary daaah aseee pole yako mkuu na mimba juuu tena usikute yeye na mamaake wanaita sijui yale maneno yao shogaangu sijui nn 🤮🤢🤢

Daah 🤣🤣🤣🤣 acha nicheke tu

Hela yenyewe inatafutwa kwa taabu alafu mtu anapigwa mimba kabisa 😹😒😒😤😤
 
Mjinga sana huyu mtoto, alifaulu second selection ualimu, kapangiwa kijijini huko kakataa ikabidi tutafute plan B.
Sijui kasema kariakoo hapo apige kozi hiyo secretary,
Lipa hela yote sio mkopo.
Kamaliza kapigwa mimba 🙆‍♂️.
Mi ntadai hela yangu mpk naingia kaburini😅😅😅
Ulilipa shs ngapi mkuu 😒
 
Wao walisomeshwa bure, kwanini sisi tulipishwe?! Wakinijibu hili swali nitalipa, otherwise wanipeleke mahakamani, na huko nawashinda haraka sana!

Halafu huyo aliyeandika barua ni taahira flani hivi, hajui hata maana ya ‘Liquidate’.., hawa watu sijui wanaajiriwa kwa kuokotwa kwenye jalala lipi, total rubbish! Yaani kulipa deni ni ku- ‘Liquidate’ .., sasa mataahira kama haya mdio unakuta tunayaamini yanaenda kusaini mamikataba ya kimataifa huko mwishowe yanatuuza bila hata kujua, kumbe shida ni vilaza..., total garbage!
Debt liquidation refers to the process of paying off or settling all outstanding debts of an individual, company, or organization. It involves the conversion of assets into cash or selling off assets to generate funds that can be used to repay debts. Debt liquidation is often used as a last resort option when a borrower is unable to meet their debt obligations through other means, such as debt restructuring or debt consolidation. It is important to note that debt liquidation may have negative consequences for the borrower, such as a negative impact on their credit score and the potential loss of assets
 
Murife dont run murife keep running loooh asee parakwingi 🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃🏃

Umeliwa mkuuu umeliwa secretary daaah aseee pole yako mkuu na mimba juuu tena usikute yeye na mamaake wanaita sijui yale maneno yao shogaangu sijui nn 🤮🤢🤢

Daah 🤣🤣🤣🤣 acha nicheke tu

Hela yenyewe inatafutwa kwa taabu alafu mtu anapigwa mimba kabisa 😹😒😒😤😤
Nakwambia nayeye mchaga vitoto vya migo hivi.
Ila huyo bwege atanipa changu tu mpk sasa najua alipo tu najuzi nimemtengenezea mazingira kajaa ntakutana nae nimpe bili yake tu,akishindwa ndo atanijua mi nani
 
Nakwambia nayeye mchaga vitoto vya migo hivi.
Ila huyo bwege atanipa changu tu mpk sasa najua alipo tu najuzi nimemtengenezea mazingira kajaa ntakutana nae nimpe bili yake tu,akishindwa ndo atanijua mi nani
Kwani huyo binti haishi kwako mkuu
 
Mil hizo wanasema vunjabei kalipa leo.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.


Yesu wangu lakini kama ww ni fogo. Au upo uchumi wa kati sio mbaya ila kama ni masikini umekwisha mkuu 😒 😬😬
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣.


Yesu wangu lakini kama ww ni fogo. Au upo uchumi wa kati sio mbaya ila kama ni masikini umekwisha mkuu 😒 😬😬
Hiyo hela naisotea mbaya aisee ndo mana nasemaje ntadai mpk warudishe.
Mkuu ni binti yangu wa pekee yaani nimempiga msasa sana kabla na kumwambia ntakuhonga chochote mi babaako.
Suprise kaleta mtoto😇
Yaani🤦‍♂️
 
Hiyo hela naisotea mbaya aisee ndo mana nasemaje ntadai mpk warudishe.
Mkuu ni binti yangu wa pekee yaani nimempiga msasa sana kabla na kumwambia ntakuhonga chochote mi babaako.
Suprise kaleta mtoto😇
Yaani🤦‍♂️
😟😟😟😭 Najaribu kuvaa viatu vyako lakini havinitoshi duuh 🤯
 
Back
Top Bottom