Fred Vunjabei amaliza deni la mkopo chuo (HESLB)

heri mimi sijakopa,mliokopeshwa na HESLB lipeni madeni, wakati mnakula hako ka-boom na vitotoz mjini sisi wala mihogo mnatuona mafala, tena utungwe mswada kabisa namna ya kufanyiwa monitoring baada ya kumaliza vyuo hata kama mko mitaani hakuna kazi.lipa deni
 
Me ninadaiwa 20+M nikiwalipa nakuwa Ashura, Niko paleeeee.
 
Hiyo ndo nakaza sasa ajifunze
Si atajua baba yupo anapenda wajukuu atalea tu atatupeleka wapi ikibidi unampa laki ya mtaji aone
Mi hawa wangu nishawaambia sitaki wajukuu na siwez lea wajukuu sina muda atakaejifanya kuweza aondoke
 
Si atajua baba yupo anapenda wajukuu atalea tu atatupeleka wapi ikibidi unampa laki ya mtaji aone
Mi hawa wangu nishawaambia sitaki wajukuu na siwez lea wajukuu sina muda atakaejifanya kuweza aondoke
Hizo anazo mpk sasa, dejane last nimemwambia nakukopesha sikupi maana za mtaji shampa.
Toka december hajarudisha.
 
Hongera mamii
 
Hivi wote wanaimaliza kulipa huwa wanatumia hii barua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…