Fred Vunjabei ni haya haya Mapenzi ambayo nasi tunawapa Mademu zetu au Mwenzetu unampa ya ziada divathebawse hadi anakupenda kwa Kukufuru?

unamuamini Diva?
 
Pesa , pesa ,pesa
 
🀣🀣🀣🀣🀣
 
Habari yenyewe Manaratv?
 
Yule dem zzk aliwahi kumla , walipoachana akasema jamaa nguvu kidogo , yule ni malaya kama malaya wengine tu, halafu huyo dogo alivamia mji amebaki kubeba videm ili atrend mjini
Kwani wameshaachana na aliyekuwa DC?
 
Sasa mbona hii Editing hana tofauti na Mke wangu wakati mimi sina Hela?
 
Labda kalipwa amtangaze maana!!!

Ila wanaweza poozana pia na lolote likawa baada

As ni mmwaga pengi hii hasingeruhusu, Ati bustani hiyo imuongelee hivyo.. πŸ€—
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…