Fred Vunjabei ni haya haya Mapenzi ambayo nasi tunawapa Mademu zetu au Mwenzetu unampa ya ziada divathebawse hadi anakupenda kwa Kukufuru?

Fred Vunjabei ni haya haya Mapenzi ambayo nasi tunawapa Mademu zetu au Mwenzetu unampa ya ziada divathebawse hadi anakupenda kwa Kukufuru?

@divatheebawse amefunguka kuhusu penzi lake na @fred_vunjabei na kuweka wazi swala la kuzaa wote watoto wa tano.

Mbali na hivyo pia anasema kwa sasa ana furaha zaidi kuwa kwenye penzi zito na Fred Vunjabei kwani kabla ya hapo hakuwahi kuwa na furaha kama aliyokuwa nayo kwa sasa.

Ameyazungumza haya wakati anatambulishwa kuwa balozi mpya wa #LuhaTravel

Chanzo Taarifa: manaratv

Manake kwa jinsi alivyokusifia huku akiwaponda Wanaume zake wote wasio na Idadi waliomtia nahisi kuna la ziada.
unamuamini Diva?
 
@divatheebawse amefunguka kuhusu penzi lake na @fred_vunjabei na kuweka wazi swala la kuzaa wote watoto wa tano.

Mbali na hivyo pia anasema kwa sasa ana furaha zaidi kuwa kwenye penzi zito na Fred Vunjabei kwani kabla ya hapo hakuwahi kuwa na furaha kama aliyokuwa nayo kwa sasa.

Ameyazungumza haya wakati anatambulishwa kuwa balozi mpya wa #LuhaTravel

Chanzo Taarifa: manaratv

Manake kwa jinsi alivyokusifia huku akiwaponda Wanaume zake wote wasio na Idadi waliomtia nahisi kuna la ziada.
Pesa , pesa ,pesa
 
Japo jamaa mluga mluga kitabia ila nilikuwa namuona mjanja kwa mbali hasa alipozaa na Jokate.

Sasa kutoka kwa Jokate mpaka Diva si sawa na kudowngrade kutoka S24 ultra mpaka itel.

Kama ni kweli mwamba kachemka. Japo li Diva sio la kuamini sana, maana huwa ni li mwezi mchanga, lina bipolar

Demu anajiedit kwenye picha kiasi kwamba hajui sura yake halisi inafananaje.
View attachment 3115467
🤣🤣🤣🤣🤣
 
@divatheebawse amefunguka kuhusu penzi lake na @fred_vunjabei na kuweka wazi swala la kuzaa wote watoto wa tano.

Mbali na hivyo pia anasema kwa sasa ana furaha zaidi kuwa kwenye penzi zito na Fred Vunjabei kwani kabla ya hapo hakuwahi kuwa na furaha kama aliyokuwa nayo kwa sasa.

Ameyazungumza haya wakati anatambulishwa kuwa balozi mpya wa #LuhaTravel

Chanzo Taarifa: manaratv

Manake kwa jinsi alivyokusifia huku akiwaponda Wanaume zake wote wasio na Idadi waliomtia nahisi kuna la ziada.
Habari yenyewe Manaratv?
 
Japo jamaa mluga mluga kitabia ila nilikuwa namuona mjanja kwa mbali hasa alipozaa na Jokate.

Sasa kutoka kwa Jokate mpaka Diva si sawa na kudowngrade kutoka S24 ultra mpaka itel.

Kama ni kweli mwamba kachemka. Japo li Diva sio la kuamini sana, maana huwa ni li mwezi mchanga, lina bipolar

Demu anajiedit kwenye picha kiasi kwamba hajui sura yake halisi inafananaje.
View attachment 3115467
Sasa mbona hii Editing hana tofauti na Mke wangu wakati mimi sina Hela?
 
Labda kalipwa amtangaze maana!!!

Ila wanaweza poozana pia na lolote likawa baada

As ni mmwaga pengi hii hasingeruhusu, Ati bustani hiyo imuongelee hivyo.. 🤗
 
Back
Top Bottom