Fred Vunjabei ni haya haya Mapenzi ambayo nasi tunawapa Mademu zetu au Mwenzetu unampa ya ziada divathebawse hadi anakupenda kwa Kukufuru?

Fred Vunjabei ni haya haya Mapenzi ambayo nasi tunawapa Mademu zetu au Mwenzetu unampa ya ziada divathebawse hadi anakupenda kwa Kukufuru?

Mungu hakupi vyote na moja alilonyimwa Bi. Kidoti ni busara ya kuchagua wanaume.

Alisha date na Diamond ambapo aliishia kudhalilishwa, alidate na Kiba napo aliishia kuaibishwa mitandaoni tu kuwa anajipendekeza, akaenda kwa Mkinga misifa napo zero.

Kwa level aliyofikia inabidi atafute mtu mzima mwenye pesa zake asiekuwa na maisha ya social media, sio hawa wauza sura.

Mimi ningemfaa sana maana nimekidhi vigezo vyote isipokuwa cha pesa. Na nipo tayari tutumie za kwake😜😜, mimi ni kumpenda tu.
Unataka kuvaa bomu la kujitoa mhanga? Utafia kwenye tukio
 
Yeees.

Yeeeees

Mzee wangu Grahams tutafute pesa. Tusiwe wagumu kuwapa pesa kuogopa fedheha Kama hizi
Sahihi Mkuu, ukiwa unatoa mpunga wa kueleweka hata viuno feni unapewa

Unakuta binti akija kwako anakuwa gogo, lakini akienda Kwa mshkaji mwingine anayempaga kibunda kikubwa anampa viuno kama Mwali wa kimakonde 😜
 
Back
Top Bottom