Mtake radhi mkeo, kummithilisha na huyo nguchiro ni dharau iliyotukukaSasa mbona hii Editing hana tofauti na Mke wangu wakati mimi sina Hela?
Ina tatizo gani ikitokea Manaratv? Hopeless.Habari yenyewe Manaratv?
Fred huwa anadumu na Mwanamke Mmoja?Kwani wameshaachana na aliyekuwa DC?
Anachotaka ni kutokauka midomoni mwa watu, kama hivi mmemuanzishia thread kwake hiyo ni win, publicity iwe positive au negative ni publicity tu na ndicho anacholenga.Nilidhani mjanja kuwazidi wakinga wanzake, lkn kwa hili aisee amedhihirisha mjini bado sana, watoto wakali wamejaa ameendaje ku fall kwa lile gumegume....? Dunia haiishi maajabu!
Mumeo huyo au?Anachotaka ni kutokauka midomoni mwa watu, kama hivi mmemuanzishia thread kwake hiyo ni win, publicity iwe positive au negative ni publicity tu na ndicho anacholenga.
Na kwa huyo kicheche mapepe ndiyo atapata publicity/promo ya kufa mtu, mlugaluga anataka awe anazungumzwa daily kama wasanii(A list).
Furaha ni kwasababu ya 💰 🤑 💸 🤣@divatheebawse amefunguka kuhusu penzi lake na @fred_vunjabei na kuweka wazi swala la kuzaa wote watoto wa tano.
Mbali na hivyo pia anasema kwa sasa ana furaha zaidi kuwa kwenye penzi zito na Fred Vunjabei kwani kabla ya hapo hakuwahi kuwa na furaha kama aliyokuwa nayo kwa sasa.
Ameyazungumza haya wakati anatambulishwa kuwa balozi mpya wa #LuhaTravel
Chanzo Taarifa: manaratv
Manake kwa jinsi alivyokusifia huku akiwaponda Wanaume zake wote wasio na Idadi waliomtia nahisi kuna la ziada.
Bitch mwenzio.Mumeo huyo au?
Kama Mama yako Mzazi.Bitch mwenzio.