kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 5,089
- 9,664
Hizi ni facts za Kisayansi...
Simba haijafeli....badala yake imepanda kutoka nafasi ya 7 Afrika mpaka 5 Afrika.
Fred Funga Funga ni ingizo La Dirisha dogo...mpaka muda huu tunavyoongea mashindano yote ana mabao 10 katika Mechi Kubwa na Ndogo....Hapo wangekuwa Waingereza Wangesema..'What a Striker'...!
Kufeli kwa Simba kupo midomoni Mwa wana Utopolo tu...!
Simba haijafeli....badala yake imepanda kutoka nafasi ya 7 Afrika mpaka 5 Afrika.
Fred Funga Funga ni ingizo La Dirisha dogo...mpaka muda huu tunavyoongea mashindano yote ana mabao 10 katika Mechi Kubwa na Ndogo....Hapo wangekuwa Waingereza Wangesema..'What a Striker'...!
Kufeli kwa Simba kupo midomoni Mwa wana Utopolo tu...!