Freddy Michael a.k.a Funga Funga

Freddy Michael a.k.a Funga Funga

Hizi ni facts za Kisayansi...

Simba haijafeli....badala yake imepanda kutoka nafasi ya 7 Afrika mpaka 5 Afrika.

Fred Funga Funga ni ingizo La Dirisha dogo...mpaka muda huu tunavyoongea mashindano yote ana mabao 10 katika Mechi Kubwa na Ndogo....Hapo wangekuwa Waingereza Wangesema..'What a Striker'...!

Kufeli kwa Simba kupo midomoni Mwa wana Utopolo tu...!
 
Hizi ni facts za Kisayansi...

Simba haijafeli....badala yake imepanda kutoka nafasi ya 7 Afrika mpaka 5 Afrika.

Fred Funga Funga ni ingizo La Dirisha dogo...mpaka muda huu tunavyoongea mashindano yote ana mabao 10 katika Mechi Kubwa na Ndogo....Hapo wangekuwa Waingereza Wangesema..'What a Striker'...!

Kufeli kwa Simba kupo midomoni Mwa wana Utopolo tu...!
Nyie chawa kina Kisugu pumbafu kabisa
 
Back
Top Bottom