Ndiyo hayo wanayodai "Kupima upepo" hao wapimaji upepo kama watachelewa basi sina imani nao kwasababu "there is a difference btn doing the right thing vs the thing right"
Kama ni kweli wana uzalendo basi wanatakiwa wafanye whats right and not neccessarily whats popular.....
Inaweza kuwa its unpopular kujitoa ccm,wengine wanakuja na mifano ya kina Mrema.
Na wale wenye mwelekeo wa mawazo ya kifisadi watatoa sababu pia,na wengine wanafananisha na kina Njelu Kasaka et al.
However this time around ni tofauti sana....Mpendazoe keshaanza na kama kuna wenye nia hiyo wafanye sasa kwani wakichelewa watakuja kuwaponza wale wenye nia nzuri na chama hicho cha ccj,wenye kuweka uzalendo mbele na si wenye kufuata whats popular,watu kama kina Mpendazoe,kwani hawaoni tayari amegain exctra credit machoni pa wengi wetu kwa kuamua kuachana na mafao yake ya ubunge?Kwa tabia za wengi wetu watanzania,hilo tu ni la kumpongeza.
Wengine wakiwa hawaamini kabisa kwamba ameyaacha mafao yake ya miezi kadhaa,na pia wanajiuliza kwanini kafanya hivyo!?Hapo utashangazwa na wengi wetu wanavyofikiri....Yani kuna mashabiki wa maslahi binafsi wazi wazi kabisa hata hapa JF,inawezekana mafisadi tumo nao humu ndani....Haiwezekani ujiulize eti kwanini kayaacha mafao yake ya miezi kadhaa bila kujiuliza kama alichofanya yani kuhama ccm ni kwa maslahi binafsi ama ya wananchi!