Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeandika pumba tupu sasa kama serikali ni ya magufuli katumia chama gani kuingia ikulu? Unaweza kuwa raisi bila chama?Ni haki yake kutumia sera za CHADEMA japokuwa siyo kama vile ambavyo wangeweza kuzitumia CHADEMA wenyewee kama wangefanikiwa kuongoza nchi, kwa kuwa hakujiandaa kuwa Rais,hata sera ambazo angeweza kuzitumia alikuwa haja ziandaa.
Sera za CCM nazo hataki kuzitumia kwa kuwa hazina faida kwa mwananchi na aliikataa CCM tangia kipindi cha uchaguzi baada ya CCM kupoteza mvuto na kuwataka wananchi wamchague yeye na siyo ccm mpaka sasa serekali ni ya Magufuli na siyo ya CCM.
Hilo swali kamuulize Magufuli aliyesema chagua Magufuli na ambaye anasema serekali ni yake,kama ni pumba kama unavyoamini wewe zilianzia hapo badala ya kusema serekali ya CCM inaitwa serekali ya mtu .Umeandika pumba tupu sasa kama serikali ni ya magufuli katumia chama gani kuingia ikulu? Unaweza kuwa raisi bila chama?
Tatizo uliandika bila kujua unaandika nini eti serikali ya magufuli aligombea kupitia chama cha magufuli? Wanatekeleza ilani ya magufuli?Hilo swali kamuulize Magufuli aliyesema chagua Magufuli na ambaye anasema serekali ni yake,kama ni pumba kama unavyoamini wewe zilianzia hapo badala ya kusema serekali ya CCM inaitwa serekali ya mtu .
Mzee unaleta story za TBT? Alianza Vizuri hadi Twaweza akala Banda A+ 96% ila kashaharibu anakimbilia kwenye D sasa,Je ukimuuliza sasa Mh. Sumaye atatoa hayo majibu? Ulimsikia mazungumzo yake walivyoaalikwa "Mjengoni"?Sumaye, alikiri waziwazi akiwepo Lowassa mkutanoni kuwa, wananchi walichagua Rais mzuri.
Tatizo mnachukua maneno ya porojo
Ninachokijua ni kwamba mh Magufuli ni Rais,anachokisema kwa kinywa chake anasema kama Rais mwenye akili timamu, hayo mengine ya kumuona Rais kama ni mtu anayeweza akatoa porojo na mbwembwe na kwamba Mkapa alimwambia aache huo upuuzi hayo ni ya kwenu wenyewe mtajuana hukohuko.Tatizo mnachukua maneno ya porojo mnakuja nayo huku hizo ni kauli zake magufuli ni mtumishi mtiifu wa ccm hizo zingine ni mbwembwe tu katiba ya nchi ipo wazi utagombea kupitia chama hakuna mahali pameandikwa mgombea binafsi anaruhusiwa na ndio maana mkapa kamwambia **** mwenzio aache huo upuuzi.
Utakuwa mtu mzima mwenye busara na hekimaNinachokijua ni kwamba mh Magufuli ni Rais,anachokisema kwa kinywa chake anasema kama Rais mwenye akili timamu, hayo mengine ya kumuona Rais kama ni mtu anayeweza akatoa porojo na mbwembwe na kwamba Mkapa alimwambia aache huo upuuzi hayo ni ya kwenu wenyewe mtajuana hukohuko.
KabisaLakini ameshakufa na hawezi kurudi tena.
Sio wewe mataga pekee uliyeumia.
Ni wengi vumilia maumivu yataisha tu.
Hongera kwa vile yeye ni wa kwanza na wa mwisho kufaLakini ameshakufa na hawezi kurudi tena.
Sio wewe mataga pekee uliyeumia.
Ni wengi vumilia maumivu yataisha tu.
Mlivyotaka kumuongezea muda atawale milele mlijua hakuna kufa?Hongera kwa vile yeye ni wa kwanza na wa mwisho kufa