neno ni upanga
JF-Expert Member
- Jun 28, 2022
- 494
- 1,656
Habari wakuu?
Naomba kujua tofauti waziri wakuu wasitaafu wengine kuonekana kwenye shughuli mbalimbali za serikali na hupewa heshima kubwa!
Sijawahi kumuona mh sumaye akiwepo kwenye shughuli hizo kama waziri mkuu msitaafu! Tofauti na wengine!
Hii imekaaje? Na yupo wapi?
Naomba kujua tofauti waziri wakuu wasitaafu wengine kuonekana kwenye shughuli mbalimbali za serikali na hupewa heshima kubwa!
Sijawahi kumuona mh sumaye akiwepo kwenye shughuli hizo kama waziri mkuu msitaafu! Tofauti na wengine!
Hii imekaaje? Na yupo wapi?